Fast Forward
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 551
- 709
Ayaaa! Kama nawe wapenda mashuzi bora umuache Heaven on Earth, coz anaflat screen!
Si umeona hajanidipu.
Pole sana Heaven on Earth bila shaka yamekukuta. Na tigo umetoa, au umemshuhudia aliefanya ivo?
Wasichana wengi huwa wanajiuliza hivi.kwanini mpaka sasa ma boyfriends zao hawajawaoa na wana kila uwezo na nafasi za kufanya hivyo wanazo. au unakuta watu wamedumu muda mrefu kwenye mahusiano mwisho wa siku mwanaume anakuja kuoa mwanamke mwingine kabisaa huku we umekaa nae miaka nenda rudi.
Hivi wanaume mnapenda kuoa mwanamke wa aina gani? maana utakuta msichana ni mzuri ana kazi nzuri,anamfanyia kila kitu mwanaume wake ie kwenda kwake kufanya usafi,anapika anafua...mtu anajituma kupita maelezo ila miaka inaenda inarudi holaa..anaishia fungu la kukosa na kulalamika kupotezewa muda.
Wengine hudiriki kutoa hata tigo wakiamin itawafanywa wapendwe zaidi,wengine kubeba mimba wazae basi watafanya yote hayo ilimradi tu mwanaume aridhike lakin pamoja na yote hayoo unakuja kukuta mwanaume anaoa mwanamke mwingine kabisaa...
Hivi hawa wanaume wanataka msichana mwenye vigezo gani hasa vya kumuoa?
Kwa hisani ya Insta.
ha ha ha.., mie napendaga tu uandishi wako. Hii inatokea ila kwa asilimia chache sana ukilinganisha na wanawake kuachwa solemba na wanaume.Kooooooooooooh! Koooooooh! Jamani goodmorning iko wapi!
Jamani hali kweli ingekua hivo BIASHARA YA NGONO FORMAL AS WANAOKAA BARABARANI NA INFORMAL HUKU OFISINI TUNAVOCHUNANA, NA KUDAI MONEY FOR SEX ISINGE EXIST!
Tofauti na maneno yenu hii biashara inashamiri hatariiiiii! Watu wanakaa mjini for just being beautiful!
Anyway swali limekuwa directed kwa wanaume! Let me pass! BTW HIVI WANAUME WOTEEE HAMJAWAHI KUTAKA KUMUOA DEMU AKAWAGOMEA SABABU YA ULOFA, UBAYA, ETC ALIKUWA ANAWACHUNA TOO? IN POLITE WAY AKWAAMBIA YOU ARE NOT GOOD ENOUGH FOR ME, AU AKAOLEWA NA MSHAKJI MWINGINE UKABAKI UMENINGINIZA PU.MBU! Hahahaaaaaaaaa, JUST ASKING! Wale tuliosoma chuo I SEE YOU
Mimi huwa nasema kila siku...wanaume hawasomeki hata kidogo tena hawaeleweki wanataka nini. Unaweza kumfanyia yote unayoona wewe kwamba ni mazuri lakini akaishia kukudharau tu na kukuona hufai kuwa mkewe...ajabu hii mtu anafaa kuwa girlfriend lakini kuwa mke hafai...!!! Aisee mi msimamo wangu....nitafanya lile linalonifurahisha na kunipa amani mimi...maana najua mwanaume hata ungejitahidi kujipendekeza mwisho wa siku mtu wa kumuoa atachagua yeye. Na huenda unafanya hayo ukijua kuwa unamfanyia hayo mume mtarajiwa kumbe maskini ya Mungu mko nane mnashindanishwa.....!!! Mwisho wa siku atakayeolewa ni mmoja tu wengine huko mnabaki na majuto. I'll always be me, doing what makes me happy baaaas....kumridhisha mtu big no....mana najua mwisho wa siku hata nikimwagwa sitojuta kwa ajili ya yale niliyofanya ili kumshawishi.....
Habari ya kujizeesha baadae anakuja kuoa kabinti kabichi inahusu..???
Ha ha ha ha..!wewe bana..kuna mtu asiyependa maini kweli..?ha ha ha umeweka statement yako "MAINI"
Hahaaaa nimecheka aisee hii post yakoo..
Really! Then why do men pay women, treat women, spoil women? I DIDNT THINK SO TOO!ha ha ha.., mie napendaga tu uandishi wako. Hii inatokea ila kwa asilimia chache sana ukilinganisha na wanawake kuachwa solemba na wanaume.
Ila si alisema ni kwa hisani ya Insta?
Mshangae na wewe...
Kusoma hajui hata picha nayo anashindwa kuona
Basi msamehe kama kweli amekosea, si unajua akina tomaso wengi, asije sema hata huko insta ni wewe ndiye uliyeweka.
Hulali we mtu..
Huko insta naandikaga basi mie msomaji tu...nishamsamehe
Kama bado haujaolewa Utakuja fika wakati unaweza ukajikuta unabadilisha kauli yako. Yawezekana haujafika umri bado labda ndo maana wasema hivyo.
Heaven on Earth wife material wanaweza kusema hivyo. Naweza kukaa nawewe na ukafanya yote yale ambayo kwako unayaona yanakufanya uwe mke ila bado vigezo vyangu vikawa havijatimia kwako.
Mke ni zaidi ya vile vitu unavyofanya kama kufua au kupika au kufanya usafi wa ndani ila bado ukawa huna vile vigezo vyangu. Mke mwenye ucha Mungu, heshima, mwenye mawazo ya mustakabali wetu, nikuone kama mama wa mtoto ambaye atawalea watoto wangu na sio uzuri wa nje au wa mwili wako. Mwenye utii na heshima kwangu na kwa ndugu zangu na hata marafiki zangu. Anayejali uwepo wao na kuuheshimu na sio siku nimekuja na marafiki zangu ukaanza kukunja sura. Kuweza kuhimili hali zote za maisha nikiwa nazo na nikiwa sina sio nimeishiwa siku moja unanikunjia ndita. Mwenye uelewa wa nini maana ya maisha na sio kila siku club na wewe na wewe na club au kila boutique mpya inayofunguliwa mjini wewe unaijua au club mpya au kiwanja kipya na wewe umo
Mke ni zaidi ya sura nzuri na zaidi ya urembo au utendaji wa kazi
(mawazo yangu usinipige mawe Heaven on Earth)
Heaven on Earth wife material wanaweza kusema hivyo. Naweza kukaa nawewe na ukafanya yote yale ambayo kwako unayaona yanakufanya uwe mke ila bado vigezo vyangu vikawa havijatimia kwako.
Mke ni zaidi ya vile vitu unavyofanya kama kufua au kupika au kufanya usafi wa ndani ila bado ukawa huna vile vigezo vyangu. Mke mwenye ucha Mungu, heshima, mwenye mawazo ya mustakabali wetu, nikuone kama mama wa mtoto ambaye atawalea watoto wangu na sio uzuri wa nje au wa mwili wako. Mwenye utii na heshima kwangu na kwa ndugu zangu na hata marafiki zangu. Anayejali uwepo wao na kuuheshimu na sio siku nimekuja na marafiki zangu ukaanza kukunja sura. Kuweza kuhimili hali zote za maisha nikiwa nazo na nikiwa sina sio nimeishiwa siku moja unanikunjia ndita. Mwenye uelewa wa nini maana ya maisha na sio kila siku club na wewe na wewe na club au kila boutique mpya inayofunguliwa mjini wewe unaijua au club mpya au kiwanja kipya na wewe umo
Mke ni zaidi ya sura nzuri na zaidi ya urembo au utendaji wa kazi
(mawazo yangu usinipige mawe Heaven on Earth)