Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Sifa kubwa kabisa ya mke au mume ni uchamungu sote tumeelekezwa na vitabu vitakatifu ila kwa utashi wetu wa kurahisisha mambo ndio hivyo tunaoana leo wiki ijayo tumeachana yote hii tumeacha mafundisho tuliyopewa na vitabu vyetu. Kwa sisi wanaume tunapenda mtu anayejitambua kuwa yeye ni nani na daima yeye awe ni mwenye unyenyekevu,sio mwanamke ukikosea kidogo atapayuka hadi mtaa wa 3 wanajua, kuwa na sifa za mke zinavigezo vingi kutokana na jinsi unavyoishi siku zote na kwakuwa watu huyatumia mazoea vibaya basi hushangaa siku anapoolewa ambaye wala kwenye mahusiano hakufikiriwa kama ndio mlengwa hapa mtatumika sana kama daraja la ruvu
 
Pole sana Heaven on Earth bila shaka yamekukuta. Na tigo umetoa, au umemshuhudia aliefanya ivo?
 
Last edited by a moderator:
M sioi mke ili aje anifulie, anipikie sababu najua kupika vizur tu... mke n zaid ya vyote.... na unapokaa sana na mm nakujua hata tabia zako zlizojifcha... so Usishangae nkija oa mwengne
 
Pole sana Heaven on Earth bila shaka yamekukuta. Na tigo umetoa, au umemshuhudia aliefanya ivo?
 
Last edited by a moderator:
Wasichana wengi huwa wanajiuliza hivi.kwanini mpaka sasa ma boyfriends zao hawajawaoa na wana kila uwezo na nafasi za kufanya hivyo wanazo. au unakuta watu wamedumu muda mrefu kwenye mahusiano mwisho wa siku mwanaume anakuja kuoa mwanamke mwingine kabisaa huku we umekaa nae miaka nenda rudi.

Hivi wanaume mnapenda kuoa mwanamke wa aina gani? maana utakuta msichana ni mzuri ana kazi nzuri,anamfanyia kila kitu mwanaume wake ie kwenda kwake kufanya usafi,anapika anafua...mtu anajituma kupita maelezo ila miaka inaenda inarudi holaa..anaishia fungu la kukosa na kulalamika kupotezewa muda.

Wengine hudiriki kutoa hata tigo wakiamin itawafanywa wapendwe zaidi,wengine kubeba mimba wazae basi watafanya yote hayo ilimradi tu mwanaume aridhike lakin pamoja na yote hayoo unakuja kukuta mwanaume anaoa mwanamke mwingine kabisaa...

Hivi hawa wanaume wanataka msichana mwenye vigezo gani hasa vya kumuoa?

Kwa hisani ya Insta.

Wengi wanajenga kiburi hapo kwenye red.

Wanaume wanasogea kimya kimya!
 
Kooooooooooooh! Koooooooh! Jamani goodmorning iko wapi!

Jamani hali kweli ingekua hivo BIASHARA YA NGONO FORMAL AS WANAOKAA BARABARANI NA INFORMAL HUKU OFISINI TUNAVOCHUNANA, NA KUDAI MONEY FOR SEX ISINGE EXIST!

Tofauti na maneno yenu hii biashara inashamiri hatariiiiii! Watu wanakaa mjini for just being beautiful!

Anyway swali limekuwa directed kwa wanaume! Let me pass! BTW HIVI WANAUME WOTEEE HAMJAWAHI KUTAKA KUMUOA DEMU AKAWAGOMEA SABABU YA ULOFA, UBAYA, ETC ALIKUWA ANAWACHUNA TOO? IN POLITE WAY AKWAAMBIA YOU ARE NOT GOOD ENOUGH FOR ME, AU AKAOLEWA NA MSHAKJI MWINGINE UKABAKI UMENINGINIZA PU.MBU! Hahahaaaaaaaaa, JUST ASKING! Wale tuliosoma chuo I SEE YOU
ha ha ha.., mie napendaga tu uandishi wako. Hii inatokea ila kwa asilimia chache sana ukilinganisha na wanawake kuachwa solemba na wanaume.
 
Mimi huwa nasema kila siku...wanaume hawasomeki hata kidogo tena hawaeleweki wanataka nini. Unaweza kumfanyia yote unayoona wewe kwamba ni mazuri lakini akaishia kukudharau tu na kukuona hufai kuwa mkewe...ajabu hii mtu anafaa kuwa girlfriend lakini kuwa mke hafai...!!! Aisee mi msimamo wangu....nitafanya lile linalonifurahisha na kunipa amani mimi...maana najua mwanaume hata ungejitahidi kujipendekeza mwisho wa siku mtu wa kumuoa atachagua yeye. Na huenda unafanya hayo ukijua kuwa unamfanyia hayo mume mtarajiwa kumbe maskini ya Mungu mko nane mnashindanishwa.....!!! Mwisho wa siku atakayeolewa ni mmoja tu wengine huko mnabaki na majuto. I'll always be me, doing what makes me happy baaaas....kumridhisha mtu big no....mana najua mwisho wa siku hata nikimwagwa sitojuta kwa ajili ya yale niliyofanya ili kumshawishi.....
Habari ya kujizeesha baadae anakuja kuoa kabinti kabichi inahusu..???

Wanawake wana hitaji kutenda kama ulivyo andika! Lakini Bahati mbaya ni wachache wanao weza Fanya uliyo yaandika!
 
Unaweza kuwa unafanya yote hayo but ukawa na vijitabia fulani ambavyo si rahisi wewe kujua kuwa hatuvitaki.Mfano binti ni mbinafsi sana sana! hapendi kuona unamsaidia yeyote kitu.Binti upendo wake unaishia kwako tu hajui kuwa hivi ulivyokukuta kuna watu walisacrifice. Unamwambia binti nimepigiwa mama hajisikii vema wala kesho moaka wiki ukimpigia anaongea mengine tu hata haulizi khali ya mama.
Binti hakushauri walau kufanya saving ili ufungue mradi yeye kila siku mazungumzo ni ya kutumia tu utamuoa wa nini?
 
Kama bado haujaolewa Utakuja fika wakati unaweza ukajikuta unabadilisha kauli yako. Yawezekana haujafika umri bado labda ndo maana wasema hivyo.

nilishaolewa na umarioo ukanishinda nikasepa, and i am living happily ever after....been 6 years kila nikikumbuka bado sina hamu!
 
Mr Rocky umegusa point zenyewe. Anaetaka kuolewa akae chini atafakari haya uliyosema hapa
Heaven on Earth wife material wanaweza kusema hivyo. Naweza kukaa nawewe na ukafanya yote yale ambayo kwako unayaona yanakufanya uwe mke ila bado vigezo vyangu vikawa havijatimia kwako.
Mke ni zaidi ya vile vitu unavyofanya kama kufua au kupika au kufanya usafi wa ndani ila bado ukawa huna vile vigezo vyangu. Mke mwenye ucha Mungu, heshima, mwenye mawazo ya mustakabali wetu, nikuone kama mama wa mtoto ambaye atawalea watoto wangu na sio uzuri wa nje au wa mwili wako. Mwenye utii na heshima kwangu na kwa ndugu zangu na hata marafiki zangu. Anayejali uwepo wao na kuuheshimu na sio siku nimekuja na marafiki zangu ukaanza kukunja sura. Kuweza kuhimili hali zote za maisha nikiwa nazo na nikiwa sina sio nimeishiwa siku moja unanikunjia ndita. Mwenye uelewa wa nini maana ya maisha na sio kila siku club na wewe na wewe na club au kila boutique mpya inayofunguliwa mjini wewe unaijua au club mpya au kiwanja kipya na wewe umo
Mke ni zaidi ya sura nzuri na zaidi ya urembo au utendaji wa kazi
(mawazo yangu usinipige mawe Heaven on Earth)
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mr Rocky ahsante sana kwa mchango mzuri uliojaa hekima na busara tele. Mchango huu naomba pia usomwe na ndugu yetu Mkuu Tized.

Heaven on Earth wife material wanaweza kusema hivyo. Naweza kukaa nawewe na ukafanya yote yale ambayo kwako unayaona yanakufanya uwe mke ila bado vigezo vyangu vikawa havijatimia kwako.
Mke ni zaidi ya vile vitu unavyofanya kama kufua au kupika au kufanya usafi wa ndani ila bado ukawa huna vile vigezo vyangu. Mke mwenye ucha Mungu, heshima, mwenye mawazo ya mustakabali wetu, nikuone kama mama wa mtoto ambaye atawalea watoto wangu na sio uzuri wa nje au wa mwili wako. Mwenye utii na heshima kwangu na kwa ndugu zangu na hata marafiki zangu. Anayejali uwepo wao na kuuheshimu na sio siku nimekuja na marafiki zangu ukaanza kukunja sura. Kuweza kuhimili hali zote za maisha nikiwa nazo na nikiwa sina sio nimeishiwa siku moja unanikunjia ndita. Mwenye uelewa wa nini maana ya maisha na sio kila siku club na wewe na wewe na club au kila boutique mpya inayofunguliwa mjini wewe unaijua au club mpya au kiwanja kipya na wewe umo
Mke ni zaidi ya sura nzuri na zaidi ya urembo au utendaji wa kazi
(mawazo yangu usinipige mawe Heaven on Earth)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom