Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,170
mwanaume anapenda mwanamke mwenye kujielewa baass
ndo mana pretenders wakiolewa baadae wakija onyesha makucha uhalisia wao mtu anakwambia najuta kwa kweli kumuoa
ukijielewa we mdada baaas yatosha
kingine usililie UZURI LILIA BAHATI
Heaven on Earth wife material wanaweza kusema hivyo. Naweza kukaa nawewe na ukafanya yote yale ambayo kwako unayaona yanakufanya uwe mke ila bado vigezo vyangu vikawa havijatimia kwako.
Mke ni zaidi ya vile vitu unavyofanya kama kufua au kupika au kufanya usafi wa ndani ila bado ukawa huna vile vigezo vyangu. Mke mwenye ucha Mungu, heshima, mwenye mawazo ya mustakabali wetu, nikuone kama mama wa mtoto ambaye atawalea watoto wangu na sio uzuri wa nje au wa mwili wako. Mwenye utii na heshima kwangu na kwa ndugu zangu na hata marafiki zangu. Anayejali uwepo wao na kuuheshimu na sio siku nimekuja na marafiki zangu ukaanza kukunja sura. Kuweza kuhimili hali zote za maisha nikiwa nazo na nikiwa sina sio nimeishiwa siku moja unanikunjia ndita. Mwenye uelewa wa nini maana ya maisha na sio kila siku club na wewe na wewe na club au kila boutique mpya inayofunguliwa mjini wewe unaijua au club mpya au kiwanja kipya na wewe umo
Mke ni zaidi ya sura nzuri na zaidi ya urembo au utendaji wa kazi
(mawazo yangu usinipige mawe Heaven on Earth)
Waloolewa wote wana makalio makubwa?????
Kooooooooooooh! Koooooooh! Jamani goodmorning iko wapi!
Jamani hali kweli ingekua hivo BIASHARA YA NGONO FORMAL AS WANAOKAA BARABARANI NA INFORMAL HUKU OFISINI TUNAVOCHUNANA, NA KUDAI MONEY FOR SEX ISINGE EXIST!
Tofauti na maneno yenu hii biashara inashamiri hatariiiiii! Watu wanakaa mjini for just being beautiful!
Anyway swali limekuwa directed kwa wanaume! Let me pass! BTW HIVI WANAUME WOTEEE HAMJAWAHI KUTAKA KUMUOA DEMU AKAWAGOMEA SABABU YA ULOFA, UBAYA, ETC ALIKUWA ANAWACHUNA TOO? IN POLITE WAY AKWAAMBIA YOU ARE NOT GOOD ENOUGH FOR ME, AU AKAOLEWA NA MSHAKJI MWINGINE UKABAKI UMENINGINIZA PU.MBU! Hahahaaaaaaaaa, JUST ASKING! Wale tuliosoma chuo I SEE YOU
Hahaaa we Tized unanichekeshaje eti trekta lol..
Nina rafiki yangu hapendi kupika achilia kuosha vyombo akiwa kwa bf wake anajituma huyoo balaa vyombo vimejaa karo ila ye anafanya vyoote hivyoooo
Nikisoma comments zenu yananikumbusha mengi yakiwemo mie mwenyewe niliyokuwa nafanya aiseee
Ukweli ni mchungu lakini lazima usemwe hata kama hamkubaliani nao.
******* Kama unamfanyia yoote hayo kwenye RED kwa nini akuoe, Ni kipi kinachompa hata shauku au muamko wa kukuoa? kwa lugha laini huko ni kujirahisisha.... japo najua wengi hapa watatoa povu. Nadiriki kusema wengi walioolewa baada ya mahusiano ya muda mrefu ya kuhudumiana kwa kila kitu... Mimba ndio ilikua factor kubwa japo wapo WACHACHE waliokaa vizuri na wakaolewa vizuri.... Ni vigumu sana kumfurahisha mwanaume kwa kumkubalia kila atakalo... ukiwa mtu wa ndio ndio unajitafutia matatizo
Hivi mtu kuja kunifulia, kunipikia una anzia wapi? Kwani nimekuoa? Sina mikono kwani kabla sijawa na wewe nilikua nafanyaje? nyie acheni kujipendekeza... Hebu fikiria mtu anataka akufanye kinyume na maumbile unamkubalia... hapo kuna ,mke au mume hapo? vitu vingine muwe mnafikiria bwana... Mwanaume anayetaka kukuharibu hakufai kwa namna yeyote.**********
Sihitaji unipikie na kunifulia nijue wajua kufanya kazi... inawezekana hizo ndio kazi unazozichukia kuliko zoote unafanya tu kuandaa mazingira... Kuwa wewe, Usimkubalie mwanaume vitu kirahisi rahisi hivyo... wengine wameharibiwa kwa uoga tu... nisipomkubalia nitaachwa au ataenda kwingine... mnaumizwa sana.. Kwani akikuacha hakuna wengine? nani kakuambia huyo ndio anayekufaa zaidi ya wengine? Ope your eyes friends...... Kama ni Hapana hapana, hawezi aende zake... japo hataenda.. huwa tunawatishia tu ili tupate tunachotaka. (na mwanaume mzuri na Mwema akikuona una misimamo yako mizuri unayoisimamia kwa dhati ndio anajua kuna mtu hapo..... ukiwa mrahisi mrahisi umeumia... jua wewe ni daraja tu la kuvukia kwa wengine au anapoozea apo machungu ya yule anayempenda halafu ana msimamo.)
Ndio maana wanaangukiaga pasipo then wanakuja lalamika...pia laana za hao waliowaacha/kuwapotezea muda zinawatesa..
Hiyo ipo sana Heaven on Earth wanaume hawa ndio maana wanatendwa siku hizi..Mwanamke akiwa na mwanamke anakuwa kaingia ila mguu nje mguu ndani..wkt wowote anatimua
Proffesor anasema..... well said....
Acha hizo illuh, ina maana muda wetu pia haupotei? hata sisi tuna laana zetu vile vile kwenu kwa kutuchezea na kutupotezea muda.... Alaaaaaaa!!!!!! Am kidding any way!!
Red... ukifanikiwa kumuonesha anayekupenda hivyo... utakua umefanya asignment yako bara bara!!!!!!!. Of course you are likely to win
Kumbuka unapompotezea muda mwanamke huwa unathamani sana ...Mwanamke anakikomo cha umri wa kuzaa, ila mwanaume hana kikomo cha umri wa kuzaa..yeye wakati woote mayai yake yapo haii.
Ni bora kama humpendi mwanamke mpe za uso sasa yeye kama akikung'angania itakuwa shauri yake.
Mr Rocky umegusa point zenyewe. Anaetaka kuolewa akae chini atafakari haya uliyosema hapa
Ndio maana wanaangukiaga pasipo then wanakuja lalamika...pia laana za hao waliowaacha/kuwapotezea muda zinawatesa..
Hiyo ipo sana Heaven on Earth wanaume hawa ndio maana wanatendwa siku hizi..Mwanamke akiwa na mwanamke anakuwa kaingia ila mguu nje mguu ndani..wkt wowote anatimua