Wadada waachane na biashara ya kwenda kujitoa kibiongo kufua mirundo ya nguo na kukwangua masufuria huku hujaolewa, kisa? Kila akienda anabeba vigauni, khanga kwenye rambo alimradi kujihamishia kiaina...ya nini hayo? Ndio mwisho wa siku tunakuja ona kama tumetendwa kwa sababu tunajihakikishia kisa tulikwangua masufuria.
Ngoja tuendelee kuwasikiliza tuone vigezo vyao, manake kuna wanawake wana ulimi laini...hewala bwana kibao lakini hawajaolewa au wameachwa.
Kilugha gani hiki???
Hahaaaa utuwache wabeijing........ maana kuna muda na nyie wanaume mmezidi wallah
Wasichana wengi huwa wanajiuliza hivi.kwanini mpaka sasa ma boyfriends zao hawajawaoa na wana kila uwezo na nafasi za kufanya hivyo wanazo. au unakuta watu wamedumu muda mrefu kwenye mahusiano mwisho wa siku mwanaume anakuja kuoa mwanamke mwingine kabisaa huku we umekaa nae miaka nenda rudi.
Hivi wanaume mnapenda kuoa mwanamke wa aina gani? maana utakuta msichana ni mzuri ana kazi nzuri,anamfanyia kila kitu mwanaume wake ie kwenda kwake kufanya usafi,anapika anafua...mtu anajituma kupita maelezo ila miaka inaenda inarudi holaa..anaishia fungu la kukosa na kulalamika kupotezewa muda.
Wengine hudiriki kutoa hata tigo wakiamin itawafanywa wapendwe zaidi,wengine kubeba mimba wazae basi watafanya yote hayo ilimradi tu mwanaume aridhike lakin pamoja na yote hayoo unakuja kukuta mwanaume anaoa mwanamke mwingine kabisaa...
Hivi hawa wanaume wanataka msichana mwenye vigezo gani hasa vya kumuoa?
Kwa hisani ya Insta.
Kooooooooooooh! Koooooooh! Jamani goodmorning iko wapi!
Jamani hali kweli ingekua hivo BIASHARA YA NGONO FORMAL AS WANAOKAA BARABARANI NA INFORMAL HUKU OFISINI TUNAVOCHUNANA, NA KUDAI MONEY FOR SEX ISINGE EXIST!
Tofauti na maneno yenu hii biashara inashamiri hatariiiiii! Watu wanakaa mjini for just being beautiful!
Anyway swali limekuwa directed kwa wanaume! Let me pass! BTW HIVI WANAUME WOTEEE HAMJAWAHI KUTAKA KUMUOA DEMU AKAWAGOMEA SABABU YA ULOFA, UBAYA, ETC ALIKUWA ANAWACHUNA TOO? IN POLITE WAY AKWAAMBIA YOU ARE NOT GOOD ENOUGH FOR ME, AU AKAOLEWA NA MSHAKJI MWINGINE UKABAKI UMENINGINIZA PU.MBU! Hahahaaaaaaaaa, JUST ASKING! Wale tuliosoma chuo I SEE YOU
Mara nyingi kama sio zote tatizo huanza pale ambapo unadhani unaonewa
Hata vurugu nyingi huanzia hapo,yaani lile kundi ambalo linadai au kudhani linaonewa ndilo huanza harakati za kujikomboa
Kwenye kadhia hii wanawake mnadhani nyie tu ndio mnaopotezewa muda,kuchezewa na memngine kama hayo,hii sio kweli kabisa kwani haya yapo pia upande mwingine,ukijua unachokitaka wala hutajiumiza kuhusu kupoteza muda kwani unajua kabisa kwenye "kutafuta" kuna changamoto na pale unapoangukia pua hapo ni pa kujifunza
Kwa muda wote ambao umeutumia na huyo ulieangukia pua umepotea,kumbuka huo ni muda wenu wote na sio wako peke yako tu
Lakini kama ungekuwa unajua hasa kile ambacho unakitafuta wala usingepoteza muda wote huo,hakuna mahusiano ya miaka mitano eti mnasubiri ndoa,muda muafaka wa kujipima ni mwaka,kama jamaa hakuulizi kuhusu ndoa jua hapo hutakiwi na anza kufanya taratibu za kuondoka maana hakuna mtu ambae anaweza kuichezea dhahabu
Kukaa na mwanamke bora na anaefaa kuwa mke ni sawa na kuichezea dhahabu,kama wewe ni wife material na huyo ulienae hataki kukuoa jua huyo hajitambui na hajui anataka nini,sepa!
Wewe.. hebu jaribu kuwatafiti wale wabeijing waandamizi uone wapoje kitabia...
1. Ukigusia suala la kwa nini hajaolewa kwenye 32 years and above... ATAKUPA MAELEZO YA NDOA ZILIZOFELI TUUUU.. Utawasikia ONA FULANI, SITAKI SHIDA ZILE.. AS IF HAKUNA NDOA ILIYOFANIKIWA.... SIWAELEWAGI KWA NINI WANADHANI ZAO ZINGEKUWA KWENYE KUNDI LA KUSHINDWA... yaani huwa wanabehave as if MUNGU aliwaonyesha failure ya ndoa zao in advance..
2. Ujana wao walikuwa wanaojiamini sanaaa kuwa wao wanayaweza yote.. Lakini believe me.. as time goes ON huwa inawaumiza sana hali hiyo... THOUGH kuadmit kwao NI DHAMBI ISIYOSEMEKA. Wengine angalia hata thread zao wanazozianzisha...
3. Mara nyingi huwa wanakuwa ndo waharibifu wa tabia za walioko kwenye ndoa... YAANI WE MWANANMKE ULIYEOLEWA, AKYANANI KAMA KILA WAKATI UNAONGOZANA NA WALIOKOSA NDOA KWA SABABU YOYOTE ILE... ONE DAY YAKO NAYO ITAVUNJIKA... wanajuwa kuwafidi watu ''SUMU'' kwa moments za raha za usingo....
4. WENGI WAO HUWA WANAZAA TUU.. NA INAWEZEKANA IKAWA KILA MTOTO NA BABA YAKE...
5. KWAO WANAONA ILE HALI YA KWENDA POPOTE BILA KUULIZWA AU KUTAKIWA KUTOA MAELEZO KWA YEYOTE ndiyo raha ya usingo...
TUSIDANGANYANE... UNAWEZA UKAONA KWAMBA BEFORE 30 YEARS NI RAHA KUWA SINGO... LAKINI COME 32 AND ABOVE YEARS OF AGE... AKYANANI NDO HAO MNAOWALALAMIKIA WANAWASERENGETISHA WATOTO WENU... NDO HAO MNAOWAFANYA WATOTO WA KIUME WAITWE MALIOO...
Sifahamu. miaunamfahamu subiani wewe...???
Hivi wanaume mnapenda kuoa mwanamke wa aina gani?
Wadada waachane na biashara ya kwenda kujitoa kibiongo kufua mirundo ya nguo na kukwangua masufuria huku hujaolewa, kisa? Kila akienda anabeba vigauni, khanga kwenye rambo alimradi kujihamishia kiaina...ya nini hayo? Ndio mwisho wa siku tunakuja ona kama tumetendwa kwa sababu tunajihakikishia kisa tulikwangua masufuria.
Ngoja tuendelee kuwasikiliza tuone vigezo vyao, manake kuna wanawake wana ulimi laini...hewala bwana kibao lakini hawajaolewa au wameachwa.
maana utakuta msichana ni mzuri ana kazi nzuri,anamfanyia kila kitu mwanaume wake ie kwenda kwake kufanya usafi,anapika anafua...mtu anajituma kupita maelezo ila miaka inaenda inarudi holaa..anaishia fungu la kukosa na kulalamika kupotezewa muda.
Wengine hudiriki kutoa hata tigo wakiamin itawafanywa wapendwe zaidi,wengine kubeba mimba wazae basi watafanya yote hayo ilimradi tu mwanaume aridhike
Ukweli ni mchungu lakini lazima usemwe hata kama hamkubaliani nao.
******* Kama unamfanyia yoote hayo kwenye RED kwa nini akuoe, Ni kipi kinachompa hata shauku au muamko wa kukuoa? kwa lugha laini huko ni kujirahisisha.... japo najua wengi hapa watatoa povu. Nadiriki kusema wengi walioolewa baada ya mahusiano ya muda mrefu ya kuhudumiana kwa kila kitu... Mimba ndio ilikua factor kubwa japo wapo WACHACHE waliokaa vizuri na wakaolewa vizuri.... Ni vigumu sana kumfurahisha mwanaume kwa kumkubalia kila atakalo... ukiwa mtu wa ndio ndio unajitafutia matatizo
Hivi mtu kuja kunifulia, kunipikia una anzia wapi? Kwani nimekuoa? Sina mikono kwani kabla sijawa na wewe nilikua nafanyaje? nyie acheni kujipendekeza... Hebu fikiria mtu anataka akufanye kinyume na maumbile unamkubalia... hapo kuna ,mke au mume hapo? vitu vingine muwe mnafikiria bwana... Mwanaume anayetaka kukuharibu hakufai kwa namna yeyote.**********
Sihitaji unipikie na kunifulia nijue wajua kufanya kazi... inawezekana hizo ndio kazi unazozichukia kuliko zoote unafanya tu kuandaa mazingira... Kuwa wewe, Usimkubalie mwanaume vitu kirahisi rahisi hivyo... wengine wameharibiwa kwa uoga tu... nisipomkubalia nitaachwa au ataenda kwingine... mnaumizwa sana.. Kwani akikuacha hakuna wengine? nani kakuambia huyo ndio anayekufaa zaidi ya wengine? Ope your eyes friends...... Kama ni Hapana hapana, hawezi aende zake... japo hataenda.. huwa tunawatishia tu ili tupate tunachotaka. (na mwanaume mzuri na Mwema akikuona una misimamo yako mizuri unayoisimamia kwa dhati ndio anajua kuna mtu hapo..... ukiwa mrahisi mrahisi umeumia... jua wewe ni daraja tu la kuvukia kwa wengine au anapoozea apo machungu ya yule anayempenda halafu ana msimamo.)
Wanawake wote wanaojitaabisha kwa haya na waliwe tu tena ikiwezekana hadi supu watengenezwe na wanywewe pia...
I am here now...... good to read from youI missed you ....!!
Amina mdogo wanguNashukuru sana dada yangu kukusikia, You really means a lot to me!
Heshima ikurudie wewe Fixed Point. Nikutakie baraka tele.
Uwe na wakati mwema sana.
i love your words hapo chiniAmina mdogo wangu