Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Shida ya wanawawake wa siku hz wanapenda vitu syo mtu.. Sasa si wanaume kuna mambo tunaangalia bhana.. Kuoa kwetu sisi ni jambo zito.. Ila kwa wadada kuolewa wanachukulia kama fashen......
Dah kweli mkuu,
 
Baada ya miaka kadhaa vichaa wakike wataongezeka kwa sababu ya stress za kutoolewa.


Waaina hii:
Mcha Mungu(mambo ya savana noo)
Anaupendo kwangu/majirani/rafiki/ndugu.
Mwaminifu.
Mvumilivu.
Asiwe mbishi.


Mambo ya kufua na kupika ata kama hajui ntamfundisha ili mradi awe na vigezo hapo juu.
Kupika(ata mama ntilie anapika) kufua ata dobi anafua. Sasa wewe paramia fani za watu ufikiri ndo umefika vigezo utaambulia tu kadi za mwaliko.
 
Ili uolewe, tunapenda mwanamke mwenyekukueshimu, anayeshauli maendeleo, asiyependa club na kutumia kilevi, mwenye ofu ya mungu, ukiwa hivyo utaolewa fasta, vice versa utatumiwa tu.
 
Kujitumikisha Kwa Mwanaume Ili Niolewe Hiyo Haipoooo
 
Wanawake wasomi wengi ni magogo kunako Sita kwa Sita....wanaume wanapenda utundu mwingi"mauno"hakuna uchawi tafuta kungwi ufundwe ......
 
Mwanamke anaringa mpaka anajisahau anakuringia nawewe boyfriend wake!! Si kila mwanamke anaweza kuwa mke!! Tena wala sio makalio makubwa tena wewe mwenye makalio makubwa ni msumbufu ni balaa et kisa wanaume wengi wanakushobokea!!
 
Wasichana wengi huwa wanajiuliza hivi.kwanini mpaka sasa ma boyfriends zao hawajawaoa na wana kila uwezo na nafasi za kufanya hivyo wanazo. au unakuta watu wamedumu muda mrefu kwenye mahusiano mwisho wa siku mwanaume anakuja kuoa mwanamke mwingine kabisaa huku we umekaa nae miaka nenda rudi.

Hivi wanaume mnapenda kuoa mwanamke wa aina gani? maana utakuta msichana ni mzuri ana kazi nzuri,anamfanyia kila kitu mwanaume wake ie kwenda kwake kufanya usafi,anapika anafua...mtu anajituma kupita maelezo ila miaka inaenda inarudi holaa..anaishia fungu la kukosa na kulalamika kupotezewa muda.

Wengine hudiriki kutoa hata tigo wakiamin itawafanywa wapendwe zaidi,wengine kubeba mimba wazae basi watafanya yote hayo ilimradi tu mwanaume aridhike lakin pamoja na yote hayoo unakuja kukuta mwanaume anaoa mwanamke mwingine kabisaa...

Hivi hawa wanaume wanataka msichana mwenye vigezo gani hasa vya kumuoa?

Kwa hisani ya Insta.

Wao wamezidi kuufanyia miili yao iwe ya majaribio ili waolewe sasa mtafanya majario mpaka lini
 
Shida ya wanawawake wa siku hz wanapenda vitu syo mtu.. Sasa si wanaume kuna mambo tunaangalia bhana.. Kuoa kwetu sisi ni jambo zito.. Ila kwa wadada kuolewa wanachukulia kama fashen......

kweli kabisa brother unatumia kinyaji gani nikutumie.SISI WANAUME SUALA LA KUOA NI JAMBO ZITO SANA HASWA KWA WAFUASI WA YESU
 
Watu8 na Tized mna maneno ya busara sana, yaani nawapongeza kwa hilo.I believe kwenye ndoa zenu mmepata chaguo sahihi.
 
Haipo Hiyoo,Zitafanyika Nitakapo Kuwa Mke Na Sio Vinginevyo

na hiyo nafasi ya eti mpaka uwe mke utaendelea kuisikia tu dada,nionyeshe nitangaze ndoa hata kesho ila ukisubiri eti mpaka uolewe waache wenzio waendelee kuolewa na kuenjoy haki yao ya kuitwa wake za watu ama Mrs.
 
na hiyo nafasi ya eti mpaka uwe mke utaendelea kuisikia tu dada,nionyeshe nitangaze ndoa hata kesho ila ukisubiri eti mpaka uolewe waache wenzio waendelee kuolewa na kuenjoy haki yao ya kuitwa wake za watu ama Mrs.
Hujaona Mlete Mada Analalamika Hata Baada Ya Kujitumikisha Vyote Hivyo Unaambulia Za Uso
Kwa Hiyo Swala La Kumfulia Boyfriend Yani Halipooooo
Fua Nguo Zako Mwenyewe...Atakayekufulia Ni Mkeo Na Si Vinginevyo
 
Hujaona Mlete Mada Analalamika Hata Baada Ya Kujitumikisha Vyote Hivyo Unaambulia Za Uso
Kwa Hiyo Swala La Kumfulia Boyfriend Yani Halipooooo
Fua Nguo Zako Mwenyewe...Atakayekufulia Ni Mkeo Na Si Vinginevyo

Hukuona pale chini nimesema kwa hisani ya nani my dear
 
Mimi huwa nasema kila siku...wanaume hawasomeki hata kidogo tena hawaeleweki wanataka nini. Unaweza kumfanyia yote unayoona wewe kwamba ni mazuri lakini akaishia kukudharau tu na kukuona hufai kuwa mkewe...ajabu hii mtu anafaa kuwa girlfriend lakini kuwa mke hafai...!!! Aisee mi msimamo wangu....nitafanya lile linalonifurahisha na kunipa amani mimi...maana najua mwanaume hata ungejitahidi kujipendekeza mwisho wa siku mtu wa kumuoa atachagua yeye. Na huenda unafanya hayo ukijua kuwa unamfanyia hayo mume mtarajiwa kumbe maskini ya Mungu mko nane mnashindanishwa.....!!! Mwisho wa siku atakayeolewa ni mmoja tu wengine huko mnabaki na majuto. I'll always be me, doing what makes me happy baaaas....kumridhisha mtu big no....mana najua mwisho wa siku hata nikimwagwa sitojuta kwa ajili ya yale niliyofanya ili kumshawishi.....
Habari ya kujizeesha baadae anakuja kuoa kabinti kabichi inahusu..???

ila angalia usije ishia sema WHY ME?
 
Back
Top Bottom