Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Shida ya wanawawake wa siku hz wanapenda vitu syo mtu.. Sasa si wanaume kuna mambo tunaangalia bhana.. Kuoa kwetu sisi ni jambo zito.. Ila kwa wadada kuolewa wanachukulia kama fashen......
Dah kweli mkuu,
 
Baada ya miaka kadhaa vichaa wakike wataongezeka kwa sababu ya stress za kutoolewa.


Waaina hii:
Mcha Mungu(mambo ya savana noo)
Anaupendo kwangu/majirani/rafiki/ndugu.
Mwaminifu.
Mvumilivu.
Asiwe mbishi.


Mambo ya kufua na kupika ata kama hajui ntamfundisha ili mradi awe na vigezo hapo juu.
Kupika(ata mama ntilie anapika) kufua ata dobi anafua. Sasa wewe paramia fani za watu ufikiri ndo umefika vigezo utaambulia tu kadi za mwaliko.
 
Ili uolewe, tunapenda mwanamke mwenyekukueshimu, anayeshauli maendeleo, asiyependa club na kutumia kilevi, mwenye ofu ya mungu, ukiwa hivyo utaolewa fasta, vice versa utatumiwa tu.
 
Kujitumikisha Kwa Mwanaume Ili Niolewe Hiyo Haipoooo
 
Wanawake wasomi wengi ni magogo kunako Sita kwa Sita....wanaume wanapenda utundu mwingi"mauno"hakuna uchawi tafuta kungwi ufundwe ......
 
Mwanamke anaringa mpaka anajisahau anakuringia nawewe boyfriend wake!! Si kila mwanamke anaweza kuwa mke!! Tena wala sio makalio makubwa tena wewe mwenye makalio makubwa ni msumbufu ni balaa et kisa wanaume wengi wanakushobokea!!
 

Wao wamezidi kuufanyia miili yao iwe ya majaribio ili waolewe sasa mtafanya majario mpaka lini
 
Shida ya wanawawake wa siku hz wanapenda vitu syo mtu.. Sasa si wanaume kuna mambo tunaangalia bhana.. Kuoa kwetu sisi ni jambo zito.. Ila kwa wadada kuolewa wanachukulia kama fashen......

kweli kabisa brother unatumia kinyaji gani nikutumie.SISI WANAUME SUALA LA KUOA NI JAMBO ZITO SANA HASWA KWA WAFUASI WA YESU
 
Watu8 na Tized mna maneno ya busara sana, yaani nawapongeza kwa hilo.I believe kwenye ndoa zenu mmepata chaguo sahihi.
 
Haipo Hiyoo,Zitafanyika Nitakapo Kuwa Mke Na Sio Vinginevyo

na hiyo nafasi ya eti mpaka uwe mke utaendelea kuisikia tu dada,nionyeshe nitangaze ndoa hata kesho ila ukisubiri eti mpaka uolewe waache wenzio waendelee kuolewa na kuenjoy haki yao ya kuitwa wake za watu ama Mrs.
 
na hiyo nafasi ya eti mpaka uwe mke utaendelea kuisikia tu dada,nionyeshe nitangaze ndoa hata kesho ila ukisubiri eti mpaka uolewe waache wenzio waendelee kuolewa na kuenjoy haki yao ya kuitwa wake za watu ama Mrs.
Hujaona Mlete Mada Analalamika Hata Baada Ya Kujitumikisha Vyote Hivyo Unaambulia Za Uso
Kwa Hiyo Swala La Kumfulia Boyfriend Yani Halipooooo
Fua Nguo Zako Mwenyewe...Atakayekufulia Ni Mkeo Na Si Vinginevyo
 
Hujaona Mlete Mada Analalamika Hata Baada Ya Kujitumikisha Vyote Hivyo Unaambulia Za Uso
Kwa Hiyo Swala La Kumfulia Boyfriend Yani Halipooooo
Fua Nguo Zako Mwenyewe...Atakayekufulia Ni Mkeo Na Si Vinginevyo

Hukuona pale chini nimesema kwa hisani ya nani my dear
 

ila angalia usije ishia sema WHY ME?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…