Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Kwa hiyo moja ya dalili za kiama ni mwanaume kubaki na mwanamke mmoja?imeandikwa wapi hii?
Jukumu kubwa la mwanadamu hapa duniani ni kuzaliana na kuijaza nchi.

(Hivi kila mwanaume akiwa na mke mmoja + maisha ya uzazi wa mpango +COVID Series nchi itakaa ijae kweli)?
Si kiama kitafika hatujakamilisha jukumu la kuijaza nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee! Umenena vyema
 
So sababu inayofanya msiwe na mmoja ni kuzuia kiama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…