Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Screenshot_2020-03-06-00-20-19-1.png
 
Hi guys,

Poleni na harakati za hapa na pale katika kupambana kuyaokoa maisha, naomba mpambane kiukweli kweli guys, this sh*t is so crazy and serious.!!

Enwei, Naomba mnijuze wanaume huwa mnavutiwa na wanawake wa aina gani?? Sababu wengi wenu huwa mnadai mnataka very straight, humble, honest and this wifey kinda, bado mkiwapata mtawasumbua hatari.!

Lakini cha kushangaza huwa mnaenda kuteseka na kuchanganyikiwa kwa hawa naughty, 'vivuruge', complicated creatures and bad girls..!!i

Hivi ni huwa mnaboeka na good girls ama ni nini..!? What's the secret behind it eti..!?
mimi awe mweupe na anayenipenda mengine ntamvumilia, hata awe kiziwi bubu kiwete sjui nini isss okeee (kwa sauti ya pierre)
 
Sis utasababisha nikeshe nafatilia comments za huu uzi!
Kwakweli hata mimi natamani kujua hawa kaka zetu nini kinaweza fanya wakatulia sehem moja na kuwekeza maupendo yote hapo maana hua sielewi
Kuwa msafi
Usimpazie sauti mwanaume
Usiwe mjuaji Sana
Usiombe pesa
Ukifanya hvyo vyote na mwanaume asitulie basi atakua amelogwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea unamtaka mwanamke kwa malengo gani.
Kuoa, tunapendelea mwaminifu, mwenye heshima. Mwanaume anaumia sana akigongewa kuliko kitu chochote. Kwahiyo anatafuta mwanamke atakayeweza kuwa nae "peke yake"

Kwa matumizi ya kawaida, tunapenda warembo. Wenye chura. Hapa hatuogopi kushare. Ndo maana kuna wanawake wanaojiuza na wanapata wateja kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi guys,

Poleni na harakati za hapa na pale katika kupambana kuyaokoa maisha, naomba mpambane kiukweli kweli guys, this sh*t is so crazy and serious.!!

Enwei, Naomba mnijuze wanaume huwa mnavutiwa na wanawake wa aina gani?? Sababu wengi wenu huwa mnadai mnataka very straight, humble, honest and this wifey kinda, bado mkiwapata mtawasumbua hatari.!

Lakini cha kushangaza huwa mnaenda kuteseka na kuchanganyikiwa kwa hawa naughty, 'vivuruge', complicated creatures and bad girls..!!i

Hivi ni huwa mnaboeka na good girls ama ni nini..!? What's the secret behind it eti..!?
Unajua kuna mambo 2,muonekano wa njee na tabia za ndani za mwanamke,unaweza ukamwona mwanamke kwa umbo ndio yule unaemwitaji ukawa nae, sasa ukakuta ana vitabia ambavyo anavyo wewe huvipendi ila kwa kuwa umependa bodi unakaa nae ukiamini atabadilika cku zinaenda mwish wa cku umechoka unamwacha anakuja huku jf kutuletea ushuhuda ulivyomfanyia

Mm mwanamke ninaempenda awe na umbo lolote ila asiwe mnene wa zaid ya kilo 80 ,mwanamke mwenye kuitaji kuolewa , mwanamke anaejitambua kwamba mm mke wa mtu mwanamke mwenye mawazo hair,mchapakazi ,anajua mwanaume anataka nn kwa muda gani pia awe mchamungu huyu ndie mwanamke ninamwitaji mm ,je wewe ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Mwanaume anaeridhika na mwanamke mmoja

ila tuu ukitaka Mwanaume Adumu na Wewe kuwa MSIKIVU kwake umpe amani ya moyo, Uwe unae Mridhisha kwenye MAPENZI akitokea tuu anaekuzidi unalo hilo, Pia uwe mwenye AKILI za Maisha siunajua ugori kipa haupendwi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom