Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Unapendwa tu na huwez kuta mwanamke anakusumbua atakusikiliza kwa kila kitu. Hongera kwa kupendwa
Wanawake wengi wanapenda wanaume wakimya na ambao ni urefu 5'10 na kuendelea!
Mimi ni mkimya na nina nyota ya kupendwa sana na wanawake wa rika tofauti! Na wananipenda kimapenzi zaidi! Ningekuwa kiwembe ningewala sana ila siko hivyo!
 
Mimi nipo kundi moja, ndio tunazingua kwa sababu, unakuta mwanamke anakupenda hana mvuto. Na tunaongoza kupendwa na wanawake wasio na mvuto! Mpka kinyaa, Tunajuta kuzaliwa na sura za mama zetu
 
Hahhahaha na ambaye ana mvuto hakupendi anapenda wa kundi la pili
Mimi nipo kundi moja, ndio tunazingua kwa sababu, unakuta mwanamke anakupenda hana mvuto. Na tunaongoza kupendwa na wanawake wasio na mvuto! Mpka kinyaa, Tunajuta kuzaliwa na sura za mama zetu
 
Yupo kundi 2
Hahahhaha kundi lipi hilo?
Hilo hilo ulilotaja hujaenda mbali na jibu langu...
.
.
Kuna bidada mmoja amenizid umri kidogo nlianzana nae mwaka 2008 alikua chuo nikiwa f6 leaver hatujawah kuwa na uhusiano rasm zaid ya kukulana tu...
Kwa mwaka tunapiga show hata mara mbili tu akipata tu kalikizo huko aliko utaskia tu nakuja huko ulipo nitengee wk yng moja nzima unipukuchueeeee (anapenda sana kutumia hili neno) mpka nikitoka huko nikalazwe hosp ya jiran... alitoka huku kwny pasaka tangu arud kwake hatujawah hata kusalimiana zaid ya nmefika salama baaaassss...
.
Sasa huyu anafall kundi gan hapo?
Simpi hela zaid ya tunazotumia tukiwa wote, no show up no kubebishana lkn kisimi kikimsimama atapanda basi anifuate nilipo na kwa sasa ni safar ya siku mbili lkn haijawa kikwazo kwake
 
Back
Top Bottom