Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Kichwa Ndio Mtu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
3,079
Reaction score
1,711
Habari.

Wakuu sina lengo la kukashifu watu ila naomba niweke wazi mtazamo wangu kuhusu wanaume wenzangu tuliopo MMU.

Kwa muda ambao nimekuwa mwanachama humu,nimegundua kua wanaume wengi wa humu ni reject mtaani.
Idadi kubwa ya wanaume humu huwa ni kulalamika tu hawakubaliki,wameachwa,hawapati wachumba nk japokua idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume,huwa najiuliza hao wanawake wasiopatikana ni wapi? Nimekuja kugundua kwamba vidume wenzangu humu wengi ni reject,hawana sifa wanawake wanazozitaka.

Nenda Love connect,mwanamke ataandika anataka mwanaume,akaambatanisha vigezo vichache,tena vya kawaida sana lakini ataishia kukatishwa tamaa na wanaume kua vigezo hivyo ajiumbie mwanaume wake maana hawezi kumpata.

Utakuta mwanamke kaandika anataka mwanaume mrefu,mwenye elimu kuanzia Diploma,miaka 30,awe na ajira au kazi binafsi,masharti ya kawaida kabisa,ataishia kuambiwa ajiumbie,najiuliza kweli watu wenye sifa hizo au zaidi hawapo MMU?

Maana yake ni kwamba wanaume wengi wa humu ni wafupi,wasio na kazi,walioishia sekondari.Sasa nimekubali kwamba wengi wetu humu ni reject.
 
Habari.

Wakuu sina lengo la kukashifu watu ila naomba niweke wazi mtazamo wangu kuhusu wanaume wenzangu tulioko MMU.

Kwa muda ambao nimekua mwanachama humu,nimegundua kua wanaume wengi wa humu ni reject mtaani.

Idadi kubwa ya wanaume humu huwa ni kulalamika tu hawakubaliki,wameachwa,hawapati wachumba nk japokua idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume,huwa najiuliza hao wanawake wasiopatikana ni wapi? Nimekuja kugundua kwamba vidume wenzangu humu wengi ni reject,hawana sifa wanawake wanazozitaka.

Nenda love connect,mwanamke ataandika anataka mwanaume,akaambatanisha vigezo vichache,tena vya kawaida sana lakini ataishia kukatishwa tamaa na wanaume kua vigezo hivyo ajiumbie mwanaume wake maana hawezi kumpata.

Utakuta mwanamke kaandika anataka mwanaume mrefu,mwenye elimu kuanzia diploma,miaka 30,awe na ajira au kazi binafsi,masharti ya kawaida kabisa,ataishia kuambiwa ajiumbie,najiuliza kweli watu wenye sifa hizo au zaidi hawapo MMU?

Maana yake ni kwamba wanaume wengi wa humu ni wafupi,wasio na kazi,walioishia sekondari.

Sasa nimekubali kwamba wengi wetu humu ni reject.

You must be crazy, with this anonymity prevailing in this forum, how dare you talk of reject men in JF! People talk at people not to people
 
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Sijambo.
Hii mada ina ukweli??

Mada inaukweli kiasi fulani. but ukweli huo ni mdogo kiasi cha kutokidhi haja ya kuanzishiwa mada. mleta mada kajiangalia mwenyewe na kutaka kutufananisha naye. We are not the same.
.....

Hii mada niliiona kabla wadau hawaanza kuchangia. nimerudi kwa vile nilikuona umepost. mimi nimekumis sana. natamani nikuone kibanda cha kahawa!!!!!!
 
Mada inaukweli kiasi fulani. but ukweli huo ni mdogo kiasi cha kutokidhi haja ya kuanzishiwa mada. mleta mada kajiangalia mwenyewe na kutaka kutufananisha naye. We are not the same.
.....

Hii mada niliiona kabla wadau hawaanza kuchangia. nimerudi kwa vile nilikuona umepost. mimi nimekumis sana. natamani nikuone kibanda cha kahawa!!!!!!
Hahaaaa!!!
Nakuja sasa hivi!!
 
Back
Top Bottom