Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Wanaume wengi tulioko JF hasa MMU ni reject

Habari.

Wakuu sina lengo la kukashifu watu ila naomba niweke wazi mtazamo wangu kuhusu wanaume wenzangu tulioko MMU.

Kwa muda ambao nimekua mwanachama humu,nimegundua kua wanaume wengi wa humu ni reject mtaani.

Idadi kubwa ya wanaume humu huwa ni kulalamika tu hawakubaliki,wameachwa,hawapati wachumba nk japokua idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume,huwa najiuliza hao wanawake wasiopatikana ni wapi? Nimekuja kugundua kwamba vidume wenzangu humu wengi ni reject,hawana sifa wanawake wanazozitaka.

Nenda love connect,mwanamke ataandika anataka mwanaume,akaambatanisha vigezo vichache,tena vya kawaida sana lakini ataishia kukatishwa tamaa na wanaume kua vigezo hivyo ajiumbie mwanaume wake maana hawezi kumpata.

Utakuta mwanamke kaandika anataka mwanaume mrefu,mwenye elimu kuanzia diploma,miaka 30,awe na ajira au kazi binafsi,masharti ya kawaida kabisa,ataishia kuambiwa ajiumbie,najiuliza kweli watu wenye sifa hizo au zaidi hawapo MMU?

Maana yake ni kwamba wanaume wengi wa humu ni wafupi,wasio na kazi,walioishia sekondari.

Sasa nimekubali kwamba wengi wetu humu ni reject.

Labda wa huku mkoani, ila ea daslam wote hensam. Nianze kuwataja???

Lols.....

Ngoja ninyamadhe tu!!!
 
Mimi ni me, nataka appointment na wewe kwa sababu najua ukiona utagundua kama uliandika utumbo.

Aisee,wewe ni me?hebo ngoja ninywe maji nije.

Umesema wewe ni me,unataka tuonane nione kama una sifa au ni mzuri,real?unataka nikuone kisha nije kukusifia humu?

Tafadhali,nina mpenzi wangu na ana wivu sana. Ushauri,nenda mombasa mkuu ndio wanawatafta watu kama wewe.
 
Kwanza salaam kwako“
Pili naona wewe sio mwanamme wewe ni mwanamke“kama ungekua mwanamme kweli usingeandika hayo ulioandika”kama kukataliwa kuwa reject ni wewe na kwenu huko`
Tatu kinachoonekana wewe ni bwana mdogo sana hata definition ya what is life hujui`fahamu wanaopitia mitandao wapo watu wa aina mbalimbali na kazi mbalimbali wengine wapo na familia zao wengine wafanyabiashara”wengine kwenye taasisi mbalimbali” wengine wehu kama wewe”
Kwa hiyo usirealize kuwa watu wako kama ulivyoandika”
Inavyoonyesha wewe unatafuta wanawake humu thus why umeandika hivyo”
Jitahidi kama mwanamme uwe kamili ila kama ke sawa tu ndiyo zenu”
Mwisho kumbuka jinsia moja hua hazipondani wewe nahisi ni jinsia ke•
 
Habari.

Wakuu sina lengo la kukashifu watu ila naomba niweke wazi mtazamo wangu kuhusu wanaume wenzangu tulioko MMU.

Kwa muda ambao nimekua mwanachama humu,nimegundua kua wanaume wengi wa humu ni reject mtaani.

Idadi kubwa ya wanaume humu huwa ni kulalamika tu hawakubaliki,wameachwa,hawapati wachumba nk japokua idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume,huwa najiuliza hao wanawake wasiopatikana ni wapi? Nimekuja kugundua kwamba vidume wenzangu humu wengi ni reject,hawana sifa wanawake wanazozitaka.

Nenda love connect,mwanamke ataandika anataka mwanaume,akaambatanisha vigezo vichache,tena vya kawaida sana lakini ataishia kukatishwa tamaa na wanaume kua vigezo hivyo ajiumbie mwanaume wake maana hawezi kumpata.

Utakuta mwanamke kaandika anataka mwanaume mrefu,mwenye elimu kuanzia diploma,miaka 30,awe na ajira au kazi binafsi,masharti ya kawaida kabisa,ataishia kuambiwa ajiumbie,najiuliza kweli watu wenye sifa hizo au zaidi hawapo MMU?

Maana yake ni kwamba wanaume wengi wa humu ni wafupi,wasio na kazi,walioishia sekondari.

Sasa nimekubali kwamba wengi wetu humu ni reject.

Utafiti wako hauna empirical evidence - numbers or quotes, pia umetumia njia moja tu ya kupata data ambayo sio sahihi sana kufikia reality.
 
Mmmmh ngoja nijiunge kwanza MMU ndio nitakua na cha kuchangia. Naweza kuleta humu ya jukwaa la kusini mwa dunia bureee wakati huku kuna BAN.
 
Utafiti wako hauna empirical evidence - numbers or quotes, pia umetumia njia moja tu ya kupata data ambayo sio sahihi sana kufikia reality.

Sio kweli,hakuna mahala nimesema nimefanya utafiti,nimesema mtazamo wangu au maoni yangu,sio utafiti.
 
Reject? Kivipi?! Tumekuwa rejected na wadada au??...! Aisee..
 
Sio kweli,hakuna mahala nimesema nimefanya utafiti,nimesema mtazamo wangu au maoni yangu,sio utafiti.

Umesema ni mtazamo wako ndio LAKINI yaliyofuata ni ushahidi kuwa mtazamo wako ni kitu cha kweli, na umeonyesha jinsi ulivyotafuta ushahidi huo. Kama hujafanya utafiti unasemaje 'umegundua'?! Unasemaje 'idadi kubwa'?! 'nenda Love connect' maanake unatoa ushahidi - yahani huko kuna data na unataka mtu anayepinga matokeo yako na argument yako a-replicate study yako kwa kutumia data zilizopo huko!!
 
Back
Top Bottom