Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Habari zenu wakuu, ukweri ndo huo.
Mwanamke ata ajue mapenzi vipi au awe mtamu kitandani Kama sio fundi wa kupika jikoni, talaka itamuhusu aende kwao akajifunze kupika.
Wanaume tunatafuta hela kwa shida tukirudi nyumbani tunahitaji tukute msosi Bomba na mapenzi motomoto, kila day mwanamke unapika vitu visivyoeleweka unategemea mume wako atakuwa na amani ya ndoa.
Ukienda kwa Shilole au kwa Esha Buheti, Sele bonge nk, unakuta namba nyingi za wanaokula pale ni wanaume wenye ndoa zao, tena unawakuta usiku, muda wa kula nyumbani Ila wapo kwenye migahawa wanasifia chakula kizuri. Ukiwauliza vipi wife nyumbani si amekuandalia msosi, utasikia majibu yao chakula cha home nimekichoka, kumbe uko nyumbani anaona misosi mibovu.
Wanaume ndio maana tunapenda kwa michepuko, unapewa penzi tamu na msosi bomba, yana msosi full, manjonjo kama yote, nguvu ya kumuacha michepuko inatoka wapi?
Makabila ambayo wanawake zao hawajui kupika👇
~ Wabena
~ Wangoni
~ Wasukuma
~ Wamatengo wa mbinga
~ Wachaga
~ Wanyakusa
~ Makabira ya singida baadhi
~ Wamasai nk
Mke wangu kama ananipikia chakula kizuri hata akicheat sina time nae, nachoangalia ni msosi tu, mbususu ipo tu naiona ya kawaida.
Wanaume tunapenda chakula kizuri, sio ufundi kitandani.
Team kataa ndoa wana mengi sana ya kutotamani ndoa.
Mwanamke ata ajue mapenzi vipi au awe mtamu kitandani Kama sio fundi wa kupika jikoni, talaka itamuhusu aende kwao akajifunze kupika.
Wanaume tunatafuta hela kwa shida tukirudi nyumbani tunahitaji tukute msosi Bomba na mapenzi motomoto, kila day mwanamke unapika vitu visivyoeleweka unategemea mume wako atakuwa na amani ya ndoa.
Ukienda kwa Shilole au kwa Esha Buheti, Sele bonge nk, unakuta namba nyingi za wanaokula pale ni wanaume wenye ndoa zao, tena unawakuta usiku, muda wa kula nyumbani Ila wapo kwenye migahawa wanasifia chakula kizuri. Ukiwauliza vipi wife nyumbani si amekuandalia msosi, utasikia majibu yao chakula cha home nimekichoka, kumbe uko nyumbani anaona misosi mibovu.
Wanaume ndio maana tunapenda kwa michepuko, unapewa penzi tamu na msosi bomba, yana msosi full, manjonjo kama yote, nguvu ya kumuacha michepuko inatoka wapi?
Makabila ambayo wanawake zao hawajui kupika👇
~ Wabena
~ Wangoni
~ Wasukuma
~ Wamatengo wa mbinga
~ Wachaga
~ Wanyakusa
~ Makabira ya singida baadhi
~ Wamasai nk
Mke wangu kama ananipikia chakula kizuri hata akicheat sina time nae, nachoangalia ni msosi tu, mbususu ipo tu naiona ya kawaida.
Wanaume tunapenda chakula kizuri, sio ufundi kitandani.
Team kataa ndoa wana mengi sana ya kutotamani ndoa.