Wanaume wengi tunapigwa na wake zetu ila hatusemi

Wanaume wengi tunapigwa na wake zetu ila hatusemi

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Leo nimeshangaa kusikia kuwa juzi kwenye tamasha fulani la muziki huu wa kizazi kipya jamaa fulani kapigwa na mpenzi wake wa kike wote ni wasanii mpaka jamaa akawa analia kama mtoto.

Nadhani hii tabia ya wanawake kuwabonda waume zao imeanza kuenea sana hapa Nchini,wengi wanabondwa ila inakuwa siri ya ndani hawasemi.

Je haya ni mapenzi,limbwata au ni wanaume kuwa tegemezi kwa wanawake nini sababu.
 
hahahahahahaaa,,,,, chembambaaaa.... mkeo keshaanza kukupiga kabisa.....halafu ulivyoitengeneza hii story... hahahahaaaa.......komaaaa jamaa.... kuna chuo cha karate manzese.....hahahhaahhaaa
 
hahahahahahaaa,,,,, chembambaaaa.... mkeo keshaanza kukupiga kabisa.....halafu ulivyoitengeneza hii story... hahahahaaaa.......komaaaa jamaa.... kuna chuo cha karate manzese.....hahahhaahhaaa
ahahahaha nosspass yule mangi atafanya yote ila kunipiga hawezi mti mkavu huu
 
Wajinga wajinga wapigwe tu! Maana wamezidi ubwege! Utapigwaje na Ke!
 
Bushoke na mme -----!
Kamwe siwezi pigwa na mke, hata awe kanizidi size kiasi gani!! Ila nasikia kuna mabaunsa wa kike toka mlima mrefu kuliko yote Afrika.
 
unauchuna tu ndugu yangu

Mkuu unaweza kuanza kusikia vishindo vya Israeli mtoa roho akikunyemelea tena kwa kosa la "uzembe na uzururaji" yaani nife kwa kupigwa wakati miguu ninayo na niaweza kia changanya kwato fasta nikayeyuka eneo la tukio kama kipanga afanyavyo. Mkuu kumbuka uhai kwanza , hayo mambo ya kuona noma hayapo mbele ya nafsi inayotaka kuacha mwili.
 
Back
Top Bottom