Wanaume wengi tunapigwa na wake zetu ila hatusemi

Wanaume wengi tunapigwa na wake zetu ila hatusemi

Hela sina mshahara kazini kujaga kuchukua yeye,alinilazimisha nimwambie bosi awe anampa yeye
 
Leo nimeshangaa kusikia kuwa juzi kwenye tamasha fulani la muziki huu wa kizazi kipya jamaa fulani kapigwa na mpenzi wake wa kike wote ni wasanii mpaka jamaa akawa analia kama mtoto.

Nadhani hii tabia ya wanawake kuwabonda waume zao imeanza kuenea sana hapa Nchini,wengi wanabondwa ila inakuwa siri ya ndani hawasemi.

Je haya ni mapenzi,limbwata au ni wanaume kuwa tegemezi kwa wanawake nini sababu.

Mn cwz ht kama nina nguvu ni zaid ya kumdhalikisha mwanaume ss ujasir wa kumuita mme mbele za watu utaupata tena loh bora mwanamke kupigwa kuliko dume kudundwa
 
We mtu unamuowa Chausiku au Mwajuma ndalandefu unategemea nn.. Yaani huyo akikushindwa kwa mangumi anabomoa nyumba apate matofali ya kukutwangia... Au atafusha flampeni ..TV ...deki ... Huku akikutolea maneno mwenyewe utanywea

Chief hapa nafikiria jinsi mtu anavyobomoa nyumba, so anaanza kubandua rangi, plasta then akute tofali 😂😂😂😂😂😂 huyo atakua kapandisha mori
 
yaani kabisa mkeo anakupiga, sijui na natamani siku atleast nishuhudie mtoto wa kiume akishushiwa vitasa na wife.
 
yaani kabisa mkeo anakupiga, sijui na natamani siku atleast nishuhudie mtoto wa kiume akishushiwa vitasa na wife.
mwanaume ukikubali kuolewa na mwanamke utapigwa tu
 
Ni kweli usemacho kuwa wanaume wengi hupigwa tena sana, ILA inategemea ni MZAWA WA WAPI? Kwa maana Kwa wa Wamaasai, Wameru, Wakurya ni baadhi ya Makabila ambayo hufuata mfumo wa Patrilinear.Yaani baba ndiye kiongozi wa nyumba, msemaji Mkuu na mamlaka pasipo kutawaliwa na wanawake, labda itokee amechakachuliwa tu kwa kulishwa limbwata.

Kwani hata kuoa kwa makabila niliyotaja hapo juu huwa wana kabidhiwa Silaha za Jadi za kumlinda na kumuadhibu Mwanamke pindi anapokwenda kinyume na Baba.

Niwape pole watu wa Pwani kwani wao ndiyo hasa Dhahama hii inawapata.
 
kwa jinsi ninavyompenda mkewa wangu yeye anipge tu wala hakuna shida.
 
Ifike wakati sasa mwanaume lazima uuvae uanaume wako na umuonyeshe mpenzi wako picha halisi ya mwanamume na kwanini MUNGU alimuumba kwanza mwanaume badala ya mwanamke.......haya mambo ya mtoto wa kiume kuchekelea hata mambo ya kipuuzi eti kwa kuwa atamkwaza mpezi wake ni kukiuka kanuni za kiuanaume....mwanaume unatakiwa uwe na misimamo hasa kwenye mambo ya msingi.......humu kuna watu wanachekelea mada za kipuuzi na wanaogopa kuzipinga eti kwa kuwa wanaogopa matusi kutoka kwa mtoa mada.....watu dizaini hiyo sitashangaa nikisikia wanapigwa makofi na wake zao aun hata wapenzi wao....SHENZI TYPE..........
 
Back
Top Bottom