ahahahaha nosspass yule mangi atafanya yote ila kunipiga hawezi mti mkavu huuhahahahahahaaa,,,,, chembambaaaa.... mkeo keshaanza kukupiga kabisa.....halafu ulivyoitengeneza hii story... hahahahaaaa.......komaaaa jamaa.... kuna chuo cha karate manzese.....hahahhaahhaaa
​trik unajidai umezimia tu
sasa utafanyaje labda muachane ,ukisema utangaze kwa watu kichapo tena
unauchuna tu ndugu yangusasa ukimwagiwa ndoo ya barafu bado utaendelea kukausha mazima tu?
unauchuna tu ndugu yangu