Majuma machache yaliyopita kuliibuka mijadala mikali sana ya kumdhalilisha mwanaume mwenzetu maarufu sana kwenye tasnia ya burudani hapa nchini kwetu Tanzania jina lake nalihifadhi kwa picha iliyorushwa na mwanamke mmoja mjinga jinga mno, mwenye husda za kipuuzi kwa waliofanikiwa zaidi yake ,asiyependa maendeleo ya wengine, mchawi mchawi sana, na mropokaji aishiye kwa Trump mwenye stress nyingi sana za maisha kutokana na kutofikia malengo yake aliyojipangia kimaisha, na hivyo anaamua kuwaprovoke wengine washindwe kama yeye ili tu kupunguza stress zake za kushindwa kwake kimaisha.
Kimsingi picha zile hazikuwa nzuri kwani ziliingilia privacy ya huyu muhanga mpenda matunuzi kwa kiasi kikubwa sana kwa kumdhalilisha sana na ni dhahiri alionekana kuweweseka sana kutokana na comments zake baada ya tukio lile.
Kilichonishangaza sana ni wengi wa wanaume tena nimewapendelea, vivulana vipuuzi pia viliingia kwenye mtego wa huyo p.imbi wa kwa Trump kwa kumdhihaki mhanga eti kwa kinachosemekana kuwa ana kibamia. Ingawaje huyu jamaa mimi pia huwa napishana nae sana kimitazamo kutokana na life style anayoishi na itikadi yake katika masuala mbalimbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi, lakini kwa hili namtetea kwa nguvu zote.
Naamini kabisa mwanamke yeyote anayelalamika kuwa jamaa yake ana kibamia, kuna uwezekano mkubwa sana na yeye atakuwa na shimo lenye kina kirefu sana linaloweza kumuhifadhi hata joka refu lenye sumu kali sana aina ya koboko kwa urefu wake. Wanawake wenye vina vifupi au vya kawaida wala hawana tatizo na wanaume wahanga wa sampuli ya mhanga nayemzungumzia kwani kimsingi wamejitunza hawajapitiwa na mitalimbo mingi ya tofauti tofauti kama alivyopitiwa huyo mdada wa kwa trump hadi akaachwa na mumewe kwa kuwa inawezekana pango lake lilimnyima raha ya tendo la ndoa.
Wanaume niliowazungumzia hasa wote mlioshabikia upuuzi ule kwa kweli mmezingua sana na mmejidhalilisha mno kwani nimepata picha inawezekana hata nyinyi pia mkawa mnagongwa na mamendez na ndio maana mnajua kuwa vidushelele vichelema haviwakuni vizuri.
Tunapaswa kuwatetea na wanaanewa na kudhalilishwa kama huyu mhanga
Naomba kuwasilisha.
Nakaribisha povu la sabuni za aina zote.
Over!