Wanaume wengi wa JF mnatia aibu sana, mnajivua utu wenu mno

Wanaume wengi wa JF mnatia aibu sana, mnajivua utu wenu mno

Naunga mkono hoja ....kile ni kitendo cha kinyama. Hata kama humpendi binadamu mwenzio ni vizuri kubakiza utu wake na kuheshimu walau uamuzi wa muumba wetu kumfanya alivyo iwe kwa uzuri au ubaya. Kile hakikuwa kitu cha kushabikia bali kukemea!
Inst-image-1.jpg
 
steveachi kwani na Wewe una Njiti ya Kibiriti ( Okra ) mdogo wangu?


Hahahaaaaa,broo sisi ni watetezi wa wanyonge tu.

Upo brooooooo?

Mkuyenge wangu unaujua vizuri sana bro ukizingatia wewe ni mybloody broooooo.

Jane yule wa Sinza uliyempaga dollar 100 fake baada ya kumkayee alivyoleta tamaa zake za pesa mbele hadi mtoto wa mjini wewe ukamfanyia umafia ule alikimbia mechi baada ya kuona dhakahari yangu kaka .

Kuwa kwetu sawa tusikae kimiya wakionewa wanyonge kama mhanga nayemuongelea

Au wewe unaonaje Brooooo
 
Hiyo tabia ilikuwepo upande wetu ila kwa sasa naona taratiibu inahamia huko kwenu.

Ila kwa Upande mwingine si anakidude kweli sa ulitaka wasemeje labda wakati kakitu kenyewe kalikuwa kanaonekana mubashara.

Vipo vya kumtetea mtu ila sio kwa kitu kama kile ambapo hata ukitetea watu watakushangaa. Wacha kulaumu.
😀😀😀😀😀
aisee umejua kunichekesha asubuhi hii mpendwa
 
Hiyo tabia ilikuwepo upande wetu ila kwa sasa naona taratiibu inahamia huko kwenu.

Ila kwa Upande mwingine si anakidude kweli sa ulitaka wasemeje labda wakati kakitu kenyewe kalikuwa kanaonekana mubashara.

Vipo vya kumtetea mtu ila sio kwa kitu kama kile ambapo hata ukitetea watu watakushangaa. Wacha kulaumu.

Mi nimemtetea kwa kudhalilishwa mkuu,angelikuwa ni ndugu yako wa karibu ungelifurahia japo ndio maumbile yake?
Kwani wenye maumbile makubwa wamejiumba wenyewe??

Kuna utani wa kutaniana ila sio kwa vya ndani kama vile mkuu
 
Majuma machache yaliyopita kuliibuka mijadala mikali sana ya kumdhalilisha mwanaume mwenzetu maarufu sana kwenye tasnia ya burudani hapa nchini kwetu Tanzania jina lake nalihifadhi kwa picha iliyorushwa na mwanamke mmoja mjinga jinga mno, mwenye husda za kipuuzi kwa waliofanikiwa zaidi yake ,asiyependa maendeleo ya wengine, mchawi mchawi sana, na mropokaji aishiye kwa Trump mwenye stress nyingi sana za maisha kutokana na kutofikia malengo yake aliyojipangia kimaisha, na hivyo anaamua kuwaprovoke wengine washindwe kama yeye ili tu kupunguza stress zake za kushindwa kwake kimaisha.

Kimsingi picha zile hazikuwa nzuri kwani ziliingilia privacy ya huyu muhanga mpenda matunuzi kwa kiasi kikubwa sana kwa kumdhalilisha sana na ni dhahiri alionekana kuweweseka sana kutokana na comments zake baada ya tukio lile.

Kilichonishangaza sana ni wengi wa wanaume tena nimewapendelea, vivulana vipuuzi pia viliingia kwenye mtego wa huyo p.imbi wa kwa Trump kwa kumdhihaki mhanga eti kwa kinachosemekana kuwa ana kibamia. Ingawaje huyu jamaa mimi pia huwa napishana nae sana kimitazamo kutokana na life style anayoishi na itikadi yake katika masuala mbalimbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi, lakini kwa hili namtetea kwa nguvu zote.

Naamini kabisa mwanamke yeyote anayelalamika kuwa jamaa yake ana kibamia, kuna uwezekano mkubwa sana na yeye atakuwa na shimo lenye kina kirefu sana linaloweza kumuhifadhi hata joka refu lenye sumu kali sana aina ya koboko kwa urefu wake. Wanawake wenye vina vifupi au vya kawaida wala hawana tatizo na wanaume wahanga wa sampuli ya mhanga nayemzungumzia kwani kimsingi wamejitunza hawajapitiwa na mitalimbo mingi ya tofauti tofauti kama alivyopitiwa huyo mdada wa kwa trump hadi akaachwa na mumewe kwa kuwa inawezekana pango lake lilimnyima raha ya tendo la ndoa.

Wanaume niliowazungumzia hasa wote mlioshabikia upuuzi ule kwa kweli mmezingua sana na mmejidhalilisha mno kwani nimepata picha inawezekana hata nyinyi pia mkawa mnagongwa na mamendez na ndio maana mnajua kuwa vidushelele vichelema haviwakuni vizuri.

Tunapaswa kuwatetea na wanaanewa na kudhalilishwa kama huyu mhanga


Naomba kuwasilisha.

Nakaribisha povu la sabuni za aina zote.

Over!
Mtu mwenye hekima na busara, mara zote huwa anaakiba ya maneno pale anapozungumza. Kwa hili uko sawa
 
Aliye jitangaza na aliye jidharirisha ni yeye kutokuwa na hekima kwenye machaguo yake kachagua chizi mwenyewe kwani huyo ndiye alikuwa wa kwanza kukutana naye wapo watangulizi hawakutoa habari hizi kosa ni lake ajifunze utulivu kwenye maamuzi
 
Back
Top Bottom