Wanaume wengi wa JF mnatia aibu sana, mnajivua utu wenu mno

Wanaume wengi wa JF mnatia aibu sana, mnajivua utu wenu mno

Mi nimemtetea kwa kudhalilishwa mkuu,angelikuwa ni ndugu yako wa karibu ungelifurahia japo ndio maumbile yake?
Kwani wenye maumbile makubwa wamejiumba wenyewe??

Kuna utani wa kutaniana ila sio kwa vya ndani kama vile mkuu
Mmh. We kama umeamua kumtetea mtetee tu sababu yule sio mtoto mdogo na angekuwa ndugu yangu ndio ningemdharau mpaka basi na sio kwa maumbile yake hapana bali kwa ujinga anaoufanya hadi kudhalilika kiasi kile. Hivyoo.

Siku nyingi anadharaulika ila hicho kiungo ndio kimekuwa kama sababu ya watu kuonyesha dharau zao waziwazi
 
Kumtetea BABU WA MIAKA 60 ambaye hakubali Kuwa yeye ni MZEE,,, hataki kuoa, kutwa kuhangaika na vibinti vya miaka 21,,,, yataka UJASIRI WA HALI YA JUU,,, yaliyomkuta MR KINUKTA alistahili yamkute,,, angekuwa ni mkewe angemfanya vile? Na kibaya zaidi hana MMOJA,,, MA BEBEZ YUNOO.,, RANGI YA MTUME YUNOO.... sasa kakutwa na KINUKTA huruma ya nn? anapaswa ape,,, atulie,, sio kuonyeshana TUPU NA VIJUKUU VYAKE,,, shubamit. Kajidhalilisha mwenywe,,, hakumdhalilisha yeyote,,, kila MWANAUME na CHAKE alichokificha KWENYE PICHU yake,,, sasa KINUKTA cha LEMUTUZ WENGINE kinatuhusu nn? hadi ipelekee kunidhalilisha? WEWE BABU tafuta mke OA,,,, YESTERDAY IS NO MORE,,, YOU CANT BRING IT BACK..... accept it now,,
 
Hahahaaa. Huruma ya nini Mkuu?
Ila jamaa amezoea kujiaibisha sana eti bado alitoa ufafanuzi. .mcheki kileo alivyotulia mnabaki kuangaika tuu na spéculation kitu gani kimetokea. Huwezi kushindana na mwanamke maneno bora umchape vibao tuu
 
Ila jamaa amezoea kujiaibisha sana eti bado alitoa ufafanuzi. .mcheki kileo alivyotulia mnabaki kuangaika tuu na spéculation kitu gani kimetokea. Huwezi kushindana na mwanamke maneno bora umchape vibao tuu
Hahahaaaa. Na kweli aiseee.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahaaaa. Na kweli aiseee.
Mwanaume kapewa nguvu mwanamke mdomo. Kilichotokea alitaka kuwa against nature na nature haikosolewi lazima ikunyooshe. Ukimkuta mwanaume anamdomo basi hana nguvu na ni shoga na mwanamke mtata basi haongei sana unashangaa kakupiga vichwa. Mikasa ya wanawake watata ipo tarime yani demu anakupiga chupa na vichwa mtu wa dar nilishangaa sana ubabe kule unatakiwa uwe mbabe sana ila kama unazuga meno utaacha bar
 
Mwanaume kapewa nguvu mwanamke mdomo. Kilichotokea alitaka kuwa against nature na nature haikosolewi lazima ikunyooshe. Ukimkuta mwanaume anamdomo basi hana nguvu na ni shoga na mwanamke mtata basi haongei sana unashangaa kakupiga vichwa. Mikasa ya wanawake watata ipo tarime yani demu anakupiga chupa na vichwa mtu wa dar nilishangaa sana ubabe kule unatakiwa uwe mbabe sana ila kama unazuga meno utaacha bar

Hahahaaa. Umejua kunichekesha mno ujue.

Ndio hivyo ila ameshajifunza sasa kwamba vipo vya kuchezea ila sio mwanamke.
 
Naunga mkono hoja ....kile ni kitendo cha kinyama. Hata kama humpendi binadamu mwenzio ni vizuri kubakiza utu wake na kuheshimu walau uamuzi wa muumba wetu kumfanya alivyo iwe kwa uzuri au ubaya. Kile hakikuwa kitu cha kushabikia bali kukemea!
Umeongea vyema kaka, umefika wakati hatuheshimu utu wa wengine, kitu ambacho ni hatari sana
 
Kuhusu Mange Kimambi mm namtetea 100% kwny harakati zake za kupigania usawa ktk nchi yetu, she's a good fighter..

Kuhusu ugomvi ya Mange na Le Mutuz Hapo Siwezi kuingilia maana wale kwa upande mwingine ni ndg wenye mahusiano ya kifamilia, wanajuana zaidi kuliko sisi tunavowajua!

Kwa upande wa Lemutuz binafsi huwa Namuona fala fala fulani, kubwa jinga aliepoteza mwelekeo wa kimaisha, anajidhalilisha yy na zaidi anamdhalilisha sana baba yake ambae nchi nzima inamheshimu sana kutokana na nyadhifa alizowahi kushika serikalini ikiwemo waziri mkuu na makamo wa pili wa Rais!

Kwetu wanaume inatakiwa tu kujiamini, whether una kibamia au mtalimbo, Mhimu ni kujua namna ya kutumia vizuri kifaa chako, hata km utakutana na bwawa la nyumba yq mungu!
Well
 
Kibamia sio ugonjwa halaf sio wanawake wote wanapenda mandingo
 
Hahahaaa. Umejua kunichekesha mno ujue.

Ndio hivyo ila ameshajifunza sasa kwamba vipo vya kuchezea ila sio mwanamke.
Yani kama ukisingiziwa kashfa ya ushoga sijui unajiteteaje. Alishazushiwa hiyo kashfa Kuna kipindi mimi kama mwanaume niliona aibu ila yeye eti akajibu mapigo. Ningekuwa yeye ningefanyizia ndugu zake twende ngoma draw au kumroga tu though ni dhambi ila baadae ntamuomba mungu anisamehe. Mwanaume haongei ni vitendo
 
Yani kama ukisingiziwa kashfa ya ushoga sijui unajiteteaje. Alishazushiwa hiyo kashfa Kuna kipindi mimi kama mwanaume niliona aibu ila yeye eti akajibu mapigo. Ningekuwa yeye ningefanyizia ndugu zake twende ngoma draw au kumroga tu though ni dhambi ila baadae ntamuomba mungu anisamehe. Mwanaume haongei ni vitendo

Hahahaaaa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umenifanya niiangalie tena na tena ile clip ya kibamia cha L kinavyoruka ruka akijifuta maji.🙂🙂 Kwa umburula wake wacha aaibishwe, tena kaibika peke yake wala wanaume wengine hawahusiki na aibu hii. Ameyataka mwenyeweeeee!! Mangeeeee kaza buti vile unavyotukaniwaga Babako huwa inatuumiza wengi. Acha nae aionje joto ya kibamia
 
Hahahaaaaa,broo sisi ni watetezi wa wanyonge tu.

Upo brooooooo?

Mkuyenge wangu unaujua vizuri sana bro ukizingatia wewe ni mybloody broooooo.

Jane yule wa Sinza uliyempaga dollar 100 fake baada ya kumkayee alivyoleta tamaa zake za pesa mbele hadi mtoto wa mjini wewe ukamfanyia umafia ule alikimbia mechi baada ya kuona dhakahari yangu kaka .

Kuwa kwetu sawa tusikae kimiya wakionewa wanyonge kama mhanga nayemuongelea

Au wewe unaonaje Brooooo

Ha ha ha ha ha ha Kijana husahau ' Umafia ' wangu ule mpaka leo? Jamani leo let me break this to you kwamba huyu Member steveachi ni Mdogo wangu wa Damu kabisa ( upande wa Mama zetu ila kwa Baba zetu Yeye ni Mtanzania mwenzenu na Mimi ni Mnyarwanda ) na mpaka leo anashangaa niliijuaje hii ID yake ndipo nikamwambia kuwa amesahau kwamba Kaka yake Mimi ni ' Mafia ' niliyejaa mbinu zote za Kiyahudi pale wanapotaka Kujua Kitu chao na kwamba huwa wakilitaka lao hawashindwi muda na wakati wowote.

Nafurahi sana Mdogo wangu kukuona nawe ukitiririka na kuserereka humu ' Jamvini ' JamiiForums na tafadhali usiwe unapotea humu kwani hakuna mahala ambapo unaweza kupata ' maarifa ' mengi na pia ' Kujifunza ' mambo mengi kama hapa JamiiForums na ukiwa sana ' mbobezi ' wa kuwepo humu mara kwa mara na ukawa unachangia au hata ' unacharurana ' na Wenzako huku ukijenga nao ' Hoja ' hata uwezo wako wa akili / kufikiri unakuwa mkubwa mno.

Binafsi tokea niwe Member wa JamiiForums naona uwezo wangu wa akili / fikra / upeo umeongezeka maradufu kwani humu kuna ' Mijitu ' ina akili na inajua kufikiri hadi raha hivyo ukiwa na tabia ya ' kubishana ' au ' kucharurana ' nao amini hata ujengaji wako wa ' Hoja ' utakuwa juu. Huku mitaani Kaka yako GENTAMYCINE nakubalika na naonekana bonge la ' Genius ' lakini hawajui tu kuwa ' maarifa ' yangu mengi nayapata kutoka katika Mtandao wangu bora na ninaupenda duhiani kama wa JamiiForums na ukitaka ' Kuniudhi ' Wewe niambie tu nisiingie JamiiForums hapo ' utayakoga ' hadi ujute kunifahamu.

Oya Mdogo wangu Member yoyote akikuonea humu ' Jamvini ' Wewe niripotie tu Kwangu Mimi Kaka yako ' Fasta ' ili nimpe ' discipline ' na waufyate ( jamani nawapigeni tu mkwara msimaindi bure ). Vipi Timu yetu ya hapo SabaSaba Morogoro ya Burkinafaso FC haijapanda tu Ligi Kuu? Nisalimie sana ' Wadau ' wote wa hapo mjini Morogoro na wale Marafiki zangu wa mida ya Usiku tu wa hapo maeneo ya Kahumba.
 
Back
Top Bottom