Wanaume wengi wa JF na facebook ni wachovu tofauti na wanaume wa mitandao mingine

Kama unajiunga mitandaoni kutafuta wanaume Wa kununua vile !!
 
sawa wewe endelea kujiuza kwenye mitandao, ukiingia kwenye Gridi ya Taifa hautaomba ushauri Instagram, twitter, baddoo au reddit....utakujaa humu humu Jf
 
Pumbavuuuuuu, ina maana wewe upo humu kutafuta wanaume wa kukutia ama umefuata nini humu. Hebu funguka bana usiongelee pembeni pembeni.
 
Hiyo tabia mbaya sumbai kaianza lini? Maana siku hizi naona anahubir kuwa wao hawawezi kuwa na mwanamke mmoja.
hahahahaha. Hela Dada zinambadili mtu.
Anachepuka kama vile ana mapepo.
Haya sumbai ukuje kwenye kikao huku ukweli. Usutwee na shemeji yako .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…