Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
raha jipe mwenyewe, mimi siku hizi karibu kila siku natoka, naenda chimbo na wana napiga lite 5-7 na value au K vant narudi geto nalala.
[emoji15][emoji15][emoji15]raha jipe mwenyewe, mimi siku hizi karibu kila siku natoka, naenda chimbo na wana napiga lite 5-7 na value au K vant narudi geto nalala.
Wana wale nyamaAcha wana wanywe bia.
ndio Mkuu, hapo nikirudi getto nashusha usingizi mmoja hatari sana😁[emoji15][emoji15][emoji15]
Hii chupa mpya au?View attachment 1755930
Nachanganya
✊🏾Kama umebahatika kupata mtoto/watoto. Una savings nzuri kwa ajili ya wanao. Umewaandalia college funds. Umeandika will yako vizuri. Umeishi kwa amani na umejiandaa vizuri. Kwa nini ujivishe bomu na kuoa hawa mabinti wa kisasa hawa wasioeleweka?
Bunafsi sina regrets hata nikifa leo. Nitakufa kwa amani na upendo tosha. Lakini kuanza kuendeshwa na hivi visichana pasua kichwa hivi vya kisasa kwa kweli hapana...
Long live lifetime bachelors [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji91][emoji91][emoji91]
Kama wewe upo fresh hongera, lakini kitaa mademu mizinguoEndeleeni hivyo hivyo.
Nilijua mnazungumzia wake zenu kumbe manzi..haya kwaherini.Kama wewe upo fresh hongera, lakini kitaa mademu mizinguo
Akikuona anaona hela tu anaona fursa inaboa sana
Yaani anaomba vitu kama anakomoa vile kama Danga wakat ni manzi yako
Hii ilikuja halafu ikatoweka. Naona waliona haina mvuto!Hii chupa mpya au?
Ukisubiri kupewa raha na mwanamke utateseka sanaraha jipe mwenyewe, mimi siku hizi karibu kila siku natoka, naenda chimbo na wana napiga lite 5-7 na value au K vant narudi geto nalala.