Wanaume wengi wanafanikiwa kupitia migongo ya Wanawake

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mi nimeleta maada hapo tujifunze wewe unaanza mambo ya copy na paste umekuwa computer?@sonnita
Hahahaha,hapanaa,kama hujui nikuambie tuu siku ingine usirudie kosa.
Content unayoweka publicly especially kwa maandishi kama sio kazi yako ni vizuri kum-acknowledge owner(ulipoitoa).
Usifanye kavile wewe ndo mhusika mkuu. Ni hayo tuu.
 
Hahahaha [emoji23],usemage tuu mkuu. Humu ndani hakunaga jema ilimradi ushawabwagia ukweli wao,wahangaike nao wenyewe.
Alafu kesho mtu huyo huyo unamkuta anaparamia nyuzi za ajiraπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na anakifuata hadi pm kuuliza connection kama panya aliemeza sumu akitafuta majiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Story yako inafanana sana na yangu, kawaida napambana sana , ila nilikuwa nina matumizi mengi ya kijinga , until nilipokutana na huyu darasa la saba !!
Maisha yalibadilika the day ameingia ghetto , tukaanza kununua jiko la mchina sufuria na vijiko, baada ya hapo ilifata miujiza mingi sana ya maendeleo , yeye akiwa mama tu wa nyumbani ,sasa hivi anafanya biashara zake kwa usimamizi wake ,naamini nisingeweza bila yeye na mara kadhaa nimempab credit kwa hilo.
 
Alafu kesho mtu huyo huyo unamkuta anaparamia nyuzi za ajira[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na anakifuata hadi pm kuuliza connection kama panya aliemeza sumu akitafuta maji[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kabisa,ndo walimwengu sie tulivyo.
 
Hahahaha,hapanaa,kama hujui nikuambie tuu siku ingine usirudie kosa.
Content unayoweka publicly especially kwa maandishi kama sio kazi yako ni vizuri kum-acknowledge owner(ulipoitoa).
Usifanye kavile wewe ndo mhusika mkuu. Ni hayo tuu.
Poa usijali
 
Darasa la saba wengi wanaakili natural ambazo hazijachakachuliwa na theories nyingi za kijinga za wazungu na kunyonya nguvu asilia ya Mungu ndani ya mtu!!

Elimu zetu hizi ni toxic sana kwa minds zetu na zimefifiza uwezo asilia tuliopewa na muumba!

We fikiria kwa miaka 17 unafyonza elimu ya uwazungu akili ya utafutaji itatoka wapi!!?

Ni rahis sana darasa la saba kuwa tajiri kuliko msomi coz usomi ni ulemavu wa akili kuu yaani Brain stem ya asili imechoshwa na ujinga wa kusoma vitu vya kufikirika vya wageni!!

Nina bachelor lakini haina uwezo wa kunifanya niwe tajiri zaidi ya kuwa mtumwa wa kuajiriwa!!!

Ndio maana hata huyo muhasibu kasema yeye hana akili bali mkewe anajua huo uhasibu uliua kipaji chake cha asili ambacho Mungu alimpa!!!

Tujipe pole wasomi ndio maana kina profesa kabudi,mhongo, na wengineo wakakimbia usomi wao wakaenda siasani!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…