Wanaume wengi wanao "date" na wanawake waliowazidi umri, wengi wao walikosa mapenzi ya mama

Wanaume wengi wanao "date" na wanawake waliowazidi umri, wengi wao walikosa mapenzi ya mama

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Wale wanaume wanaopenda kudate wanawake waliowazidi umri wengi wao walikosa mapenzi ya mama zao tangu wakiwa wadogo mpaka wamekua. Kukosa mapenzi ya mama zao kunawafanya watafute wanawake wakubwa kiumri zaidi yao.

Wanahisi wanawake hao watawalea kama mama zao. Na ndio inavokua mara nyingi wanawake hao wanakuwa wanatimiza majukumu kama ya mama kwa wanaume hao.

Na hii sio kwa wanaume tu hata wanawake walikosa mapenzi ya baba nao wanapendaga kudate wanaume wenye umri mkubwa kuliko wao. Wazazi waleeni vizuri na muwape upendo unaostahiki ili wasijisikie unyonge na upweke au kama wamekosa mapenzi ya wazazi,

Matokeo yake wanaenda kutafuta mijimama na mijibaba iwalee ili wapate upendo waliokuwa wameukosa kutoka kwenu tangu wakiwa watoto wadogo... ✍️
 
Kizuri tu kwa wanawake wakubwa sio kulea wala nini, ni ile amani tu.

An older woman anajua anachotaka na hakuna stress mob.

Ukitaka kumkaza hazungushi maneno anakupa yote vivyo hivyo akitaka.

Hakuna bugudha za "umekula nini my wangu". Ni strictly business. Na michongo pia anakupa if need be.

Changamoto ni kutoka nae out, kama mshipa wa aibu bado uko intact utashindwa.

A man jus needs peace in a relationship, na hawa hawana drama
 
Wale wanaume wanaopenda kudate wanawake waliowazidi umri wengi wao walikosa mapenzi ya mama zao tangu wakiwa wadogo mpaka wamekua.

Kukosa mapenzi ya mama zao kunawafanya watafute wanawake wakubwa kiumri zaidi yao.

Wanahisi wanawake hao watawalea kama mama zao. Na ndo inavokua mara nyingi wanawake hao wanakua wanatimiza majukumu kama ya mama kwa wanaume hao.

Na hii sio kwa wanaume tu hata wanawake walikosa mapenzi ya baba nao wanapendaga kudate wanaume wenye umri mkubwa kuliko wao.

Wazazi waleeni vizuri na muwape upendo unaostahiki ili wasijisikie unyonge na upweke au kama wamekosa mapenzi ya wazazi,

Matokeo yake wanaenda kutafuta mijimama na mijibaba iwalee ili wapate upendo waliokua wameukosa kutoka kwenu tangu wakiwa watoto wadogo... ✍️
Karudie tena kufanya utafiti, wanaume wandate na wanawakew waliowazidi umri sababu ya kutafuta Kitonga/mseleleko ili waziepuka stress za mizinga,japokuwa hao wa mama wana walemaza kufikiria kutafuta hela.
 
Nimeshindwa kusoma lote; Nje ya mada nataka unilee na mimi
Wale wanaume wanaopenda kudate wanawake waliowazidi umri wengi wao walikosa mapenzi ya mama zao tangu wakiwa wadogo mpaka wamekua.

Kukosa mapenzi ya mama zao kunawafanya watafute wanawake wakubwa kiumri zaidi yao.

Wanahisi wanawake hao watawalea kama mama zao. Na ndo inavokua mara nyingi wanawake hao wanakua wanatimiza majukumu kama ya mama kwa wanaume hao.

Na hii sio kwa wanaume tu hata wanawake walikosa mapenzi ya baba nao wanapendaga kudate wanaume wenye umri mkubwa kuliko wao.

Wazazi waleeni vizuri na muwape upendo unaostahiki ili wasijisikie unyonge na upweke au kama wamekosa mapenzi ya wazazi,

Matokeo yake wanaenda kutafuta mijimama na mijibaba iwalee ili wapate upendo waliokua wameukosa kutoka kwenu tangu wakiwa watoto wadogo... [emoji3578]
 
Wale wanaume wanaopenda kudate wanawake waliowazidi umri wengi wao walikosa mapenzi ya mama zao tangu wakiwa wadogo mpaka wamekua.

Kukosa mapenzi ya mama zao kunawafanya watafute wanawake wakubwa kiumri zaidi yao.

Wanahisi wanawake hao watawalea kama mama zao. Na ndo inavokua mara nyingi wanawake hao wanakua wanatimiza majukumu kama ya mama kwa wanaume hao.

Na hii sio kwa wanaume tu hata wanawake walikosa mapenzi ya baba nao wanapendaga kudate wanaume wenye umri mkubwa kuliko wao.

Wazazi waleeni vizuri na muwape upendo unaostahiki ili wasijisikie unyonge na upweke au kama wamekosa mapenzi ya wazazi,

Matokeo yake wanaenda kutafuta mijimama na mijibaba iwalee ili wapate upendo waliokua wameukosa kutoka kwenu tangu wakiwa watoto wadogo... ✍️
mtazamo wangu nadhani
wanafata mteremko tu huenda wanapata penzi kwa wakati au hawakumbani na changamoto za subiri subiri.
 
Wanawake wakubwa akili zao tayari zimetulia,hawa wapenda tiktok wanakuwa bado wako tuisheni ya maisha.

Kila kitu wanajua,ni ubishi na kuchallenge hata vitu vilivyo wazi ilimradi waonekane na wao kuna input yao kwenye mahusiano.

Na kama wote tunakipato kwanini mnataka huduma kama vile ni wake zetu tayar?! Kodi ya chumba,nauli na hela ya kula kila mwezi.

Hao wanaotuzidi umri hakuna hizo mambo outing, minyoosho kwa bed,support ya mawazo na uchumi,no kufuatiliana na kuhojiana. Simple,direct and peaceful maisha
 
Watu tumekuwa wa ajabu sana, yaani unawaza kitu kisha unataka hayo mawazo yako yawe rasmi....mbona Mimi nimeishi na mama yangu na kupata malezi yake hadi nimemaliza form 4 ila kwa sasa namnyandua mmama tu hapa
 
No Drama.

Hawana lingine zaidi ya hilo,,, wako free sana na wanavua inapohitajika kufanya hvyo,, No excuse..

Alisikika braza wa miaka 40 akishauri
 
Back
Top Bottom