Wanaume wengi wanao "date" na wanawake waliowazidi umri, wengi wao walikosa mapenzi ya mama

Wanaume wengi wanao "date" na wanawake waliowazidi umri, wengi wao walikosa mapenzi ya mama

Wanawake wakubwa akili zao tayari zimetulia,hawa wapenda tiktok wanakuwa bado wako tuisheni ya maisha.

Kila kitu wanajua,ni ubishi na kuchallenge hata vitu vilivyo wazi ilimradi waonekane na wao kuna input yao kwenye mahusiano.

Na kama wote tunakipato kwanini mnataka huduma kama vile ni wake zetu tayar?! Kodi ya chumba,nauli na hela ya kula kila mwezi.

Hao wanaotuzidi umri hakuna hizo mambo outing, minyoosho kwa bed,support ya mawazo na uchumi,no kufuatiliana na kuhojiana. Simple,direct and peaceful maisha
Mnataka kulelewa tu
 
Back
Top Bottom