Wanaume wengi wanaumwa, hawaendi Hospitali. Wanawake wengi wapo Hospitali kuliko wanaume

Wanaume wengi wanaumwa, hawaendi Hospitali. Wanawake wengi wapo Hospitali kuliko wanaume

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Wanaoongoza kwa kufa ni wanaume but yet wanaonekana sana Hospital ni Wanawake. Nenda Hosp yoyote au hizi za Serikal kama MuHimbili n.k kaangalie walioko kwenye foleni.

Asilimia 80 ni wanawake. Most of them.je wanaume hawaumwi? Wanaumwa ila

1. Wagumu sana kwenda Hosp
2. Wanaumwa wanaendelea kutafuta pesa kwa ajili ya family

Ndo maana wakiumwa huwa wanaumwa kweli na asilimia kubwa hufariki duniya. Sababu huanza enda Hosp hali ikiwa mbaya zaidi au wakiwa wamechelewa.
 
Wanaoongoza kwa kufa ni wanaume but yet wanaonekana sana Hospital ni Wanawake. Nenda Hosp yoyote au hizi za Serikal kama MuHimbili n.k kaangalie walioko kwenye foleni.

Asilimia 80 ni wanawake. Most of them.je wanaume hawaumwi? Wanaumwa ila
1. Wagumu sana kwenda Hosp
2. Wanaumwa wanaendelea kutafuta pesa kwa ajili ya family

Ndo maana wakiumwa huwa wanaumwa kweli na asilimia kubwa hufariki duniya. Sababu huanza enda Hosp hali ikiwa mbaya zaidi au wakiwa wamechelewa.
Tunawatibu watu mahospitalini huku sisi tukiwa hoi kisha wakipona wanaenda kuchepuka,

Uanaume Uanaume Uanaume
 
Tukienda hospital familia zetu zitakufa kwa njaa,kwa Tz unaweza kushangaa kijana wa just 40 years anategemewa na zaidi ya watu kumi (extended family) then usipotoka kwenda kutafuta kuna watu watalala njaa,mtu hawezi kuwa na vijimafua na kichwa kinauma aende hospital,anapambana na Mungu anatulinda juu kwa juu huwa tunapona tu.Na ndiyo maana Life yetu si lefu sana kama wanawake

NB: MWANAUME NA AHESHIMIWE NA KILA MTU
 
Tukienda hospital familia zetu zitakufa kwa njaa,kwa Tz unaweza kushangaa kijana wa just 40 years anategemewa na zaidi ya watu kumi (extended family) then usipotoka kwenda kutafuta kuna watu watalala njaa,mtu hawezi kuwa na vijimafua na kichwa kinauma aende hospital,anapambana na Mungu anatulinda juu kwa juu huwa tunapona tu.Na ndiyo maana Life yetu si lefu sana kama wanawake

NB: MWANAUME NA AHESHIMIWE NA KILA MTU
huu uzi tutautumia kujitutumua sana.
 
kweli, nimeona baba akigombana na mama kisa hataki kwenda hospitali wakati anaonesha kuumwa

wanaume sijui tunaonaje mazingira ya kanisani na hospitalini

au tunaona dawa ni 'kujikaza' tu kiume?
Wanaume hakuna kudeka. Na wakati mwingine mtu anawaza gharama, anawwaza muda anaoweza poteza, anawaza taharuki anayoweza leta, anawaza kusimama kwa shughuli zake.
 
Vijijini huko binti wa 21years ana watoto wa4, mwanaume wa miaka 24-28 ana majukumu mazito, ana mke watoto kama 5/6, ndugu na wazazi wanamtegemea huku kipato duni ! Tutaacha kufa mapema ?
 
Hakuna anayejitutumua ndiyo uhalisia wa mtanzania,kama we ni mtoto wa kishua huwezi kuelewa lakini kama ni common Tanzanians wenzangu tunaoshindia kashata kwenye movement zetu ili kusave kwaajili ya familia watanielewa
lakini mkuu kama kweli unajali wanaokutegemea utatunza afya yako ili upate nguvu za kuwahudumia

ndio mwanaume inabidi awe shupavu lakini tunazidisha
 
Wanaoongoza kwa kufa ni wanaume but yet wanaonekana sana Hospital ni Wanawake. Nenda Hosp yoyote au hizi za Serikal kama MuHimbili n.k kaangalie walioko kwenye foleni.

Asilimia 80 ni wanawake. Most of them.je wanaume hawaumwi? Wanaumwa ila
1. Wagumu sana kwenda Hosp
2. Wanaumwa wanaendelea kutafuta pesa kwa ajili ya family

Ndo maana wakiumwa huwa wanaumwa kweli na asilimia kubwa hufariki duniya. Sababu huanza enda Hosp hali ikiwa mbaya zaidi au wakiwa wamechelewa.
Vizur ongezea idadi ya wanawake na wanaume inalingana? Wanawake ni wengi hivyo Kila ktk mkusanyiko wanawake watakuwa ni wengi
 
Statistics zipi mkuu ? Labda za vijiweni , lakini official always men tupo wengi kuliko wanawake duniani

Screenshot_2024-12-04-12-17-48-805_org.mozilla.firefox.jpg
 
Back
Top Bottom