Wanaume wengi wanaumwa, hawaendi Hospitali. Wanawake wengi wapo Hospitali kuliko wanaume

Wanaume wengi wanaumwa, hawaendi Hospitali. Wanawake wengi wapo Hospitali kuliko wanaume

Wanaoongoza kwa kufa ni wanaume but yet wanaonekana sana Hospital ni Wanawake. Nenda Hosp yoyote au hizi za Serikal kama MuHimbili n.k kaangalie walioko kwenye foleni.

Asilimia 80 ni wanawake. Most of them.je wanaume hawaumwi? Wanaumwa ila

1. Wagumu sana kwenda Hosp
2. Wanaumwa wanaendelea kutafuta pesa kwa ajili ya family

Ndo maana wakiumwa huwa wanaumwa kweli na asilimia kubwa hufariki duniya. Sababu huanza enda Hosp hali ikiwa mbaya zaidi au wakiwa wamechelewa.
Huu ni ukweli asilimia 💯. Umeandika jambo zito sana. Unawaza pesa ya kujitibu ndiyo hiyo hiyo ya kutunzia familia. Unachagua matibabu rahisi ili kusave au unaacha kabisa. Mtu mwenye upendo wa dhati duniani ni mwanaume na hana manung'uniko. Yuko radhi kuifia familia bila kulia lia wala kutaka msaada.
 
Tukienda hospital familia zetu zitakufa kwa njaa,kwa Tz unaweza kushangaa kijana wa just 40 years anategemewa na zaidi ya watu kumi (extended family) then usipotoka kwenda kutafuta kuna watu watalala njaa,mtu hawezi kuwa na vijimafua na kichwa kinauma aende hospital,anapambana na Mungu anatulinda juu kwa juu huwa tunapona tu.Na ndiyo maana Life yetu si lefu sana kama wanawake

NB: MWANAUME NA AHESHIMIWE NA KILA MTU
Hizi extended families ni shida. Kuna mmoja alikimbiwa na mke. Walikuwa Arusha kikazi wakarudi dsm ukweni Mnyamala. Dada wawili wote wana watoto hapo nyumbani, wa kiume kaoa anaishi hapo nyumbani, bado mtoto wa anko nk nk. Akimwambia jamaa tuhame tukapange mama mtu anamwambia hapa ni nyumbani kwa nini uondoke. Yeye ndo provider, ni dereva. Binti wa kichaga akasema ote lanye, huyoo akaondoka akapanga chumba cha giza kwa msaada wa jamaa zake. wakampa mtaji wa kuuza uji. Bwana alisusa mwisho akafuata nyayo. Hiyo hatoa ya maendeleo waliyopiga kwa miaka miwili ni kubwa. Yaani watu wamenyoosha figo hapo nyumbani kila kitu kaka...kaka... Shubamiti.
 
Statistics zipi mkuu ? Labda za vijiweni , lakini official always men tupo wengi kuliko wanawake duniani
Wanawake ni wengi kuliko wanaume
Probability ya kuzaa mtoto wa kike pia ni kubwa kuliko wa kiume
Kuna msemo unasema mwanzoni kabisa we are all women before hujapewa bahati ya kua mwanaume
Male XY
Female XX

Ukiikosa hio Y unakojoa umechuchumaa
 
Wanawake ni wengi kuliko wanaume
Probability ya kuzaa mtoto wa kike pia ni kubwa kuliko wa kiume
Kuna msemo unasema mwanzoni kabisa we are all women before hujapewa bahati ya kua mwanaume
Male XY
Female XX

Ukiikosa hio Y unakojoa umechuchumaa
Sibishani na wajinga mimi
 
Hizi extended families ni shida. Kuna mmoja alikimbiwa na mke. Walikuwa Arusha kikazi wakarudi dsm ukweni Mnyamala. Dada wawili wote wana watoto hapo nyumbani, wa kiume kaoa anaishi hapo nyumbani, bado mtoto wa anko nk nk. Akimwambia jamaa tuhame tukapange mama mtu anamwambia hapa ni nyumbani kwa nini uondoke. Yeye ndo provider, ni dereva. Binti wa kichaga akasema ote lanye, huyoo akaondoka akapanga chumba cha giza kwa msaada wa jamaa zake. wakampa mtaji wa kuuza uji. Bwana alisusa mwisho akafuata nyayo. Hiyo hatoa ya maendeleo waliyopiga kwa miaka miwili ni kubwa. Yaani watu wamenyoosha figo hapo nyumbani kila kitu kaka...kaka... Shubamiti.
Duuh hii ilikuwa ngumu kumeza
 
Back
Top Bottom