Wanaume wengi wanaumwa, hawaendi Hospitali. Wanawake wengi wapo Hospitali kuliko wanaume

Hapa ndio ulipopata huo uwiano wa 1:3? Kama ndio basi hujui kutafuta uwiano mkuu maana hapo ni Ke 51.na Me ni 48.4 hata hivyo mimi nimeongelea kiujumla duniani wanawake tumewapita kwa idadi kwa mujibu wa takwimu
No. Hapa nimeweka data ambayo inaonesha wanawake wamezidi. Hiyo ya 1:3 nlisema inasemekana.
 
Sawa ila tafuta uwiano kama utaupata
Nimesema halina mantiki kwa sababu zifuatazo.
1. Mikusanyiko itategemea na interest, umewahi kwenda uwanjani kuangalia.mpira? Je wanawake niwengi? Umewahi kwenda kwenye mabanda au matamasha ya muziki? Je wanawake niwengi?
2. Kama unatumia tawimu za sensa Tanzania wanawake wamewazidi wanaume kwa 2% tena katika age 60+ chini ya hapo ni all most ni uwiano wa 1:1 tatizo nikuwa sisi men tunaishia njiani tunawaacha wanawake wakiishi. Ndiposa utakuta ukifanya sensa kwa age 60+ zaidi ya 70 utawakuta wanawake
 
Hapa ndio ulipopata huo uwiano wa 1:3? Kama ndio basi hujui kutafuta uwiano mkuu maana hapo ni Ke 51.na Me ni 48.4 hata hivyo mimi nimeongelea kiujumla duniani wanawake tumewapita kwa idadi kwa mujibu wa takwimu
Ngoja nikuelewe unavyotaka hivyo na duniani kote wanaume hawaendi hospitali? Halafu hiyo hoja niliyoitoa ilikuwa kuongezea hoja aliyetoa niliye mquote hapo
 
Mpira ni suala mtu binafsi achana nalo, siasa kadhalika achana nalo, kuumwa ni kwa watu wote
 
Amina awajalie neema yake mje muone wajukuu na vitukuu
 
Daah ndo hivyo mna ubishi mwingi sana..Mungu awasaidie...
Yani wanawake tuko very sensitive na afya zetu na wtt wetu na hata za waume zetu..sema sasa ukimwambia nenda hospital anakwambia kuna kiporo ofisini nikakimalizie then nitaenda kesho...kesho anasema ile hali imepotea..sasa kumlazimisha mtu mzima kama mtoto napo ni mtiti...ifikie mahali mjijali afya zenu..mnatafuta mali mnashindwa kuenjoy baadae....
 
Hii ndo sababu ya msingi, inayotuondoa mapema wanaume na si ile ya kuwasingizia wanawake wanatuua.

Wanaume wengi, ni wagum mno kushughulika na afya zao mpaka watakapohisi hawajiwezi kabisa.
 
Ukitaka kujua hilo tazama wenye maambukizi ya UKIMWI. Nimeishi sehemu yenye "mdomo sana" ambayo kila taarifa binafsi ya raia inajulikana mtaani na hospitali za karibu zote waathirika huwa wanatibiwa sehemu wazi sijui kwanini hawapewi privacy. Waathirika ni wengi ila kila kaya ambayo baba na mama wameathirika, baba anatangulia miaka zaidi ya 10 kufariki. Wakati probability ya kuambukizana within the same year ni kubwa ukiondoa cases chache.

Kuna jamaa inaaminika prediction timeline yake ya kuambukizwa (aliparamia demu alikuwa anajiuza Dar na ni +ve, alikuja likizo) kaugua tunamuona na akafariki ndani ya miaka michache tu. Yeye aligoma kutumia dawa wakati mke wake aliyeletewa alitumia na yupo hadi sasa miaka kama 7 baadae hana shida kiafya.

Wanaume wengi kufuata taratibu za kiafya, kuzingatia dawa hawawezi. Tujitahidi katika hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…