Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
unaanzaje kukubali kuwa umefanya usaliti tena hadharani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni kosa kubwa sana yaani hata mwanamke akikukuta chumbani na mwanamke mwingine unapaswa kukataa mpaka mwisho. Ukikubali kosa unekwishaunaanzaje kukubali kuwa umefanya usaliti tena hadharani?
tena unakubali hadharani, jamaa kafanya kosa kubwa sana akubali tu hiyo ndoa ivunjikeHili ni kosa kubwa sana yaani hata mwanamke akikukuta chumbani na mwanamke mwingine unapaswa kukataa mpaka mwisho. Ukikubali kosa unekwisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama chido mwenye ndo uyo kwenye picha, Basi MKE wake ana huruma sana
Ni huyo mwanamke labda alilazimishwa ndoa hakumpenda jamaa,ila kiuhalisia hakuna kosa hapo,jamaaa ampige chini atafute chuma kipya kibichiiiiiiiiiii maadam hawana mtoto,soko la mwanaume lipo juu sana kwa sasa,akitangaza kutafuta mke dakikq 10 nyingi anapata!!Huyo jamaa mpuuzi sana hajielewi ni zile type za kusema hata nikichepuka hana la kunifanya. Wakiachwa wanaona wameonewa
Hata akikukuta unnyandua itabidi ukatae mpaka mwisho, useme kuwa kaona kiini macho.Hili ni kosa kubwa sana yaani hata mwanamke akikukuta chumbani na mwanamke mwingine unapaswa kukataa mpaka mwisho. Ukikubali kosa unekwisha
Kushauli ni rahisi, jamaa bado anampenda mke wake hivyo mnavyoshauli amuache ni ngumu sana, kingine huyo mwanmke bado ana mapenzi ya jamaa yake wa,zamani kwa maana dawa ya kisasi sio kilipa kisasi ukifanya hivyo inweza leta maafa, jamaa anatakiwa atulize akili yake , anatakiwa apuuzie, yaani ile umerudi home saa 3 mkeo haujamkuta ww angali chakula kama kioo kula lala akirudi usiulize asubui acha kodi ya meza ondoka zako ukifanya hivi wiki, mwanmke mwenyewe anakaa sawa, kiufupi amwache mwanamke[emoji3544][emoji15] Kwa mshtuko na masikitiko ya kutoamini Jamaa huyo kwa jina la Chido amejitosa waziwazi kuomba ushauri mtandaoni kufuatia ndoa yake ya miezi mitatu tu kupumulia mashine kwasasa
Chido amesema alimsaliti mke wake kwa kuchepuka na mdada flani na kwa bahati mbaya au nzuri mke wake akajua na kwa ushahidi wote, baada ya mke kujua akaanza kumpuuza mazima mumewe huyo mithili ya mzoga.
Chido amesema alijua atasamehewa tu na mke wake lakini kilichofuatia Chido amesema mke wake kwasasa na yeye anamringishia na aliyekuwa boyfriend wake wa kipindi hivho hali ambayo Chido amesema inamuumiza sana kama mume kwani hakutegemea mkewe angechukua hatua hiyo mapema sana
Amesema baada ya hapo ikanidi amuangukie mkewe kumuomba msamaha huku anaangua kilio lakini bado hajasamehewa na mke wake
Hiyo tisa, kumi mkewe kwasasa amemuambia hahitaji tena kuendelea na hiyo ndoa hivyo aoe mwanamke mwingine na pia amesema familia yote ya mke wake ipo upande wa ndugu yao hakuna anayemuunga mkono yeye mume kwa usaliti aliomfanyia mkewe katika ndoa ya miezi mitatu tu hivyo.Chido hajui afanye nini kuinusuru ndoa yake
Chido alipoulizwa na na mmoja wa waliotoa maoni katika post yake sababu ya kumsaliti mkewe wakati ndoa yao ni mbichi, amesema alichepuka bahati mbaya kwa kuteleza na aliona ni jambo la kawaida kwa mwanume kuchepuka na hakutarajia mkewe angekaza kamba kiasi hicho
Mtoto maoni mwingine alipomwambia labda ajaribu tu kumuomba tena mkewe msamaha anaweza samehewa, Chido nae amesema alishamuomba msamaha mkewe mwanzo kwahiyo hawezi tena kuomba msamaha mara ya pili huku akionekana kuumia zaidi kwa kusema kwanini mkewe amringishie na aliyekuwa ex boyfriend wake
Wewe unatupenda makauzu tu au sio?Halafu wanaume wanaopenda kujilizaliza siwapendagi basi tu yani 🤨🤨
Ndiye huyo kwenye picha? Huyo mke itakuwa aliteleza tu kuolewa na huyo jamaa!⚠️😳 Kwa mshtuko na masikitiko ya kutoamini Jamaa huyo kwa jina la Chido amejitosa waziwazi kuomba ushauri mtandaoni kufuatia ndoa yake ya miezi mitatu tu kupumulia mashine kwasasa
Chido amesema alimsaliti mke wake kwa kuchepuka na mdada flani na kwa bahati mbaya au nzuri mke wake akajua na kwa ushahidi wote, baada ya mke kujua akaanza kumpuuza mazima mumewe huyo mithili ya mzoga.
Chido amesema alijua atasamehewa tu na mke wake lakini kilichofuatia Chido amesema mke wake kwasasa na yeye anamringishia na aliyekuwa boyfriend wake wa kipindi hivho hali ambayo Chido amesema inamuumiza sana kama mume kwani hakutegemea mkewe angechukua hatua hiyo mapema sana
Amesema baada ya hapo ikanidi amuangukie mkewe kumuomba msamaha huku anaangua kilio lakini bado hajasamehewa na mke wake
Hiyo tisa, kumi mkewe kwasasa amemuambia hahitaji tena kuendelea na hiyo ndoa hivyo aoe mwanamke mwingine na pia amesema familia yote ya mke wake ipo upande wa ndugu yao hakuna anayemuunga mkono yeye mume kwa usaliti aliomfanyia mkewe katika ndoa ya miezi mitatu tu hivyo.Chido hajui afanye nini kuinusuru ndoa yake
Chido alipoulizwa na na mmoja wa waliotoa maoni katika post yake sababu ya kumsaliti mkewe wakati ndoa yao ni mbichi, amesema alichepuka bahati mbaya kwa kuteleza na aliona ni jambo la kawaida kwa mwanume kuchepuka na hakutarajia mkewe angekaza kamba kiasi hicho
Mtoto maoni mwingine alipomwambia labda ajaribu tu kumuomba tena mkewe msamaha anaweza samehewa, Chido nae amesema alishamuomba msamaha mkewe mwanzo kwahiyo hawezi tena kuomba msamaha mara ya pili huku akionekana kuumia zaidi kwa kusema kwanini mkewe amringishie na aliyekuwa ex boyfriend wake