Wanaume wengine hawajielewi kabisa aosee

Hili ni kosa kubwa sana yaani hata mwanamke akikukuta chumbani na mwanamke mwingine unapaswa kukataa mpaka mwisho. Ukikubali kosa unekwisha
tena unakubali hadharani, jamaa kafanya kosa kubwa sana akubali tu hiyo ndoa ivunjike
 
Huyo jamaa mpuuzi sana hajielewi ni zile type za kusema hata nikichepuka hana la kunifanya. Wakiachwa wanaona wameonewa
Ni huyo mwanamke labda alilazimishwa ndoa hakumpenda jamaa,ila kiuhalisia hakuna kosa hapo,jamaaa ampige chini atafute chuma kipya kibichiiiiiiiiiii maadam hawana mtoto,soko la mwanaume lipo juu sana kwa sasa,akitangaza kutafuta mke dakikq 10 nyingi anapata!!
 
Hili ni kosa kubwa sana yaani hata mwanamke akikukuta chumbani na mwanamke mwingine unapaswa kukataa mpaka mwisho. Ukikubali kosa unekwisha
Hata akikukuta unnyandua itabidi ukatae mpaka mwisho, useme kuwa kaona kiini macho.
 
Kushauli ni rahisi, jamaa bado anampenda mke wake hivyo mnavyoshauli amuache ni ngumu sana, kingine huyo mwanmke bado ana mapenzi ya jamaa yake wa,zamani kwa maana dawa ya kisasi sio kilipa kisasi ukifanya hivyo inweza leta maafa, jamaa anatakiwa atulize akili yake , anatakiwa apuuzie, yaani ile umerudi home saa 3 mkeo haujamkuta ww angali chakula kama kioo kula lala akirudi usiulize asubui acha kodi ya meza ondoka zako ukifanya hivi wiki, mwanmke mwenyewe anakaa sawa, kiufupi amwache mwanamke
 
Duh..huyu kweli chino Wana man πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Aendelee alipo ishia wakati wa kuchepuka
 
Ndiye huyo kwenye picha? Huyo mke itakuwa aliteleza tu kuolewa na huyo jamaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…