Ndo maana staki kudate mwenye gari,akishampa mwanamke lift kuna asilimia 90 ya kumnyapua ndani ya gari maana wakiwa mle kwenye gari si kwa vishawishi vile hasa vitoto vya shule
Sent using Jamii Forums mobile app
we kabinti kadogo kumbe bado unaexist!Tatizo wanaume wengi wenye magari wana vitambi
Sawa tumekuelewa Dada ila wengine ndo tulivyo tangu naanza kujua mahusiano bahati mbaya au nzuri sijawahi kutana na mwanaume asiwe na gari na si gari tu na vingine vinavyozidi gari kuliko unavyodhani. Gari lisikufanye umu judge mtu vibaya. Kuna wanaume wana kila kitu na wana upendo wa dhati, hawana nyodo.( sisi wanawake wa kawaida hivi vitu tunavishuhudia kila Siku).
Mimi sina hataa baiskeli ila swala la gari naliona kama basic need yaan sio swala la kushangaa eti mkaka Fulani ana gari luckyline nipagawe? No way sijawahi pagawisha na gari maana mm wenye magari ya maana ndo nakutana nao.sasa niwakatae wakati ndo uwa nakutana nao?
Dear mleta mada awe na gari asiwe na gari kama hakupendi kutoka moyoni. manyanyaso yako pae pale.
Nimalize kwa kusema " its better to cry in a Mercedes Benz than a bicycle".
Dunia haiko fair, sisi Dada zako tumepitia mengi, we live once acha kujitesa ukimpata awe nayo asiwe nayo akikupenda na ukampenda nenda dia muda tunaishi duniani ni mfupi sana. Omba Mungu akupe afya njema.
Happy boxing day. Sijui mm leo nafungua nini? Eboooooo!!!π
Unatombesha kwenye gari....[emoji16]Mimi nachoshukuru ni kuwa tangu niwe na gari gharama za gesti zimepungua maradufu.
If you know you know [emoji6]
ππππaisee hadi kwenye daladala wamenishangaaππππseat za magari zinafaidi sana, assume demu mwenye makalio mengi akikalia seat.
I wish I could be gari's seat.
Umaskini ni mbaya sana. Binti Nampa gari mapema sana, bora apewe mimba kwa kupenda mwenyewe si kwa sababu ya kuchanganywa na gari au simu. Hivi wale waliopewa mimba kwa kuhongwa blackberry wanajisikiaje wakimtazama mtoto?
ππππNdugu wajumbe, samahani kwa kuchelewa kuambatanisha picha..teh[emoji23]View attachment 1303080
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]seat za magari zinafaidi sana, assume demu mwenye makalio mengi akikalia seat.
I wish I could be gari's seat.
Na watu wote waseme AminaSawa tumekuelewa Dada ila wengine ndo tulivyo tangu naanza kujua mahusiano bahati mbaya au nzuri sijawahi kutana na mwanaume asiwe na gari na si gari tu na vingine vinavyozidi gari kuliko unavyodhani. Gari lisikufanye umu judge mtu vibaya. Kuna wanaume wana kila kitu na wana upendo wa dhati, hawana nyodo.( sisi wanawake wa kawaida hivi vitu tunavishuhudia kila Siku).
Mimi sina hataa baiskeli ila swala la gari naliona kama basic need yaan sio swala la kushangaa eti mkaka Fulani ana gari luckyline nipagawe? No way sijawahi pagawisha na gari maana mm wenye magari ya maana ndo nakutana nao.sasa niwakatae wakati ndo uwa nakutana nao?
Dear mleta mada awe na gari asiwe na gari kama hakupendi kutoka moyoni. manyanyaso yako pae pale.
Nimalize kwa kusema " its better to cry in a Mercedes Benz than a bicycle".
Dunia haiko fair, sisi Dada zako tumepitia mengi, we live once acha kujitesa ukimpata awe nayo asiwe nayo akikupenda na ukampenda nenda dia muda tunaishi duniani ni mfupi sana. Omba Mungu akupe afya njema.
Happy boxing day. Sijui mm leo nafungua nini? Eboooooo!!![emoji23]
Hujawahi kuniangusha mh mjumbeNdugu wajumbe, samahani kwa kuchelewa kuambatanisha picha..teh[emoji23]View attachment 1303080
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia hii uwe na gari shida watakusema kwamba unapita na wake/mademe/ binti za watu. Ukiwa na bodaboda ni yaleyale du. Si tumiliki usafiri gani ili tuepukwe na kadhia hii.Hakuna mwanamke asiyependa raha hapa duniani
Na tunaamini ukiwa kwenye mahusiano na boy mwenye usafiri wa gari uta-enjoy mapenzi kuliko ambaye hana usafiri wake
Huwa tunafurahi na kujihisi peponi wakati mpo na boy wako kwenye mkoko halafu mpo wawili mnapiga stories huku anadrive mdogo mdogo
Pia tunapenda sana tour au kuzurura,hatupendi maisha ya kukaa viwanja au maeneo hayo hayo kila wakati,tunapenda leo Zanzibar,kesho Moshi weekend ijayo Arusha au Serengeti,na hapo usafiri wake pia unahusika maeneo mbalimbali ndani ya jiji
Halafu wanaume wenye usafiri huwa wanapenda kuwa smart sana,kwa hiyo tunajihisi kweli hapa nina bonge la HB
Hasara zake kwa wanaume wenye magari yao huwa upo roho juu,gari lake likipita tu unatamani ujue amembeba nani,kama hujakariri plate no unakuwa unatembea mjini likipita kama lake unataka uchungulie kama ni yeye au siye
Ila sasa hawa wanaume Mungu anawaona wakishajua kuwa wenye magari yao wanapendwa na kila mwanamke atakutesa sana,wanakuwa na wanawake wengi wa kila aina
Na usiombe mahali mlipo kuna chuo,wanafunzi wa kike wote ni wake ,wanafunzi wa day lift za kutosha na anavipitia sana,mabaa made wote ni wake na wadada wauza mafuta Shell za mafuta
Nakushangaa wewe mdada unayehangaika na wanaume wenye magari ,bora uwe na huyu asiye na gari maana yeye ni rahisi kupokea sim hana utetezi kuwa alkuwa ana drive,na huku umewahi kumuona anaongea na sim huku anadrive iweje leo
Na kama unataka kudate na mkaka mwenye gari lake mpime ngoma na uwe tayari kuumia
Sent using Jamii Forums mobile app