Wanaume wenye magari: Mungu anawaona

Wanaume wenye magari: Mungu anawaona

Hakuna mwanamke asiyependa raha hapa duniani

Na tunaamini ukiwa kwenye mahusiano na boy mwenye usafiri wa gari uta-enjoy mapenzi kuliko ambaye hana usafiri wake

Huwa tunafurahi na kujihisi peponi wakati mpo na boy wako kwenye mkoko halafu mpo wawili mnapiga stories huku anadrive mdogo mdogo

Pia tunapenda sana tour au kuzurura,hatupendi maisha ya kukaa viwanja au maeneo hayo hayo kila wakati,tunapenda leo Zanzibar,kesho Moshi weekend ijayo Arusha au Serengeti,na hapo usafiri wake pia unahusika maeneo mbalimbali ndani ya jiji

Halafu wanaume wenye usafiri huwa wanapenda kuwa smart sana,kwa hiyo tunajihisi kweli hapa nina bonge la HB

Hasara zake kwa wanaume wenye magari yao huwa upo roho juu,gari lake likipita tu unatamani ujue amembeba nani,kama hujakariri plate no unakuwa unatembea mjini likipita kama lake unataka uchungulie kama ni yeye au siye

Ila sasa hawa wanaume Mungu anawaona wakishajua kuwa wenye magari yao wanapendwa na kila mwanamke atakutesa sana,wanakuwa na wanawake wengi wa kila aina

Na usiombe mahali mlipo kuna chuo,wanafunzi wa kike wote ni wake ,wanafunzi wa day lift za kutosha na anavipitia sana,mabaa made wote ni wake na wadada wauza mafuta Shell za mafuta

Nakushangaa wewe mdada unayehangaika na wanaume wenye magari ,bora uwe na huyu asiye na gari maana yeye ni rahisi kupokea sim hana utetezi kuwa alkuwa ana drive,na huku umewahi kumuona anaongea na sim huku anadrive iweje leo

Na kama unataka kudate na mkaka mwenye gari lake mpime ngoma na uwe tayari kuumia

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaah ngoja tukanunue magari kumbe ndo mtego wenu.
 
Umaskini ni mbaya sana. Binti Nampa gari mapema sana, bora apewe mimba kwa kupenda mwenyewe si kwa sababu ya kuchanganywa na gari au simu. Hivi wale waliopewa mimba kwa kuhongwa blackberry wanajisikiaje wakimtazama mtoto?
Umenena kweli umaskini ni kitu kibaya sana, Elimu na kujitegemea kwa watoto wa kike ni jambo la muhimu sana hizi aibu zitaisha
 
Back
Top Bottom