DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wasiokunywa pombe si inasemekana ni wapenda chini!
Hayupo snapchat wala dunianiWanaume wenye mapenzi ya kweli na wenye kujitambua mara nyingi huwa ni washamba, hawajui kuvaa, wanesoma sana tena kwa shida, wana hofu na Mungu na wanaenda kanisani, ni wapole.
Hawajui Hii miziki ambayo ina trend, wanakua wanaheshimu wanawake na kuwaona kama dada zake na mama zake. Hawanywi pombe wala kuvuta sigara, hawakai vijiweni.
Hawajui viwanja vya starehe, mwanamke anaweza kumtongoza na akamkataa live bila chenga, akipewa ushauri na wazazi wake anasikiliza na kutekeleza. Suruali havai mlegezo, simu anatumia ya kawaida tu na social media hana picha na hayupo snapchat.
Umekomaa kuakili mkuu, Kunywa soda nalipa kwa namba ya nidaToka yaliponikuta niliachana na mawazo kama hayo.
Ulipigwa na kitu kizito kichwani na watu wa aina hiyo kweli?.Toka yaliponikuta niliachana na mawazo kama hayo.
Yaan kuna watu hata hawapo vile tuwaonavyo. Nimejifunza sana.Ulipigwa na kitu kizito kichwani na watu wa aina hiyo kweli?.
Vipi na kuhusu wanawake wenye mapenzi ya kweli! Na wenyewe wakoje?Wanaume wenye mapenzi ya kweli na wenye kujitambua mara nyingi huwa ni washamba, hawajui kuvaa, wanesoma sana tena kwa shida, wana hofu na Mungu na wanaenda kanisani, ni wapole.
Hawajui Hii miziki ambayo ina trend, wanakua wanaheshimu wanawake na kuwaona kama dada zake na mama zake. Hawanywi pombe wala kuvuta sigara, hawakai vijiweni.
Hawajui viwanja vya starehe, mwanamke anaweza kumtongoza na akamkataa live bila chenga, akipewa ushauri na wazazi wake anasikiliza na kutekeleza. Suruali havai mlegezo, simu anatumia ya kawaida tu na social media hana picha na hayupo snapchat.
Haswaaah!!Tatizo mnachanganya mapenzi ya kweli na uzoba.
Ukitaka kumtambua mwanaume mwenye mapenzi ya dhati,Haswaaah!!