Wanaume wenye mapenzi ya kweli wapo hivi

Wanaume wenye mapenzi ya kweli wapo hivi

Wanaume wenye mapenzi ya kweli na wenye kujitambua mara nyingi huwa ni washamba, hawajui kuvaa, wanesoma sana tena kwa shida, wana hofu na Mungu na wanaenda kanisani, ni wapole.

Hawajui Hii miziki ambayo ina trend, wanakua wanaheshimu wanawake na kuwaona kama dada zake na mama zake. Hawanywi pombe wala kuvuta sigara, hawakai vijiweni.

Hawajui viwanja vya starehe, mwanamke anaweza kumtongoza na akamkataa live bila chenga, akipewa ushauri na wazazi wake anasikiliza na kutekeleza. Suruali havai mlegezo, simu anatumia ya kawaida tu na social media hana picha na hayupo snapchat.
Hayupo snapchat wala duniani

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wenye mapenzi ya kweli na wenye kujitambua mara nyingi huwa ni washamba, hawajui kuvaa, wanesoma sana tena kwa shida, wana hofu na Mungu na wanaenda kanisani, ni wapole.

Hawajui Hii miziki ambayo ina trend, wanakua wanaheshimu wanawake na kuwaona kama dada zake na mama zake. Hawanywi pombe wala kuvuta sigara, hawakai vijiweni.

Hawajui viwanja vya starehe, mwanamke anaweza kumtongoza na akamkataa live bila chenga, akipewa ushauri na wazazi wake anasikiliza na kutekeleza. Suruali havai mlegezo, simu anatumia ya kawaida tu na social media hana picha na hayupo snapchat.
Vipi na kuhusu wanawake wenye mapenzi ya kweli! Na wenyewe wakoje?
 
Changamoto ya aina hio ya wanaume hamna mdada mwenye haja nae, wao wanapenda wanaume wenye swaga hata kama hawana mapenzi nao, wanapenda wanaume wanaowaumiza na kuwaliza na kuwaacha na majuto ya muda mrefu!
Hao ndio chaguo namba moja la wadada wetu hawa.
 
Haswaaah!!
Ukitaka kumtambua mwanaume mwenye mapenzi ya dhati,

Kwanza kabisa usithubutu kumpa moyo wako wote katika kipindi cha awali.

Penzi linapoanza kuchipukia, ni vigumu sana kumtambua mtu kama ana mapenzi ya dhati.
 
Back
Top Bottom