πππ Usilolijua wengine six park wanazaliwa nazo TU yaan zinakuwepo tu hawana haja ya kwenda gym na wala hawafanyi mazoezi ya kujenga six park Ila zinakuwepo tu zenyewe, hapo umefeli kwa kweliKutwa wanaume hao wanashinda JIM
Km nakuona unavyojikagua zipo au hazipoInasikitisha sana...
Akikujibu nitag yaan ukishatatuliwa kipira cha nyuma chuma hubebi lazima unyeeeeBro, rinda likishatoka mtu anapata wapi nguvu ya kujikakamua kunyanyua mondo?!
π€£π€£π€¨ππΏWengi wao wameshabomolewa huko nyuma zamani wamebaki na vifua tu.[emoji23]
Kwa hio wenye vitambi ndio hawatatuliwi kipira?Mwambie shemeji yetu apige mazoezi kitambi ni aibu .
Elton John ana sixpack?Wanaobomolewa wapi haijalishi Wana six pack au hawana...
Huyu Mama Mchungaji kamwona Mchungaji wake ana sixpack alafu watu wanambomoa kipira akajua wanaume wote wenye sixpack wanabomolewa kipira cha nyuma, kiufupi kakaririSix Packs ni nini
Ni misuri ya tumbo ambayo inaonekana zaidi endapo mtu atafanya mazoezi ya Cardio na sehemu ya turbo mafuta kupungua na misuli kutuna...THAT.
Hii definition ya Six Pack sioni palipotajwa ushoga, anyway Aggy pitahuku hana Six pack, James delicious hana Six pack, Lokole, Noel, Bobrisky, kisura wa mbea, mskari wa zenji, kaoge, Scolfid....list to the Moon.
Mashoga wasiokuwa na Six pack ni wengi kuliko wenye Six pack, kuna mashoga wengi mtaani kuliko gym, nikikwambia unitajie shoga hata mmoja mwenye Six pack huwezi taja hata mmoja.
Ndio maana nikasema haijalishi Wana six pack au hawana....Elton John ana sixpack?
Mwambie shape za mashoga hazinaga sixpack hata kidogo km wapo basi ni wachache sana, alafu sixpack sio Ile minyamamanya ya kuongezwa gym kwa kubeba chuma na kula poda la kutunisha misuli uwe km the rocky au John Cena, sixpack ni KITU kingine kabisaNdio maana nikasema haijalishi Wana six pack au hawana....
Issue za kutatuliwa ata kuziongea tu ni aibu kutokana na Mila nadesturi zetu watu weusi , ila kitambi ni dalili ya ugoigoi ,kwamba ata mwili wako umeshindwa kuupangilia .Kwa hio wenye vitambi ndio hawatatuliwi kipira?
Sasa nawewe unaongea pumba gani.....?
Stupid
Sasa mleta mada anakwambia wenye vitambi hawatatuliwi kipira, Jambo ambalo sio kweliIssue za kutatuliwa ata kuziongea tu ni aibu kutokana na Mila nadesturi zetu watu weusi , ila kitambi ni dalili ya ugoigoi ,kwamba ata mwili wako umeshindwa kuupangilia .
Ni hisia tu za mtoa mada , kwenye harakati za kutukatisha tamaa tukatae maviriba tumbo ya bia na mchemsho.Sasa mleta mada anakwambia wenye vitambi hawatatuliwi kipira, Jambo ambalo sio kweli
Atakuwa ameelewaMwambie shape za mashoga hazinaga sixpack hata kidogo km wapo basi ni wachache sana, alafu sixpack sio Ile minyamamanya ya kuongezwa gym kwa kubeba chuma na kula poda la kutunisha misuli uwe km the rocky au John Cena, sixpack ni KITU kingine kabisa
Msamehe Bure Stress Ni Nyingi Hatujui Nini Kimemsibu Huyo Nyuma Ya KeyboardNi hisia tu za mtoa mada , kwenye harakati za kutukatisha tamaa tukatae maviriba tumbo ya bia na mchemsho.
Mtoa mada wala hana shida mkuu mada zake huwa ni za moto sana.Msamehe Bure Stress Ni Nyingi Hatujui Nini Kimemsibu Huyo Nyuma Ya Keyboard