Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Ahsante dadangu, ndo maana nakupenda manake wanielewa... yaani huyu Demiss huyu!! Yaani niwe na sura kama ya tuvulana mimi!!
Ila jaman nikwambie ukweli mwanzo nilikuwa siwez kuchit chat na wewe kumbe uko vizur

Shikamooo babu wick
 
Wewe una akili nyingi sana Karucee ! Nilitaka kuandika kitu kama hicho hicho lakini kwa sababu umeandika tayari nakupa 1000likes!

Mwanaume mwenye sura mbaya amezaliwa na ninyi Wanawake wenyewe, amekaa kwenye matumbo yenu wenyewe kwa miezi tisa! Siku zote Mwanadamu anayejitambua hawezi kusema mwenzake ana sura mbaya.
Na pia mwenye hofu ya Mungu.
 
Back
Top Bottom