Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Kwanza sifa walizobarikiwa:

Wengi wana akili na wasomi
Wana mapenzi ya dhati
Ndo wanaongoza kwa UTAJIRI
Wana penda kwa dhati sijui kwa sababu sura zinatisha hawajiamini.
Wanajua kuhongaa.
Siyo wabahili.
Ukipata mchumba wa hivi atataka kujulikana kwa kila mtu na sura lake libaya atataka uongozane naye kila sehemu uwiiiii.
Hawaringi hata kidogo.
Wanajituma sana kuanzia kazini mpaka kitandani.
Wanajua kupetpet mwanamke asikwambie mtu.

Nyongeza :
Ukute umeolewa na mwanaume mwenye sura mbaya alafu mfupi ana ndevu unaweza kuzani kibwengo inabidi ukienda kumtambulisha uanze na neno "SHEMEJI YENU HUYU KASOMA ANA PESAA MUONE HIVI HIVI TU YUKO VIZURI SANA"

Wanaume wa Jf wenye sura mbaya leo tupo pamoja eeeh

Demiss mke wake Mshana.
Msalimie anko. Ila hapa nakupinga kwa asilimia zote demiss. Kwenye suala la usomi na kuhonga na kuoa lina vary.. hakuna fixed value kwamba wotewako hivyo.. hilo hakuna.
 
hawa wanataka tukashinde MMU akati Intelijensia ndio tuna madini mengi!.. Hii wiki tushinde MMU hakuna namna!.😀
Ila tumeitwa wabaya inabidi ukubaliane nao tu!
Bwahahahahhahahahahahahahahahaha
 
Acha habari zako bhana... how come tunafanya watoto wadogo wakati nashuhudia mwenyewe live? Kwanza tuanze na dadangu Raynavero... umemficha wapi huyu?
Mdogo wangu yule bwana, tena naweza kuwa hata baba kabisa.
Teh teh teh, nilikuwa nataka nimshirikishe matatizo ya kifamilia yaliyotokea nyumbani
 
hahahh!!.. chige unaona umeamsha the tycoon!.. Hahahh huyo bundi hujui tu mwenyewe nahangaika nae!.
Teh teh teh teh,
Cheki lifisi linavyojitetea hapa...
Bwahahahahahaha, mwenye nyota ya bundi ni mimi, eti hawanitaki kisa nina mvi na nimechakaa.
Is this fair mkuu ???? Yaaani wananioneaga sana tu
Dadeki, naona mmeanza kuparuana makende wenyewe kwa wenyewe! Habari hizi njema kwangu ziwafikie binamu zangu wooooooote ambao walitaka kuingizwa King na nyie watu... na hao ni:-
Shunie
Raynavero
Demiss

Eh binamu zangu wapendwa... watch out those 2 guys, ni mandege ngoma hayoo, hayafai kwa supu wala kwa nyama choma!!! Hata ukiyatupa barabarani, fisi mwenyewe anakimbia!
 
Back
Top Bottom