KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Habari za muda huu,
Kama ilivyo ada na kawaida kwa sisi wanaume, tunapaswa kuendelea kukumbushana mambo ya msingi kwa ajili ya kutunza afya zetu za akili na uchumi, ili walau tuishi maisha marefu ingawa yamejaa taabu na mafupi. Ingawa inaonekana kuwa kuna baadhi yetu wanajisahau sana na wengine wanapuuzia, lakini sisi hatutaacha kuwakumbusha kwani tunajua kilio chake ni kikuu.
NB:
Jirani yangu amepoteza fahamu tangu jana baada ya kupata habari za kipenzi cha moyo wake aliyekuwa akimsomesha chuo kimoja maarufu hapa mjini Dar es Salaam. Ni habari nzito ambazo moyo wake umeshindwa kuzihimili.
Tumuombe Mungu apone na awe shuhuda.
Kama ilivyo ada na kawaida kwa sisi wanaume, tunapaswa kuendelea kukumbushana mambo ya msingi kwa ajili ya kutunza afya zetu za akili na uchumi, ili walau tuishi maisha marefu ingawa yamejaa taabu na mafupi. Ingawa inaonekana kuwa kuna baadhi yetu wanajisahau sana na wengine wanapuuzia, lakini sisi hatutaacha kuwakumbusha kwani tunajua kilio chake ni kikuu.
NB:
Jirani yangu amepoteza fahamu tangu jana baada ya kupata habari za kipenzi cha moyo wake aliyekuwa akimsomesha chuo kimoja maarufu hapa mjini Dar es Salaam. Ni habari nzito ambazo moyo wake umeshindwa kuzihimili.
Tumuombe Mungu apone na awe shuhuda.