Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawasikii tu mpaka yawakute majanga.....Paying bills for a girlfriend, is a real definition of vanity and chasing the wind.
Nilitaka nikuwashe kibao......๐๐๐๐๐Nimelewa nisamehe kwa kuongea upuuzi kama huo
Leo umeamua kunisema๐Wanaume wakware, wanaume wenye kipato cha mawazo, kipato cha kuunga unga na gundi.....mchumba hasomeshwi.
Mkuu angalia usije kuwa kichaa.....jasho la mtu hilo
Somesha kama ushajipata, hauna shida ndogo ndogo, hela yako ni ya bata.....Leo umeamua kunisema๐
Yani umeniaibisha mno jagi la Tokyo ndio nanywea nalo uji sa hii๐ญSomesha kama ushajipata, hauna shida ndogo ndogo, hela yako ni ya bata.....
Sasa kimtu kinaishi geto humo ndani mali zinahesabika ni pazia, jagi la tokyo, sabufa ya maxiaou, na kapeti.Kinasomesha!!!!!
Ukiachwa si lazma atukane wanawake duniani kote!!
Naomba unilipie ada nipo mwaka wa mwisho ....Yani umeniaibisha mno jagi la Tokyo ndio nanywea nalo uji sa hii๐ญ
๐๐ upo mwaka wa mwisho humu duniani au shule?Naomba unilipie ada nipo mwaka wa mwisho ....
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐ upo mwaka wa mwisho humu duniani au shule?
Siwezi peleka pesa mahali pamejaa pesa๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Dogoo utahaha sanaa, mashangazi hawana tyme na wee tenaa, hujistukiii tyuuu? PoleeeeeYaaan sitokuja jaribu aiseeeee ...
,cocastic
Lamomy
Kuna shangazi anataka nirudi shule . Nilichofanya nimempa statement ya uwongo kutoka chuo kuwa nadaiwa nasubri mkeka utiki hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji106][emoji106]
Ukitiki tuu nakuja dasalam mapema alafu namkula block au namkula pia kabla ya kumla block
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Somesha kama ushajipata, hauna shida ndogo ndogo, hela yako ni ya bata.....
Sasa kimtu kinaishi geto humo ndani mali zinahesabika ni pazia, jagi la tokyo, sabufa ya maxiaou, na kapeti.Kinasomesha!!!!!
Ukiachwa si lazma atukane wanawake duniani kote!!
๐ค๐๐๐๐Ulisomesha malaya??? Yani ulimtoa mtu pale riva side ukampeleka udsm??? Si ungempeleka veta.
#nshachoka
๐๐๐Unatusemeagaa vizuriiiWanaume wakware, wanaume wenye kipato cha mawazo, kipato cha kuunga unga na gundi.....mchumba hasomeshwi.
Ni kweli ila mnawanyanyasa vijana waojitafuta wakati bado pressure na sukari havijawakumba kama waliojipata.๐
๐๐๐Unatusemeagaa vizuriii
Mkuu malaya ni mtu yeyote anayehodhi wapenzi zaidi ya mmoja.Ulisomesha malaya??? Yani ulimtoa mtu pale riva side ukampeleka udsm??? Si ungempeleka veta.
#nshachoka
Hiyo ni defense mechanisma tu baada ya kupigwa na kitu kizito.....Mkuu malaya ni mtu yeyote anayehodhi wapenzi zaidi ya mmoja.
Hao wa Riverside ni wachache, 'undercover' ni wengi kuliko wanaofahamika.
Hicho chama pendwa ni kigumu ingawa kina wanachama wengi kuliko wanachama wa Ccm.
Nawe mkuu waweza kukuta ni mwanachama mwenye kadi isiyosajiliwa.
Sasa hukunitag ningeona vipiEphen ,mambo.