min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mara nyingi tu huwa unapotezea kumbe shida ni kuku tag tu😊Sasa hukunitag ningeona vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi tu huwa unapotezea kumbe shida ni kuku tag tu😊Sasa hukunitag ningeona vipi
Yes! Ukitag naonaMara nyingi tu huwa unapotezea kumbe shida ni kuku tag tu😊
😘Yes! Ukitag naona
Nimeangalia hizo mara nyingi hazipoMara nyingi tu huwa unapotezea kumbe shida ni kuku tag tu😊
KaoneNimeangalia hizo mara nyingi hazipo
Aaaa! Wee! Kaone mwenyewe 🤸Kaone
Mbona haudeki unaweka uso wa mbuzi tuAaaa! Wee! Kaone mwenyewe 🤸
Nikisema nideke utafallMbona haudeki unaweka uso wa mbuzi tu
Kwa ni kifall kuna ubaya gani😁😁Nikisema nideke utafall
Asomeshwi ephen tayari nimeshajikita kwenye mada.Tujikite kwenye mada
'WANAUME WENZANGU BADO TUNAENDELEA KUKUMBUSHANA KUWA MCHUMBA HASOMESHWI.............'
Asomeshwi❌Asomeshwi ephen tayari nimeshajikita kwenye mada.
Sawa kipenz nimekupata.Asomeshwi❌
Hasomeshwi✅
Ila naogopa 🤌😂😂Mkuu angalia usije kuwa kichaa.....jasho la mtu hilo
Wewe ndo wasemaDogoo utahaha sanaa, mashangazi hawana tyme na wee tenaa, hujistukiii tyuuu? Poleeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aise ni huzuni kubwa 🥺Kwa ufupi......
Alikuwa anamsomesha mwanamke kumbe yule mwanamke chuo aliacha muda mrefu na anaishi na mwanaume mwingine.....na wamezaa mtoto mmoja.......
😂😂😂😂😂😁😁 upo mwaka wa mwisho humu duniani au shule?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee!!!Wewe ndo wasema