Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Watu hawasikii tu mpaka yawakute majanga.....Paying bills for a girlfriend, is a real definition of vanity and chasing the wind.
Nilitaka nikuwashe kibao......πππππNimelewa nisamehe kwa kuongea upuuzi kama huo
Leo umeamua kunisemaπWanaume wakware, wanaume wenye kipato cha mawazo, kipato cha kuunga unga na gundi.....mchumba hasomeshwi.
Mkuu angalia usije kuwa kichaa.....jasho la mtu hilo
Somesha kama ushajipata, hauna shida ndogo ndogo, hela yako ni ya bata.....Leo umeamua kunisemaπ
Yani umeniaibisha mno jagi la Tokyo ndio nanywea nalo uji sa hiiπSomesha kama ushajipata, hauna shida ndogo ndogo, hela yako ni ya bata.....
Sasa kimtu kinaishi geto humo ndani mali zinahesabika ni pazia, jagi la tokyo, sabufa ya maxiaou, na kapeti.Kinasomesha!!!!!
Ukiachwa si lazma atukane wanawake duniani kote!!
Naomba unilipie ada nipo mwaka wa mwisho ....Yani umeniaibisha mno jagi la Tokyo ndio nanywea nalo uji sa hiiπ
ππ upo mwaka wa mwisho humu duniani au shule?Naomba unilipie ada nipo mwaka wa mwisho ....
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ upo mwaka wa mwisho humu duniani au shule?
Siwezi peleka pesa mahali pamejaa pesaππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Dogoo utahaha sanaa, mashangazi hawana tyme na wee tenaa, hujistukiii tyuuu? PoleeeeeYaaan sitokuja jaribu aiseeeee ...
,cocastic
Lamomy
Kuna shangazi anataka nirudi shule . Nilichofanya nimempa statement ya uwongo kutoka chuo kuwa nadaiwa nasubri mkeka utiki hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji106][emoji106]
Ukitiki tuu nakuja dasalam mapema alafu namkula block au namkula pia kabla ya kumla block
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Somesha kama ushajipata, hauna shida ndogo ndogo, hela yako ni ya bata.....
Sasa kimtu kinaishi geto humo ndani mali zinahesabika ni pazia, jagi la tokyo, sabufa ya maxiaou, na kapeti.Kinasomesha!!!!!
Ukiachwa si lazma atukane wanawake duniani kote!!
π€ππππUlisomesha malaya??? Yani ulimtoa mtu pale riva side ukampeleka udsm??? Si ungempeleka veta.
#nshachoka
πππUnatusemeagaa vizuriiiWanaume wakware, wanaume wenye kipato cha mawazo, kipato cha kuunga unga na gundi.....mchumba hasomeshwi.
Ni kweli ila mnawanyanyasa vijana waojitafuta wakati bado pressure na sukari havijawakumba kama waliojipata.π
πππUnatusemeagaa vizuriii
Mkuu malaya ni mtu yeyote anayehodhi wapenzi zaidi ya mmoja.Ulisomesha malaya??? Yani ulimtoa mtu pale riva side ukampeleka udsm??? Si ungempeleka veta.
#nshachoka
Hiyo ni defense mechanisma tu baada ya kupigwa na kitu kizito.....Mkuu malaya ni mtu yeyote anayehodhi wapenzi zaidi ya mmoja.
Hao wa Riverside ni wachache, 'undercover' ni wengi kuliko wanaofahamika.
Hicho chama pendwa ni kigumu ingawa kina wanachama wengi kuliko wanachama wa Ccm.
Nawe mkuu waweza kukuta ni mwanachama mwenye kadi isiyosajiliwa.
Sasa hukunitag ningeona vipiEphen ,mambo.