Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Bush Viper

Member
Joined
Nov 19, 2018
Posts
9
Reaction score
55
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
 
Ukiachana na hicho unachohisi wanapewa lakini kuna wadada ni mawizadi sana, wanakutengeneza mpk unajikuta huelewi yaani...
Bado sijaelewa. Kwamba wanakuwa mawizadi kitandani au wanakuendea kwa sangoma 😂

Niliwahi kupata demu wizadi kunako 6 kwa 6 lakini pesa kubwa niliowahi kumuhonga ilikuwa ni 150k, tena hii ni mzazi wake alikuwa anaumwa.
 
Simps na wasiojitambua

Nakumbuka nikiwa udsm mwaka wa. tatu nikamwingiza king dada moja anafanya kazi bank flan

Weekend kuanzia jumamos had jumapili nakupapatikia naye
Ila nikishika simu yake mabwege yanavyojiliza na kutuma pesa bila kuombwa

Mm nafumania nyavu tu
 
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
 
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
Kweli mwanawane waje watupe majibu mwanaume unahonga gari kida mbususu🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom