Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Wewe sio ali kamwe lakini mbona hii story yako inafanana na ali kamwe.
 
Dogo,
Siyo akili kuruka, sema wewe bado hujapatwa.

Wale wanaohonga nyumba, magari na mitaji juu siyo wajinga. Ukikua utajua.

Ila ukweli usemwe, mwenzio kazingua kukopa na kuhonga zaidi ya mshahara wake!

View: https://youtube.com/shorts/r7Ev6u7yti8?si=zrWDsherYJvltTuV

Mwanaume yoyote ambaye unaendeshwa na nguvu ya pussy ujue ujakomaa kiakili, limbukeni na siku zote utakuwa mtumwa wa mwanamke Miaka yako yote mbona Mimi nafanyiwa vitamu nimewahi kuwa na demu ananifanyia masaji, napewa viuno feni na hata huyu wasasa kina nikimuhitaji napewa na ufundi juu na wakati mwingine ye ye ndio ananihitaji lakini sijawahi kumpa demu hela yangu nje ya uwezo wangu au vile vikubwa but napendwa vibaya. vijana wengi mnakuwa watumwa wa pussy kwasababu pia hamuwaridhishi mademu zenu ndio maana mnapewa kwa kuadiliwa.
 
Nimecheka haswa dah! wadau mnamaneno
Mkuu hawa wanaume unaowaona sasa umri umeenda hawana chochote maisha yamewapiga sio kwamba hawakuwa na fursa wakati wa ujana wao.

Ni kweli hatuwezi kuwa matajiri lakini kuna vinjia Mungu anakufungulia angalau unapata sehemu ya kulaza ubavu, unasomesha watoto hata kayumba n.k.

Wanaume wengi ambao ni wazee na wengine ni Baba zetu walitumia vipato vyao kwenye

1. Wanawake- ngono
2. Pombe
3. Starehe mbali mbali.

We kijana hata piki piki huna lakini unamlipia Mwanamke Laki sita tena ya kukopa na wakati huyo mwanamke gari yenyewe kahongwa na wanaume wengine?
 
Mwanaume yoyote unaendeshwa na nguvu ya pussy ujue ujakomaa kiakili, limbukeni na siku zote utakuwa mtumwa wa mwanamke Miaka yako yote mbona Mimi nafanyiwa vitamu niwekuwa na demu ananifanyia masaji, napewa viuno feni na hata huyu wasasa kina nikimuhitaji napewa na ufundi juu na wakati mwingine ye ye ndio ananihitaji lakini sijawahi kumpa demu hela yangu nje ya uwezo wangu au vile vikubwa but napendwa vibaya. vijana wengi mnakuwa watumwa wa pussy kwasababu pia hamuwaridhishi mademu zenu ndio maana mnapewa kwa kuadiliwa.
Wanaume wengi wanadhani kwa kutoa offer za hapa na pale ndio watapendwa.....Game iko viceversa. You only need to show Manly hood.

Tena pale Mwanaume unapojicontrol mambo ya Pussy wanawake wanakutamani sana.
 
We
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
Wengi ni MA-SIMP
Ni dalili ya umasikini
Huwezi Kuta muarabu ama muhindi anafanya huu upumbavu,...........
 
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
Pussy imewafanya wanaume wengi kua masikini
 

Attachments

  • GM1p870XYAAQh72.jpeg
    GM1p870XYAAQh72.jpeg
    33.8 KB · Views: 3
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
Hiyo ni tabia ya mtu tu, kuna wengine wanapenda kuchunwa.

Ni uvivu wa kufikiri pia, watu wengine hawana swag, hawana maneno, hawana game, hawana style. Wanaona pesa ndiyo kitu pekee cha kuwafanya wawe relevant.
 
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
Uchawi upo Mzee mi Kuna demu nilikuwa naye Kuna kipindi alikuwa akija ghetto na kitambaa chake Cha kufutia mikono cheupe wakati WA mechi anafutia shahawa sijui alikuwa anazipeleka wapi? Ila baadae nilisanuka
 
Hivi unaijua nyapu yenye inabana🤣ipo kama small intestine au kile kindukumu cha kuku
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
 
JuZ ilibaki kidogo nimlipie mtu nauli ya dar...marangu coach
Angekula nauli😀😀 mi Kuna demu amekula 50k yangu alikuwa anangangania vibaya aje uku ninapokaa maana ye yupo mkoa mwingine basi bhana Kila siku ananisumbua nimtumie nauli ile Kutuma tu nikatumiwa namba eti ya Maza yake kamkatalia kuja mpaka niongee naye nikamchana aache ushamba anirudishie nauli Hadi Leo hajanitafuta ,nikajisemea kweli mademu wengi ni wasenge na sio wakuwaulumia ,ukiwaulumia utaingia mkenge
 
Back
Top Bottom