Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

NNi
Dogo,
Siyo akili kuruka, sema wewe bado hujapatwa.

Wale wanaohonga nyumba, magari na mitaji juu siyo wajinga. Ukikua utajua.

Ila ukweli usemwe, mwenzio kazingua kukopa na kuhonga zaidi ya mshahara wake!

View: https://youtube.com/shorts/r7Ev6u7yti8?si=zrWDsherYJvltTuV

Upumbavu huo, wengine tumepatwa sana ila hatujawahi kuhonga zaidi ya elfu 30 na uwezo wa kuhonga laki Tano tulikuwa nao, ni kuishi kwa akili na mahesabu, utamu wenyewe unaupata kwa dakika chache, ungekuwa unahonga pale unapopagawq na utamu hapo sawa, ila kuhonga hela nyingi kipindi kingine ukiwa na akili timamu, huo ni ufala.
 
Nataka asione kama mbuzi. Umesema usipohonga anakuona mbuzi tuu.
Usifanye vitu ili umridhishe mwanamke unakosea kijana unaweza ukafanya yote hayo na bado ukacheatiwa au kuachwa muhimu muhudumie kulingana na uwezo wako ( fanya ndani ya uwezo wako) me mbona si hongi sana kama mnavyofanya nyie but ni napendwa mno napewa ninapohitaji na wakati mwingine yeye ndio ananiomba, nikiwa sina ninamwambia sina na anaelewa, na wakati mwingine anisaidia. ukiishi kwa kutumia akili mwanamke hawezi kukusumbua wewe ndio utakuwa control wa maisha yake, tatizo lenu mnaishi kwa kuangalia mwanamke wako anataka nini sio wewe unataka nini kwake
 
NNi

Upumbavu huo, wengine tumepatwa sana ila hatujawahi kuhonga zaidi ya elfu 30 na uwezo wa kuhonga laki Tano tulikuwa nao, ni kuishi kwa akili na mahesabu, utamu wenyewe unaupata kwa dakika chache, ungekuwa unahonga pale unapopagawq na utamu hapo sawa, ila kuhonga hela nyingi kipindi kingine ukiwa na akili timamu, huo ni ufala.
Hata ukihonga wakati unapagawa na utamu napo huu ni udhaifu mno na nakwambia atautumia kama fimbo ya kukuchapia mwanaume hupaswi uwe hivyo kabisa.
 
Mimi, sio mtu wa kutoa sana, sijawahi kumpa mwanamke pesa kuzidi uwezo wangu, na sijawahi kujuta kufanya hivyo coz situmiagi hisia katika kufanya maamuzi

Mwanamke yoyote atakayetaka kuingilia uchumi wangu kwa kuleta invoice zisizo eleweka niko radhi naiachane naye muda huo huo.😡😎
 
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
 

Attachments

  • B8B94ADE-9CC6-493F-AE49-152D6D397B0E.jpeg
    B8B94ADE-9CC6-493F-AE49-152D6D397B0E.jpeg
    47 KB · Views: 3
  • C153826B-00C5-4EAB-B379-4B7FED446395.jpeg
    C153826B-00C5-4EAB-B379-4B7FED446395.jpeg
    355.3 KB · Views: 2
Kuhonga huja automatically Wanaume tutafute pesa hakuna mapenzi ya bule sikuizi labda uende kwa akina mwajuma ndala ndefu akina beyonce na Rihanna mtuachie vizito wa nchi hii, Note"" kuhonga dem asiye Madako ni matumizi mabaya ya akili na pesa
 
Kuhonga huja automatically Wanaume tutafute pesa hakuna mapenzi ya bule sikuizi labda uende kwa akina mwajuma ndala ndefu akina beyonce na Rihanna mtuachie vizito wa nchi hii, Note"" kuhonga dem asiye Madako ni matumizi mabaya ya akili na pesa
Watu hawapingi kutomuhudumia mpenzi wako hoja ipo kwenye je unafanya ndani ya uwezo wako au nje ya uwezo wako?
 
1. Uchawi
2. Ushamba
3. K tamu ya MOTO
4. Uzuri-(Shepu,rangi,tako,hipsi,flat tummy, chuchu saasita e.t.c)
 
Nimekaa hapa nisome sababu ya msingi hata hamna mnarukaruka tu.....mme wangu alikamatika kwa rafiki yangu aisee sijui yule dada alimfanya nn baba watoto imagine unaomba elf 20 ukamnunulie nguo mtoto angalau za mtumba za elf 1 ,1 maana tuliishiwa nguo jamaa anajibu sina hela alafu siku hiyo anaenda kukutana na rafiki yangu lorge ya 30 na baada ya mechi kapewa laki ya asante.....
Siku nyingine mtoto alivunjika mkono tulitakiwa kusafir twende hospital ya rufaa kwenda kutolewa POP....jamaa alidai hana hela ya nauli ikabidi tukamtoe dispensary mpaka leo mtoto mkono umepinda kidogo... Na kesho yake alimtumia rafiki yangu laki 2....achà kabisa nyie watu akili zenu mnazijua tu nyinyi
Nimesikitika sana, hadi mtoto mkono umepinda, hiyo siyo busara kabisa, lakini uliza mumeo huyo rafiki Yako ana sifa zipi, usikute K yake ni tamu mno Kuliko yako, au ana shape Kuliko wewe, au ana adabu Kuliko wewe, kikubwa ni K yaweza kuwa tamu mno. Japo hakutakiwa kumtesa mtoto wake hivyo.
 
Hiyo ni tabia ya mtu tu, kuna wengine wanapenda kuchunwa.

Ni uvivu wa kufikiri pia, watu wengine hawana swag, hawana maneno, hawana game, hawana style. Wanaona pesa ndiyo kitu pekee cha kuwafanya wawe relevant.

Umenena vyema.
Kuhonga ni udhaifu.
Mwanaume lijali mwenye ku-deserve kupendwa hawezi kuhonga ili apendwe.
True love is has no condition
 
Hakuna kitu hayo maboya yanapewa. Bali ni Desperation, lack of options na low sexual market value. Na hao wanawake wanajua watu wa aina hiyo wakiwaona na wanafanya fursa na makusudi. Mwanamke haniombi pesa labda niamue mwenyewe na hata akiomba nasema sina na wala haondoki, halalamiki wala kunisumbua tena.

Sababu anajua akizingua tu, the moment I'm out of that fuking door I can get 2 more upgraded versions of herself. Simple psychology.

Njia pekee ya kutoendeshwa na mwanamke ni kumfanya ajue wewe ni bora zaidi yake. Na hiyo iwe kweli.
 
Nimesikitika sana, hadi mtoto mkono umepinda, hiyo siyo busara kabisa, lakini uliza mumeo huyo rafiki Yako ana sifa zipi, usikute K yake ni tamu mno Kuliko yako, au ana shape Kuliko wewe, au ana adabu Kuliko wewe, kikubwa ni K yaweza kuwa tamu mno. Japo hakutakiwa kumtesa mtoto wake hivyo.
Kweli anashepu sana yan ukimuangalia na 8 haswa
 
Kweli anashepu sana yan ukimuangalia na 8 haswa
Usifanye mchezo na shepu/shepu namba 8 , watu wanahonga mpaka nyumba na viwanja vya urithi 🤣

Tena mdada mwenye shepu akiwa na flat tummy na mahipsi yaliyojaa na malaini ya kumwagika na K tamu ya moto, ufundi kitandani na akiwa anatoa marinda, hiyo combination sio mchezo 🤣🤣
 
Nimekaa hapa nisome sababu ya msingi hata hamna mnarukaruka tu.....mme wangu alikamatika kwa rafiki yangu aisee sijui yule dada alimfanya nn baba watoto imagine unaomba elf 20 ukamnunulie nguo mtoto angalau za mtumba za elf 1 ,1 maana tuliishiwa nguo jamaa anajibu sina hela alafu siku hiyo anaenda kukutana na rafiki yangu lorge ya 30 na baada ya mechi kapewa laki ya asante.....
Siku nyingine mtoto alivunjika mkono tulitakiwa kusafir twende hospital ya rufaa kwenda kutolewa POP....jamaa alidai hana hela ya nauli ikabidi tukamtoe dispensary mpaka leo mtoto mkono umepinda kidogo... Na kesho yake alimtumia rafiki yangu laki 2....achà kabisa nyie watu akili zenu mnazijua tu nyinyi
Bado wanaendelea kulana au wameachana
 
Usifanye mchezo na shepu/shepu namba 8 , watu wanahonga mpaka nyumba na viwanja vya urithi 🤣

Tena mdada mwenye shepu akiwa na flat tummy na mahipsi yaliyojaa na malaini ya kumwagika na K tamu ya moto, ufundi kitandani na akiwa anatoa marinda, hiyo combination sio mchezo 🤣🤣
Oyaa huyu demu wa type yako ni kombinenga ya mzabzab na Mzee wa kupambania 😂 😂 mzabzab Mzee wa kupambania Akilindogosana
 
Angekula nauli😀😀 mi Kuna demu amekula 50k yangu alikuwa anangangania vibaya aje uku ninapokaa maana ye yupo mkoa mwingine basi bhana Kila siku ananisumbua nimtumie nauli ile Kutuma tu nikatumiwa namba eti ya Maza yake kamkatalia kuja mpaka niongee naye nikamchana aache ushamba anirudishie nauli Hadi Leo hajanitafuta ,nikajisemea kweli mademu wengi ni wasenge na sio wakuwaulumia ,ukiwaulumia utaingia mkenge
Demu ni msenge au wewe ndio Msenge? Huyo Demu anakuzidi akili. We zako zoko chini za kwake ziko kichwani. Na hapo ujue sio wewe tu uliyetuma kuna ma Simp mengi tu yanatuma.

Mwisho wa siku huyo demu anabaki kudharau wanaume jinsi walivyo na akili mbovu. Kumbe kakutana na masimp.

Hata akiolewa anakuwa anajua wanaume akili zao ziko hivyo.
 
Back
Top Bottom