Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sijui nimeandika nini DahWill u please elaborate Sweetie🤣🤣
Kabisa mkuu alisema chochote unafanyaUkiachana na hicho unachohisi wanapewa lakini kuna wadada ni mawizadi sana, wanakutengeneza mpk unajikuta huelewi yaani...
Huyo Jamaa yako akishafikisha 40 ndio atakuja kuhangaika na slgan ya Kataa Noda kwa ujinga wake.Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.
Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.
Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.
Nimebaki najiuliza kuwa
- Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
- Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
- na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
Dogo,na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
😀 😀 😀Nilihonga 50k kipindi hicho ijapokuwa nilikuwa na mpenda sana lkn nilishinda ndani kama naumwa najiuliza akija kunikataa itakuaje.
Niko serious nataka nijifunze Mwl ukojee😔😔Hata sijui nimeandika nini Dah
Hakuna cha uchawi wala nini ni kujiendekeza tu,ukiamua kukaza mbona mambo yanakwenda fresh tuUkiachana na hicho unachohisi wanapewa lakini kuna wadada ni mawizadi sana, wanakutengeneza mpk unajikuta huelewi yaani...
Unalogwaje kirahisi..unatakiwa uwe wa moto zaidiUkiachana na hicho unachohisi wanapewa lakini kuna wadada ni mawizadi sana, wanakutengeneza mpk unajikuta huelewi yaani...