Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.
Vibinti na wanawake ni washirikina na wachawi! Wamerithi uchawi wa mama zao na wengine kabla ya kukunasa wanaenda kwa waganga (wachawi). Kwahiyo ukijichanganya bila kutafuta msaada wa Mungu utaingia anga za shetani na nilazima akufilisi!
 
Nimesikitika sana, hadi mtoto mkono umepinda, hiyo siyo busara kabisa, lakini uliza mumeo huyo rafiki Yako ana sifa zipi, usikute K yake ni tamu mno Kuliko yako, au ana shape Kuliko wewe, au ana adabu Kuliko wewe, kikubwa ni K yaweza kuwa tamu mno. Japo hakutakiwa kumtesa mtoto wake hivyo.
Kwahiyo K tamu ikufanye umkache mwanao? Au shepu nzuri, huu ni uovu mkubwa sana huyo mwanaume amefanya. Kwahiyo kama mama mtu adabu imepungua na mtoto unamuacha ukahonge mwanamke mwingine? Iko siku atalipia tu, karma never looses its address.
 
ili mwanaume apagawe, demu hatakiwi kuwa mzuri sana, awe na K tamu tu inatosha, ushawahi kuona mwanaume anaacha mkewe mzuri kishenzi, anaenda kwa mwanamke asiyepostika? Unafikiri anafata nini kama siyo utamu wa K uliokithiri.
Mwanaume mambo mengi yanamuongezea midadi kwa mwanamke, kutomba demu mzuri wa sura na shape halafu awe msafi kuna raha yake. Huwezi kufananisha na manzi sura ya baba
 
🤣
Kuna jamaa muuza nguo za kike alikuwa anahonga mdada mmoja singo maza mmoja mweupe na ana shepu namba 8, juu mwembambaa chini kajaa nyama, jamaa alituambia vipimo vya demu wake kipimo kilikuwa:Kiuno inch 28,hipsi inch48. Jamaa alisema "msinipangie kazi ya hela zangu, acha nienjoy huu mzigo" huyo dada nahisi alikuwa na K tamu ya moto. Jamaa alikuwa anahonga hela kama mpumbavu 🤣🤣
Alihonga mpaka akafilisika 🤣🤣
Matumizi sahihi ya hela hayo mwanawane. Hela zenyewe tunatafuta ili tugegede so muhimu jamaa alikuwa anakojolea pazuri
 
Matumizi sahihi ya hela hayo mwanawane. Hela zenyewe tunatafuta ili tugegede so muhimu jamaa alikuwa anakojolea pazuri
🤣 noma sana! Halafu jamaa alikuwa anatoa kauli kama hizo 🤣🤣🤣 alikuwa anasema akiuona msambwanda mweupe wa huyo mdada singo maza, unampa hamu ya kutafuta hela zaidi 🤣🤣🤣🤣
 
Ni upumbavu tu wa wanaume, huwezi kuhonga more than what u earn, ni ukosefu wa akili tu hakuna namna nyingine tunaweza kusema.

U earn 800k, unatoa 600k utakuwa huna akili hata robo, tena kwa mtu ambaye hata kesho yenu haieleweki.
Hahaha.....kuna Polisi amekamatwa anafanya kazi za Udalali.....anadae alistafu kwa Kuumwa anakula.pension sahibi.

Ukweli ni kwamba tukiwa vijana pesa tunazopata tunashindana kwenye starehe na kubadilisha wanawake........if anything in Life goes wrong tunazingizia hicho badala ya kuwa tumejipanga
 
🤣 noma sana! Halafu jamaa alikuwa anatoa kauli kama hizo 🤣🤣🤣 alikuwa anasema akiuona msambwanda mweupe wa huyo mdada singo maza, unampa hamu ya kutafuta hela zaidi 🤣🤣🤣🤣
Sasa je ata mie nikiona mrembo ana tako zuri titi zuri ndio nasema wacha nisake hela angalau wadanganyike na hela zangu maana kibamia hichi kuyomber hakiwezi
 
Kwahiyo K tamu ikufanye umkache mwanao? Au shepu nzuri, huu ni uovu mkubwa sana huyo mwanaume amefanya. Kwahiyo kama mama mtu adabu imepungua na mtoto unamuacha ukahonge mwanamke mwingine? Iko siku atalipia tu, karma never looses its address.
Soma vzr meseji niliyo andika uelewe, siyo kwamba nimesapoti huo uovu
 
Sasa je ata mie nikiona mrembo ana tako zuri titi zuri ndio nasema wacha nisake hela angalau wadanganyike na hela zangu maana kibamia hichi kuyomber hakiwezi
Tako kubwa ndio motivation ya kutafuta hela 🤣🤣
 
Back
Top Bottom