Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Wanaume wenzangu, huwa mnapewa nini hadi mnahonga pesa ambazo zipo juu ya uwezo wenu?

Nimekaa hapa nisome sababu ya msingi hata hamna mnarukaruka tu.....mme wangu alikamatika kwa rafiki yangu aisee sijui yule dada alimfanya nn baba watoto imagine unaomba elf 20 ukamnunulie nguo mtoto angalau za mtumba za elf 1 ,1 maana tuliishiwa nguo jamaa anajibu sina hela alafu siku hiyo anaenda kukutana na rafiki yangu lorge ya 30 na baada ya mechi kapewa laki ya asante.....
Siku nyingine mtoto alivunjika mkono tulitakiwa kusafir twende hospital ya rufaa kwenda kutolewa POP....jamaa alidai hana hela ya nauli ikabidi tukamtoe dispensary mpaka leo mtoto mkono umepinda kidogo... Na kesho yake alimtumia rafiki yangu laki 2....achà kabisa nyie watu akili zenu mnazijua tu nyinyi
Hii ni stori ya kweli au Rafiki yako naye anakurusha roho tu? Maaana wanawake nawajua hasa hawa wa uswazi.
 
Nyie watu mnaohonga wanawake vitu vikubwa vikubwa au hela nyingi mnatuharibia sana wanawake. Nyie ndio mmesababisha sisi pangu pakavu tunakaziwa tunaonekana kama mbuzi tu. Imefika mahali hata wanawake wa kawaida kabisa nao wanataka kuhongwa mpunga mrefu kisa wanasikia wenzao wanatajirika kwa kuhongwa! Wengine hawataki tena hata kufanya kazi wanategea kupata mwanaume mwenye hela awahonge.

Chonde chonde tunaomba tuzingatie bei elekezi ya kuhonga ni Tsh 10,000 - 50,000 sio zaidi ya hapo!

Asanteni.
Kweli lakini aisee.

Unakuta demu kapanga Chumba master tv kali, redio kali. Fenicha kali na hana kazi.

Akiwasimulia wenzake wanacganganyikiwa.

Ukija kutupia nyavu hata kama unataka kuoa aisee hakuna rangi utaacha kuona. Maana anataka na yeye apate vitu kama wenzake. Ajione wa thamani.

Uzuri ni kwamba Wahongwaji asipokuwa Single maza basi anaambulia Ukimwi.
 
Mwamba kamaliza kila kitu halafu tako skonzi wanakuwaga watamu sana kitandani unapiga unaridhika 🤣
Pisi kama huyu alale kitandani (staili ya lazy dog) halafu kajibinua kishundu Kiko juu, unampanua makalio yake, ni wewe tu kuchagua shimo la kuingilia Mzee wa kupambania
Screenshot_20241122-105127.jpg
 
Kei ni tunda linaloongoza kwa kuliwa kila siku, ukiachana na nyanya. K ni faraja, K ni maumivu pia kama huna pesa.
 
Nimekaa hapa nisome sababu ya msingi hata hamna mnarukaruka tu.....mme wangu alikamatika kwa rafiki yangu aisee sijui yule dada alimfanya nn baba watoto imagine unaomba elf 20 ukamnunulie nguo mtoto angalau za mtumba za elf 1 ,1 maana tuliishiwa nguo jamaa anajibu sina hela alafu siku hiyo anaenda kukutana na rafiki yangu lorge ya 30 na baada ya mechi kapewa laki ya asante.....
Siku nyingine mtoto alivunjika mkono tulitakiwa kusafir twende hospital ya rufaa kwenda kutolewa POP....jamaa alidai hana hela ya nauli ikabidi tukamtoe dispensary mpaka leo mtoto mkono umepinda kidogo... Na kesho yake alimtumia rafiki yangu laki 2....achà kabisa nyie watu akili zenu mnazijua tu nyinyi
Pole sana kpnz,nimeumia sana aisee,yaani mtoto anapinda mkono kwasababu ya mchepuko?

Mimi huwa sibariki kuchepuka lkn huwa naona kama itabidi ufanye unayofanya ila familia kwanza narudia tena familia kwanza

Jali familia yako kwanza hao ndio ndugu zako
 
Kweli anashepu sana yan ukimuangalia na 8 haswa
Ni kweli si umeona sasa, na K yake lazima iwe tamu, sisi wanaume mtu akiwa na K ya ovyo ovyo mfano libwawa sililo na ladha, tukipiga mara moja haturudii tena hata uwe mzuri vipi, tunachotaka ni utamu.
 
Hatari sii mchezo
🤣
Kuna jamaa muuza nguo za kike alikuwa anahonga mdada mmoja singo maza mmoja mweupe na ana shepu namba 8, juu mwembambaa chini kajaa nyama, jamaa alituambia vipimo vya demu wake kipimo kilikuwa:Kiuno inch 28,hipsi inch48. Jamaa alisema "msinipangie kazi ya hela zangu, acha nienjoy huu mzigo" huyo dada nahisi alikuwa na K tamu ya moto. Jamaa alikuwa anahonga hela kama mpumbavu 🤣🤣
Alihonga mpaka akafilisika 🤣🤣
 
Mwamba kamaliza kila kitu halafu tako skonzi wanakuwaga watamu sana kitandani unapiga unaridhika 🤣
ili mwanaume apagawe, demu hatakiwi kuwa mzuri sana, awe na K tamu tu inatosha, ushawahi kuona mwanaume anaacha mkewe mzuri kishenzi, anaenda kwa mwanamke asiyepostika? Unafikiri anafata nini kama siyo utamu wa K uliokithiri.
 
Ukiachana na hicho unachohisi wanapewa lakini kuna wadada ni mawizadi sana, wanakutengeneza mpk unajikuta huelewi yaani...

Usipokuwa na Kristo ndani yako unalogwa sanaaa mpaka ukome.yaani unakuwa kama robot.atakachoswna unafanya faster.Wanawake wengi siku hizi wanzitafuta hela kwa nguvu nyingi sana,hasa nguvu za giza.Tena ikitokea wewe ni mfanyabiashara au mfanyakazi ukubwa wa tatizo unaongezeka zaidi
 
We

Wengi ni MA-SIMP
Ni dalili ya umasikini
Huwezi Kuta muarabu ama muhindi anafanya huu upumbavu,...........
Kwanza umeanza vizuri lakini ukaja kuyaweka hayo majitu mashamba yaani waarabu na wahindi?? Au unawaona kwenye tivii?
Hakuna mtu limbukeni kama muarabu mdogo wangu
Tunawajua na kuwaona sana maana tushaishi nao sana..
 
Angekula nauli😀😀 mi Kuna demu amekula 50k yangu alikuwa anangangania vibaya aje uku ninapokaa maana ye yupo mkoa mwingine basi bhana Kila siku ananisumbua nimtumie nauli ile Kutuma tu nikatumiwa namba eti ya Maza yake kamkatalia kuja mpaka niongee naye nikamchana aache ushamba anirudishie nauli Hadi Leo hajanitafuta ,nikajisemea kweli mademu wengi ni wasenge na sio wakuwaulumia ,ukiwaulumia utaingia mkenge
Duuuh huyo demu tapel mkuu ukiona demu ana fosi mambo ujue huyo ni shida mkimbie.
 
Kwanza umeanza vizuri lakini ukaja kuyaweka hayo majitu mashamba yaani waarabu na wahindi?? Au unawaona kwenye tivii?
Hakuna mtu limbukeni kama muarabu mdogo wangu
Tunawajua na kuwaona sana maana tushaishi nao sana..
Wahindi na waarabu ni wageni kwenye wanawake.
 
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.

Nikabaki nimeshtuka! Jamaa hajaoa, wala si wachumba, lakini yupo tayari kutoa pesa nyingi kiasi hicho, na mshahara wake ni laki nne na elfu arobaini tu. Nimejaribu kumshauri kwa upole, lakini ukweli nimesikitika.

Hii imenifanya niwaulize wanaume wenzangu, hivi huwa mnapewa nini mpaka mnahonga kiasi hiki? Au mimi ndio sijawahi kupata penzi la kunifanya niweweseke? 😂 Mimi binafsi sijatoa hela ila nimeumia, maana nimeamini kwamba wanaume wengi hatuendelei kwa sababu ya mapenzi.

Nimebaki najiuliza kuwa
  • Je, ni busara kutoa fedha nyingi kwa mwenza ambaye huna uhakika wa hatma ya uhusiano?
  • Je, kuna njia bora za kuonyesha mapenzi bila kuhatarisha hali ya kifedha?
  • na huwa mnapewa nini hadi akili zinawaruka.

Shida ni pale unapoingiza hisia kali kwenye mapenzi, unatakiwa kuweka hisia pembeni na kufuata uhalisia then utaweza kufikiria kwa usahihi. Hilo ni jambo linawatokea wanaume wengi, by nature ukimpenda mwanamke unataka umtatulie matatizo yake yote, sasa wengine wana matatizo kama mvua akigundua wewe unampenda sana. Ni muhimu kuwa makini, maana wengine ni wahuni, utaletewa matatizo ukija kushtuka umefilisika.
 
Back
Top Bottom