Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Labda kulogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo sio wa kuwa nae kabisaNi
Nina KADEMU kastahili iyo yaani Kila tukikutana tu chenyewe ni matatizo tu mwanzo mwisho yaani mpaka kahakikishe Sina ata buku
Msijifiche kwenye sangoma ni ulimbukeni wenu tuWanaume wanawindwa 24/7, na boya akijaa kwenye mchoro anasokotwa na sangoma. Imeisha!
Huu ni uwongo.Ukiachana na hicho unachohisi wanapewa lakini kuna wadada ni mawizadi sana, wanakutengeneza mpk unajikuta huelewi yaani...
Siyo nyumba tu hadi ardhiLaki 6 tu unashangaa. Wengine mpka wanauza nyumba ya urithi
Ahahah kwamba unahis watakua wanapewa donati au???Ukiachana na hicho unachohisi wanapewa lakini kuna wadada ni mawizadi sana, wanakutengeneza mpk unajikuta huelewi yaani...
Huna hela tuu, watu tunahonga mijengo kule Mbweni, unashangaa laki 6 tuu?Laki6 daaaaah
Katiba ya nchi inaruhusu wadada kuwa witches ?Ukiachana na hicho unachohisi wanapewa lakini kuna wadada ni mawizadi sana, wanakutengeneza mpk unajikuta huelewi yaani...
Nyie watu mnaohonga wanawake vitu vikubwa vikubwa au hela nyingi mnatuharibia sana wanawake. Nyie ndio mmesababisha sisi pangu pakavu tunakaziwa tunaonekana kama mbuzi tu. Imefika mahali hata wanawake wa kawaida kabisa nao wanataka kuhongwa mpunga mrefu kisa wanasikia wenzao wanatajirika kwa kuhongwa! Wengine hawataki tena hata kufanya kazi wanategea kupata mwanaume mwenye hela awahonge.Huna hela tuu, watu tunahonga mijengo kule Mbweni, unashangaa laki 6 tuu?
Mugabe alitaka kuhonga nchi wakamshtukia wàkamnyang'anya!
Mbona umeni quote halafu unaandika pumba?...lakini sijawahi kumpa demu hela yangu nje ya uwezo wangu
Duh inasikitisha kwanini uliolewa na mtu kama Huyo?Nimekaa hapa nisome sababu ya msingi hata hamna mnarukaruka tu.....mme wangu alikamatika kwa rafiki yangu aisee sijui yule dada alimfanya nn baba watoto imagine unaomba elf 20 ukamnunulie nguo mtoto angalau za mtumba za elf 1 ,1 maana tuliishiwa nguo jamaa anajibu sina hela alafu siku hiyo anaenda kukutana na rafiki yangu lorge ya 30 na baada ya mechi kapewa laki ya asante.....
Siku nyingine mtoto alivunjika mkono tulitakiwa kusafir twende hospital ya rufaa kwenda kutolewa POP....jamaa alidai hana hela ya nauli ikabidi tukamtoe dispensary mpaka leo mtoto mkono umepinda kidogo... Na kesho yake alimtumia rafiki yangu laki 2....achà kabisa nyie watu akili zenu mnazijua tu nyinyi
Toka umezaliwa ulishaona au kusikia wanawake wanapata utajiri kwa kuhongwa? Hata uhonge vipi hawapati utajiri ila wanaishia kupata mimba na kuwa ma single maza.Nyie watu mnaohonga wanawake vitu vikubwa vikubwa au hela nyingi mnatuharibia sana wanawake. Nyie ndio mmesababisha sisi pangu pakavu tunakaziwa tunaonekana kama mbuzi tu. Imefika mahali hata wanawake wa kawaida kabisa nao wanataka kuhongwa mpunga mrefu kisa wanasikia wenzao wanatajirika kwa kuhongwa! Wengine hawataki tena hata kufanya kazi wanategea kupata mwanaume mwenye hela awahonge.
Chonde chonde tunaomba tuzingatie bei elekezi ya kuhonga ni Tsh 10,000 - 50,000 sio zaidi ya hapo!
Asanteni.
Issue sio yeye kupata utajiri Je wewe kama wewe unafaidika na nini kwa kumuhonga Huyo manziToka umezaliwa ulishaona au kusikia wanawake wanapata utajiri kwa kuhongwa? Hata uhonge vipi hawapati utajiri ila wanaishia kupata mimba na kuwa ma single maza.
Usiogope kuhonga, kuhonga ni moyo si utajiri.
Nataka asione kama mbuzi. Umesema usipohonga anakuona mbuzi tuu.Issue sio yeye kupata utajiri Je wewe kama wewe unafaidika na nini kwa kumuhonga Huyo manzi