Mimi ni mwanaume lakini nakubaliana na nyinyi katika hili, jinsi ambavyo sihangaiki kumkojolesha mwanamke ambae yeye ndo alionyesha kunihitaji kwanza kisha mimi nikampenda baadae ni ushahidi tosha.
Huko kwingine ni show heavy matokeo kidogo.
Mimi ni Me pia, sipo kwenye "nyinyi".
Mwanamke akivutiwa na wewe jua K yake ndio iliyokuchagua.
Kilele cha upendo wa Ke kwa Me ni kumzalia mtoto. Hivyo Ke akikutana na Me anayemvutia na kumpenda, K yake inalowana fasta, yaani hakuna haja ya kumchezea sana.
Mwanamke kulowana ni mfumo wake wa uzazi unajisafisha na kuondoa taka zote(zikiwemo mbegu za ma sponsors waliotumia pesa au ushawishi kumlala Ke) ili kuruhusu uzazi ufanyike baina yake na Baharia aliyesababisha K ilowane.
Kwa maana hiyo Me kabla hajamtongoza mwanamke ahakikishe huyo Ke anamfeel, yule ambaye anakuonesha mating signals hata kabla hujamtongoza.
Changamoto iliyopo kwa Me ni kushindwa kutambua mating/choosing signals kutoka kwa Ke na kuzi decode. Wanaume wengi walisha aminishwa kuwa njia pekee ya kupata K ni kwa kutumia pesa, so wakikutana na mwanamke aliyewapenda na kuwapa ishara hawawezi kutambua maana kwanza hawana wazo la kwamba hata K ni initiators wa mahusiano na ndivyo inapaswa kuwa.
Mwanaume akitaka kufurahia mahusiano na Ke, kikubwa ajitawale kwanza, atawale matamanio yake then achunguze mwanamke anayemtamani yeye ndipo atongoze.
Kumtongoza mwanamke uliyemvutia ni rahisi, hata kama hujui kusaundisha Ke atakurahisishia maana K yake inamfosi alale na wewe.
Kingine mahusiano na huyo Ke yanakuwa rahisi, hakuna vizinga vya kipumbavu, mgegedo muda unaotaka sababu kumgonga ni kama kumfanyia favor. Ni rahisi kukuzalia mtoto wako halisi, na siyo rahisi kuachika maana mwanamke anakuwa amewekeza kihisia zaidi kuliko wewe.
Always dili na mwanamke anayedili na wewe.