Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
π¨π€π€π€Kaka popote ulipo agiza chochote nitallipa..umeshaoa?Vipi nawao wanawezaje kuishi na wanaume wenye mdomo??
Jibu ni kidogo tu, kuvumiliana na kubebeana madhaifu.
Kama unavyoona yuko na mdomo nae pia kuna udhaifu fulani kauvumilia kwako ila hajasema tu maana asili ya wanawake ni wavumilivu sana
Hapna sijaoa mkuu, karibu aiseeπ¨π€π€π€Kaka popote ulipo agiza chochote nitallipa..umeshaoa?
Mbona Kuna wengine wamekonda Sana hapo vipiπ€·?
English figure hizo madam π π π πππMbona Kuna wengine wamekonda Sana hapo vipiπ€·?
Kuna kamoja pale mwisho,mmmmh Ile ni Darfur figure ππEnglish figure hizo madam π π π πππ
Naunga mkono hoja...π
Ewaaa safi kabisa maisha mafupi sanaNaunga mkono hoja...π
π π π π π π Watu na matamanio yao tu mkuu πππKuna kamoja pale mwisho,mmmmh Ile ni Darfur figure ππ
Tangu nilipo soma kwenye biblia kwamba "kusikilizwa ni moja ya hitaji la msingi la mwanamke", basi nilijiridhisha kwamba kuongea sana/kilakitu na wakati wote ni nature ya mwanamke.Ni kuvumiliana tu,hata wewe una madhaifu yako ambayo wenzio wanakuvumilia.......
Binafsi,Kama mwanamke huwa namuelewa Sana Mwanamme anayenisikiliza......na Kuna baadhi yenu mbarikiwe Sana ni wasikilizaji wazuri saana...Kama wewe umegundua Hilo tayari basi wifi anaenjoy tuTangu nilipo soma kwenye biblia kwamba "kusikilizwa ni moja ya hitaji la msingi la mwanamke", basi nilijiridhisha kwamba kuongea sana/kilakitu na wakati wote ni nature ya mwanamke.
Dogo,ulipotelea wapi?juzi nimekuwazaMdomo sio shida shida ukizidi mtu unakosa amani ya kurudi nyumbani upumzike
Sio wanawake wote mjue wana midomo, mimi hua sipendi maneno mengi au mtu kuongea anapayukapayuka napenda nikikosea niambie hapo umeenda sio na elewa na kurekebisha sio kuongea kutwa nzima aah napenda peace sipendi malumbano mimi ila kuna wanaume wanamidomo mwanamke akasome.nachukia sana hali hiyo ila tunaishi nao kwa akili.
Silaha ya mwanamke ni mdomo.
βΊοΈβΊοΈβΊοΈβΊοΈπ€π€π€π€π€ Natumai na ww ni mpole sana mbele ya mwanaume msikilizaji sio,,,,,,,,,Binafsi,Kama mwanamke huwa namuelewa Sana Mwanamme anayenisikiliza......na Kuna baadhi yenu mbarikiwe Sana ni wasikilizaji wazuri saana...Kama wewe umegundua Hilo tayari basi wifi anaenjoy tu
Sure....upo sawa kabisaπ π π π π π Watu na matamanio yao tu mkuu πππ