Wanaume wenzangu njooni tuongee:- Mnawezaje kuishi na wanawake wenye midomo?

Wanaume wenzangu njooni tuongee:- Mnawezaje kuishi na wanawake wenye midomo?

KUNA WATU WANA MDOMO JAMANI, UNAWEZA PANDA ABOUD KWENDA MOROGORO NA KURUDI NA UKAMKUTA ANA ONGEA TU!!!
 
Ni kuvumiliana tu,hata wewe una madhaifu yako ambayo wenzio wanakuvumilia.......
Katika vitu sitakuja kufanya apa dunian ni kuvumilia ujinga wa mwingne, nipo apa kufurah na sio kuvumilia.
 
Ukiona mwanamke anakasirika nafikiri anakupenda kwa dhati ila unazingua tambua hilo.

Ukiona yupo kimya basi mapenzi yameisha hapo.
Msiwatete katika kivur hiki hakuna cha mapenz kuisha ni ujinga Wa akili zao tu Na kukalili jukumu la mwanamke ni kutii Na si upendo.upendo ni jukumu la mwanaume.Na ndio maana mwanamke asipotii kwa mwanaume,mwanaume hupunguza upendo hutafuta mwanamke mtiifu huko nje.Ndio maana ni ngumu kumkuta mwanamke Mwenye mdomo kukakaa katika ndoa au mahusiano.
 
FLASH BACK.
1. 2014 nilishawahi "date" na mdada mmoja wa kitanga (mdigo) aisee yule dada alikua ni ustadhati kweli.
Yaani ukimuona hivi utasema "mke ndio huyu" mtoto anaijua kujisitiri kwa mavazi na muonekano ila bana mkiwa ndani "Ana mdomo huyoooo"

2. Ukweli kabisa second born wangu nilianza kukataa tokea mimba yake, na sababu ni mdomo wa mama ake.
Huyu mwanamke ni WA Tanga na ni mdigo.
Kuna muda anaongea mambo mpaka unahisi "Kamaanisha au nini?"
Nyie mama wa huyu mtoto wangu wa pili ana mdomo nyiee.
Ole wako ukachelewe kutuma ada eeh unalooo.
Ole wako akuombe hela ya jambo fulani la kuhusu mtoto na umuahidi "nakutumia baadae" halafu Kazi zako zifanye upitiwe, aisee "Utajutaaaa".
Kifupi huyu mdigo ana mdomoooo.
Sasa huwa nawaza "Atakaye kuja kumuoa, ITAKUAJE NA HUU MDOMO?"



Hapa napoandika hii sms nimetoka kumshauri binti mmoja wa kidigo, huyu binti nimemuelewa na the first day namuona na baada ya kubadilishana na no nilitaka kawe ka mchepuko kangu,ila mdomo wako ahhhhhh nimeghairi ila nimeishia kumpa ushauri
 
FLASH BACK.
1. 2014 nilishawahi "date" na mdada mmoja wa kitanga (mdigo) aisee yule dada alikua ni ustadhati kweli.
Yaani ukimuona hivi utasema "mke ndio huyu" mtoto anaijua kujisitiri kwa mavazi na muonekano ila bana mkiwa ndani "Ana mdomo huyoooo"

2. Ukweli kabisa second born wangu nilianza kukataa tokea mimba yake, na sababu ni mdomo wa mama ake.
Huyu mwanamke ni WA Tanga na ni mdigo.
Kuna muda anaongea mambo mpaka unahisi "Kamaanisha au nini?"
Nyie mama wa huyu mtoto wangu wa pili ana mdomo nyiee.
Ole wako ukachelewe kutuma ada eeh unalooo.
Ole wako akuombe hela ya jambo fulani la kuhusu mtoto na umuahidi "nakutumia baadae" halafu Kazi zako zifanye upitiwe, aisee "Utajutaaaa".
Kifupi huyu mdigo ana mdomoooo.
Sasa huwa nawaza "Atakaye kuja kumuoa, ITAKUAJE NA HUU MDOMO?"



Hapa napoandika hii sms nimetoka kumshauri binti mmoja wa kidigo, huyu binti nimemuelewa na the first day namuona na baada ya kubadilishana na no nilitaka kawe ka mchepuko kangu,ila mdomo wako ahhhhhh nimeghairi ila nimeishia kumpa ushauri
Unapenda wadigo wewe
 
Vipi nawao wanawezaje kuishi na wanaume wenye mdomo??
Jibu ni kidogo tu, kuvumiliana na kubebeana madhaifu.
Kama unavyoona yuko na mdomo nae pia kuna udhaifu fulani kauvumilia kwako ila hajasema tu maana asili ya wanawake ni wavumilivu sana
Ni sawa mkuu. Ila uvumilivu nao hauna kipimo? Yani hata kama naona kifo hiki hapa, bado nivumilie?
 
Back
Top Bottom