Wanaume wenzangu njooni tuongee:- Mnawezaje kuishi na wanawake wenye midomo?

Wanaume wenzangu njooni tuongee:- Mnawezaje kuishi na wanawake wenye midomo?

Utajiju,wanawake ndo tulivyoumbwa hatuwezi kukaa na kitu rohoni tofauti na nyie na ndo maana mnakufa sana,
Binafsi huwa sio muongeaji ila nikikasirika nitaongea siku nzima,mmewangu ashanijua ananiplease na kama kuna kosa atajishusha.
Wewe kwa staili hiyo kaa mwenyewe tu
Niko mwenyewe tokea nianze kukaa gheto 2011 na mpaka leo NIKO MWENYEWE.
Mimi makelele HAPANA KWA KWELI.

#YNWA
 
wewe una bahati umepata mwanamke mwenye mdomo, omba usipate mwanamke mkimya mwenye kiburi utajuta.

halaf unaonekana incomplete man! you can't be serious, yaan mdomo wa mwanamke unakupa shida? aisee haiwezekani huo tayar ni udhaifu yaan hata handwrite yako inaonyesha wew ni mwanaume wa hovyo.

kumbuka wewe ni kiongozi kwenye hii dunia, mwanamke hatakiwi kuwa na mdomo mbele ya mwanaume, ts obvious wew ndo unalea hayo matatizo halaf unakuja na nini hapa[emoji51] broh acha kutanguliza papuchi mbele ukaacha uwanaume wako nyuma hiyo ni dhambi kubwa sana.

ongea kauli moja tu baada ya hapo kinachofata ni vitendo, piga chini, chukua pisi nyingine ikizingua piga chini, pisi ikusikilize, usiisikilize pisi.

kuwa mwanaume kweli bro.

""halaf unaonekana incomplete man!""
JF is full of Fake IDs
Usiwe unaandika kwa kuwa-attack.

Toa mawazo yako bila ku-attack mtu kwasababu huyo unaye m-attack HATA HUMJUI.

#YNWA
 
Kwa mdomo huo wa lop lop ulionao..maana unaongea mpaka kuwazidi hao wanawake unaowalalamikia..kupata mwanamke wa kukuvumilia labda ashushwe mbinguni..endelea kuishi peke ako MWANAMKE WA KUKUVUMILIA WEWE HAYUPO..Happy Sunday🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋👋👋
Mbona umeiweka sanaa personal.
Mimi na wewe tunashida mahali?

Sasa Kuni-attack hivi umejisikiaje?
Mimi na wewe Kuna shida?

Au navyokataaga ndoa nakuumiza sanaa?

#YNWA
 
""halaf unaonekana incomplete man!""
JF is full of Fake IDs
Usiwe unaandika kwa kuwa-attack.

Toa mawazo yako bila ku-attack mtu kwasababu huyo unaye m-attack HATA HUMJUI.

#YNWA
hakuna kitu kama hiyo mkuu, hii platform ni huru, lazima tuambiane ukweli kwa namna yoyote, nguvu ya mwanaume inakufa day after day kwann tusiambiane ukweli?

halafa kama ni mawazo nimeshatoa, rudia post.
 
hakuna kitu kama hiyo mkuu, hii platform ni huru, lazima tuambiane ukweli kwa namna yoyote, nguvu ya mwanaume inakufa day after day kwann tusiambiane ukweli?

halafa kama ni mawazo nimeshatoa, rudia post.
Amen.
Kesho kazini.
Usiku mwema.

#YNWA
 
Back
Top Bottom