Wanaume wenzangu njooni tuongee:- Mnawezaje kuishi na wanawake wenye midomo?

Wanaume wenzangu njooni tuongee:- Mnawezaje kuishi na wanawake wenye midomo?

Kiasilia mwanamke aliumbwa kuwa muongeaji kuliko Mwanaume.

Nenda kwenye nyumba ambazo wanawake sio waongeaji uone kulivyoboeka.Kwanza ukitembelea mwanamke asiye muongeaji utahisi Kama amekudharau ama hajafurahia ujio wako coz atakuwa Hana shobo Wala story na wewe.
 
Kuna rafiki yangu mmoja huwa ananiambiaga bora aolewe na mwanaume anayepiga kuliko mwenye GUBU anasema GUBU linakondesha.

Pia kuna baadhi ya wanaume tunamagubu mwanamke hagusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Nina watoto wawili.
Naipenda sanaa familia yangu
Me as the father + my children.
Au familia kwako ni nini?

#YNWA
Kwa mdomo huo wa lop lop ulionao..maana unaongea mpaka kuwazidi hao wanawake unaowalalamikia..kupata mwanamke wa kukuvumilia labda ashushwe mbinguni..endelea kuishi peke ako MWANAMKE WA KUKUVUMILIA WEWE HAYUPO..Happy Sunday🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋👋👋
 
Kiasilia mwanamke aliumbwa kuwa muongeaji kuliko Mwanaume.

Nenda kwenye nyumba ambazo wanawake sio waongeaji uone kulivyoboeka.Kwanza ukitembelea mwanamke asiye muongeaji utahisi Kama amekudharau ama hajafurahia ujio wako coz atakuwa Hana shobo Wala story na wewe.
Jamaa anazungumzia wenye mdomo tofautisha hayo mambo mawili mkuu
 
Kiasili wanaume/waume tumeumbwa tupewe heshima na wake zetu

Kwa hiyo mwanamke akiwa ana mdomo mrefu kwa mume/mwanamume wake, tafsiri ni kuwa amuheshimu mume wake

Mleta uzi ameongea kiume sana. Mwanamke kukupigia kelele ni ishara hakuheshimu


Na nyie wanawake mmeumbwa muonyeshwe upendo na waume/wanaume zenu. Na ndio maana mwanamume akizingua kauli yenu "najua siku hizi hunipendi/umenichoka"
 
INTRODUCTION:-
Nikiwa kama kijana mkataa kuoa, moja wapo ya sababu inayonifanya kugoma kuoa ni MDOMO wa MWANAMKE.
Aisee hawa ni mama zetu, dada zetu, binti zetu, shangazi zetu ila WANA MIDOMO AISEEE.

SCENARIO:-
Jana ofisini (halmashauri) kulikua na mfululizo wa vikao.
Kilianza kikao cha Finance, ikaja taarifa za kata na mwisho kikao cha majibu ya hoja.
Kifupi siku ilikua bizee na mwili ukachoka sanaaa.
Sasa kufika ile saa 3 usiku ikawa niko vibaya na uchovu, nikaona Bora nikanunue chakula nile then nilale.
Katikati ya usingizi akapiga simu sista wangu, nikaona anazingua nikakata simu nakuweka silence.

Nikajinyoosha kitandani mpaka asubuhi ya Leo.

Sasa ile naamka nakuta missed call za pisi moja nayoichakata zimejaa kibaooo.

Nikasema "nimpigie" bwanaa eeeh ile kumpigia "Niliambulia maneno mengi ya kushushuliwa kwanini sipokei simu"

Sina shida na hisia zake "yupo sahihi" kwamaana hakua na taarifa na kikao au chochote cha kazini, ila Nina shida na mdomo wake ""kwanini aongee yote yale tena kwa kunichamba?""

FLASH BACK.
1. 2014 nilishawahi "date" na mdada mmoja wa kitanga (mdigo) aisee yule dada alikua ni ustadhati kweli.
Yaani ukimuona hivi utasema "mke ndio huyu" mtoto anaijua kujisitiri kwa mavazi na muonekano ila bana mkiwa ndani "Ana mdomo huyoooo"

2. Ukweli kabisa second born wangu nilianza kukataa tokea mimba yake, na sababu ni mdomo wa mama ake.
Huyu mwanamke ni WA Tanga na ni mdigo.
Kuna muda anaongea mambo mpaka unahisi "Kamaanisha au nini?"
Nyie mama wa huyu mtoto wangu wa pili ana mdomo nyiee.
Ole wako ukachelewe kutuma ada eeh unalooo.
Ole wako akuombe hela ya jambo fulani la kuhusu mtoto na umuahidi "nakutumia baadae" halafu Kazi zako zifanye upitiwe, aisee "Utajutaaaa".
Kifupi huyu mdigo ana mdomoooo.
Sasa huwa nawaza "Atakaye kuja kumuoa, ITAKUAJE NA HUU MDOMO?"

3. BINAMU YANGU.
Unakumbuka ile story yangu ya "Uyatima?"
Kwenye ile story kuna yule binamu yangu "alinifukuzaga kwao".
Sasa bana miaka ilivyoenda shangazi yangu/mlezi wangu/mama wa huyo binamu, aliamua kutupatanisha.
Ila tokea tupatanishwe kiukweli sijawahi na siwezi kubond na binamu yangu.
Na hasa lililokubwa ni mdomo wake.
Binamu yangu ana mdomo balaaa.
Kunakuwaga na ile "family reunion" kila December, then huwa nikifika Moshi kwenye hiyo family reunion "Lazima nimkwepe" kwasababu ya mdomo wake mrefuu (maneno mengi).

4. PS WA MKURUGENZI.
PS wa mkurugenzi wetu bana ana mdomo, na siku zotee huwa natumia "tekiniki" za kuukwepa mdomo wake wakati wa Kazi.
Sasa bana juzi "nimeyakanyaga" Kuna jambo nilimwambia dogoo tu kuhusu faili kwenda kwa mkurugenzi, ila yeye alilikuza ile neno, aliongeaaa pale akaona haitoshi, nilivyotoka ofisini akanitumia sms, akaona hajaridhika "akanipigia mara kibao" ila sikupokea.
Huyu dada ni mke wa mtu, sasa huwa najiuliza "nyumbani mumewe ana hali gani?"

THE BIG PROBLEM:-
Yaani nimekutana na wanawake wengi, kazini, mtaani na koteee huko na ni wake za watu + wengine wachumba ila aiseee Wana midomo nyieeee.

Na Mimi kitu ambacho sipendi ni "MDOMO Mkubwa/Mrefu"

Kuna siku riki boy niliona anasema "dawa ya mwanamke mwenye mdomo ni kuondoka ndani akiwa anaongea", Sasa najiuliza "mdomo ukifunguliwa usiku utaondoka uende wapi huo usiku?".

Sikatai kuhusu kukosea, maana Mimi ni binadamu "Nakosea" ila sasa nikikosea "si unieleze neno moja nielewe" sio mdomo mrefuuuuuuuuu mpaka sasa unatoa ile maana ya kunionya inakuwa dhamira ya kunikera.

Nyie.....
MDOMO UNAKERA.

Na kwasababu ya mdomo, acha tu niishi mwenyewe SINGLE BOY.

ANYWAY:-
Tuendelee kutafuta HELA.
Wale wapenzi wa movie za MARVEL na DC, karibuni gheto tucheki movie zote za THOR..!!

MDOMO nyokooooooo.

#YNWA
wewe una bahati umepata mwanamke mwenye mdomo, omba usipate mwanamke mkimya mwenye kiburi utajuta.

halaf unaonekana incomplete man! you can't be serious, yaan mdomo wa mwanamke unakupa shida? aisee haiwezekani huo tayar ni udhaifu yaan hata handwrite yako inaonyesha wew ni mwanaume wa hovyo.

kumbuka wewe ni kiongozi kwenye hii dunia, mwanamke hatakiwi kuwa na mdomo mbele ya mwanaume, ts obvious wew ndo unalea hayo matatizo halaf unakuja na nini hapa[emoji51] broh acha kutanguliza papuchi mbele ukaacha uwanaume wako nyuma hiyo ni dhambi kubwa sana.

ongea kauli moja tu baada ya hapo kinachofata ni vitendo, piga chini, chukua pisi nyingine ikizingua piga chini, pisi ikusikilize, usiisikilize pisi.

kuwa mwanaume kweli bro.
 
Nitaweza kuvumilia makelele ya mashine ya kusaga nafaka ila sio makelele ya mwanamke mdigo [emoji119]. Wana kauli chafu asee nitakuja tia mtu ulemavu.
hao ukijibizana nao ndo matokeo yake unapiga, unaua au kama ulivyosema, ulemavu siyo kitu kizur[emoji3]

akizingua fungulia mlango tupa nje hata kama ni saa 8 usiku.
 
Huyu hapa hana mdomo atakufaa
Screenshot_20230514-193342_Chrome.jpg
 
Utajiju,wanawake ndo tulivyoumbwa hatuwezi kukaa na kitu rohoni tofauti na nyie na ndo maana mnakufa sana,
Binafsi huwa sio muongeaji ila nikikasirika nitaongea siku nzima,mmewangu ashanijua ananiplease na kama kuna kosa atajishusha.
Wewe kwa staili hiyo kaa mwenyewe tu
 
Back
Top Bottom