Wanaume wenzangu! Tupeane mautundu ya kukwepa Mizinga....

Wanaume wenzangu! Tupeane mautundu ya kukwepa Mizinga....

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,785
Hali imekuwa mbaya sana kwa sasa,kila unaemgusa Interview yake Pesa mapenzi baadae.

Ukizingatia na hali ya uchumi kwa sasa hawa watu nimegundua hawana huruma kabisaaa,eti kisa ni wazuri hivi kweli tumekosa mbinu mbadala ya kuanzisha mahusiano bila pesa kuwa kiingilio kama passport.

Hivi mwanamke mmepanga malengo mengi ya kimaendeleo na mnataka kufanya Ishu za maendeleo lakini yeye hatambui Hilo ni mizinga Tu sasa hizo pesa za kukamilisha hayo malengo mtaokota...wakuu makapuku wenzangu tushauriane hali ni mbaya sana...
 
Ukiona mwanamke hakuhurumii wala kukuelewa ujue hauko moyoni mwake..
bora umwambie ukweli huna aamue kubaki au aende...

Mwanamke akikupenda kweli ataogopa kukupoteza
sio wewe uogope kumpoteza kisa humpi hela kila siku
 
Hali imekuwa mbaya sana kwa sasa,kila unaemgusa Interview yake Pesa mapenzi baadae. ukizingatia na hali ya uchumi kwa sasa hawa watu nimegundua hawana huruma kabisaaa,eti kisa ni wazuri hivi kweli tumekosa mbinu mbadala ya kuanzisha mahusiano bila pesa kuwa kiingilio kama passport. Hivi mwanamke mmepanga malengo mengi ya kimaendeleo na mnataka kufanya Ishu za maendeleo lakini yeye hatambui Hilo ni mizinga Tu sasa hizo pesa za kukamilisha hayo malengo mtaokota...wakuu makapuku wenzangu tushauriane hali ni mbaya sana...
Kam mwandani wako yko ivo kaa nae mweleweshe hali halisi ilivo... Hataki mwambie asepe, dunia ya sasa c ya kupotezeana muda ktk maswala kam hayo!
 
Kam mwandani wako yko ivo kaa nae mweleweshe hali halisi ilivo... Hataki mwambie asepe, dunia ya sasa c ya kupotezeana muda ktk maswala kam hayo!
Mi nahisi kama nina bahati mbaya mkuu kila ninaye =mgusa ndo hivyohivyo...yaani malengo yao ni pesa tu hawaangalii mbele ina maana ni peke yangu Tu!
 
Ukiona mwanamke hakuhurumii wala kukuelewa ujue hauko moyoni mwake..
bora umwambie ukweli huna aamue kubaki au aende...

Mwanamke akikupenda kweli ataogopa kukupoteza
sio wewe uogope kumpoteza kisa humpi hela kila siku
The boss! Leo umefeli.Kumhudumia mwanamke wako Ni sawa Na chakula.Hapa hatuongelei pesa nyingi.Vile vitu vidogovidogo Na muhimu.Mfano kumpendezesha mpenzi wako...n.k.Au nyie tatizo lenu Ni lipi??? Maana sasa Ni shida.Mbona mnakimbilia Sijui kujenga Sijui future!! Salon , Nywele ya kusukia Na Future wapi Na wapi .Acheni hizo.Mwanamke Ni Pambo la nyumba.Ni jukumu lako kumpamba .Sema siku hizi mmevimba kichwa kwa kuwa Na sisi tunaingia fent font.Basi mnataka kwenda sawa.Sisi tubaki wenyewe, bakini wenyewe.Malalamiko yaishe.Mwanaume wa kweli hakimbii majukumu yake Bali atatafuta njia ya kupanua wigo wake ama VP unamfungulia vyanzo vya mapato mpenzi.Sasa vyote hutoi.Unakuja kulialia Hapa.Aibu!!!!!
 
Mi nahisi kama nina bahati mbaya mkuu kila ninaye =mgusa ndo hivyohivyo...yaani malengo yao ni pesa tu hawaangalii mbele ina maana ni peke yangu Tu!
Na kwann iwe ww tu.. Hujajiuliza ivo mkuu? Pengine ww ndo una tatzo ktk choices zako towards unaemtafuta thus unakua unajikuta unaangukia kwa wapiga vznga...

So, em jichek nawe pia ktk ilo mkuu, mana haiwezekani iwe ni ww tu.. Tafakar kuhusu ilo em
 
Na kwann iwe ww tu.. Hujajiuliza ivo mkuu? Pengine ww ndo una tatzo ktk choices zako towards unaemtafuta thus unakua unajikuta unaangukia kwa wapiga vznga...

So, em jichek nawe pia ktk ilo mkuu, mana haiwezekani iwe ni ww tu.. Tafakar kuhusu ilo em
kwa hiyo nyie wenzangu hayawatokei haya au ndio Mwafa na Tai shingoni?
 
Mkuu huyo mwanamke itakuwa anaukoo na ATM.

Kama ulifanya makosa wakati unaanza hiyo relation ukaingia kibabilon kwenye kuonga ukiombwa 50k we unaongeza zero mwisho inakuwa 500k.
Hayo ndio makosa uliofanya.
Kuonga ni kama kuswitch system katika speed fulani ila speed hahitakiwi kupungua, ikipungua basi kidogo bila kuonyesha mabadiliko.



Jovitha nashukuru baby maana huwa sioni hiyo mizinga.
 
Inategemea unamtongoza kwa gia gani,pia life style yako na story zako zimekaaje,ukikaa kujisifia lazima ulizwe,pia katika chaguzi zako utakuwa unafeli hapo mm lidemu la mizinga nikiliangalia machoni nishalijua hata silisalimii
 
Ukiona mwanamke hakuhurumii wala kukuelewa ujue hauko moyoni mwake..
bora umwambie ukweli huna aamue kubaki au aende...

Mwanamke akikupenda kweli ataogopa kukupoteza
sio wewe uogope kumpoteza kisa humpi hela kila siku



haswaaa umenena...tena akijua umefulia atakusaidia in any means na mtashare wote hard tymz pamoja,,ukiliona linakukimbia piga chini fastaaa
 
Mkuu mizinga haikwepeki!!

Mi naonaga bora hawa wanaomba hela za kusukia na madera.... Elfu 50 50 sio mbaya

Kutana na hivi vi high class vina mishahara yao, hawakupigi mizinga ya kifala, k utapewa sana ila subiri siku anakuambia "baby niongezee milioni mbili kuna kiwanja nikichukue"

Manina,
ndo akili itakukaa sawa
 
Mi nahisi kama nina bahati mbaya mkuu kila ninaye =mgusa ndo hivyohivyo...yaani malengo yao ni pesa tu hawaangalii mbele ina maana ni peke yangu Tu!
Inaonekana unawaingia kwa mikogo sana...au unakitambi mkuu?
 
The boss! Leo umefeli.Kumhudumia mwanamke wako Ni sawa Na chakula.Hapa hatuongelei pesa nyingi.Vile vitu vidogovidogo Na muhimu.Mfano kumpendezesha mpenzi wako...n.k.Au nyie tatizo lenu Ni lipi??? Maana sasa Ni shida.Mbona mnakimbilia Sijui kujenga Sijui future!! Salon , Nywele ya kusukia Na Future wapi Na wapi .Acheni hizo.Mwanamke Ni Pambo la nyumba.Ni jukumu lako kumpamba .Sema siku hizi mmevimba kichwa kwa kuwa Na sisi tunaingia fent font.Basi mnataka kwenda sawa.Sisi tubaki wenyewe, bakini wenyewe.Malalamiko yaishe.Mwanaume wa kweli hakimbii majukumu yake Bali atatafuta njia ya kupanua wigo wake ama VP unamfungulia vyanzo vya mapato mpenzi.Sasa vyote hutoi.Unakuja kulialia Hapa.Aibu!!!!!

Inawezekana wewe hunajielewa wala kumuelewa mleta mada
sizungumzi kutomtunza wala kutomsaidia mpenzi wako

mtoa mada anazungumzia mizinga ya kila siku isiyoendana na bajeti
wala mipango ya pamoja...
 
kwa hiyo nyie wenzangu hayawatokei haya au ndio Mwafa na Tai shingoni?
Kwa wengine cwez fahamu... Bnafsi ishawah kunitokea io bt kwa sasa.... Naeza sema nlie nae ni kiongoz mzur, ananimudu nami nammudu then lyf linasonga! ... Jitathmini tu then utagundua ulipojikwaa ni wapi mkuu
 
Inategemea unamtongoza kwa gia gani,pia life style yako na story zako zimekaaje,ukikaa kujisifia lazima ulizwe,pia katika chaguzi zako utakuwa unafeli hapo mm lidemu la mizinga nikiliangalia machoni nishalijua hata silisalimii



hahhahahhhahahahahaha serious yanajulikanaga sn tu macho juu juu ful kutega hahah nasemaga ningekuwa men ht 100 yangu demu asingekula llabda wife aic yaan nakumega na hela sikupi full SAUNDI TU MJINI HAPA
 
Back
Top Bottom